Rais au Mfalme kufanywa Mateka

Rais au Mfalme kufanywa Mateka

Attachments

  • FB_IMG_1698009530521.jpg
    FB_IMG_1698009530521.jpg
    8.8 KB · Views: 2
RAIS AU MFALME KUFANYWA MATEKA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Mnaweza kumlaumu Rais au Mfalme wa watu. Mnaweza kumzodoa Mtawala wa watu. Mnaweza kumchukia Kiongozi wa watu. Maskini! Kumbe mwenzenu ametekwa kitambo! Ni mateka!

Unajua kuna watu wanafikiri ili uwe mateka unatakiwa kufungwa Kamba. Kuteswa Kimwili. Kunyimwa baadhi ya HAKI zako. Nope! Sio lazima hayo ingawaje hayo pia ni sehemu ya mambo ya Mateka.

Kuna utekaji mwingine Murua Kabisa ambao wengi hawaufahamu au tuseme sio Maarufu.

RAIS, mfalme, watawala na viongozi pia wanaweza Kutekwa vizuri Tuu na Wakawa Mateka. Na wasiweze kufanya lolote lile.

Ingawaje kwa Nje wanaonekana kupewa Mamlaka na nguvu Fulani za maamuzi lakini Kwa ndani ukifuatilia hawana nguvu zozote Wala Mamlaka yoyote Ile. Ni MATEKA.

Rais au Mfalme, au Mtawala au kiongozi anaweza kufanywa Mateka Kwa namna MBILI;
1. MFUMO WA UTEKAJI ULIOSUKWA NA WATEKAJI.
2. UDHAMINI
Kudhaminiwa na Genge Fulani la Wahuni.

1. MFUMO WA UTEKAJI ULIOSUKWA NA WATEKAJI
Njia rahisi na inayofanya Kazi kwa ufanisi Kabisa ya kumteka Mfalme au Rais au Mtawala yoyote ni Njia ya MFUMO.
Njia hii ndio rahisi na yenye weledi katika utekelezaji wake.

Njia inategemea mambo Makuu yafuatayo katika kuisuka;
a). Mifumo wa Katiba, Sheria Kanuni na vyombo vya Maamuzi.
Unataka kuanzisha taifa lako au nchi yako. Lakini unajua Kabisa hutaishi Miaka mingi ukiwa na nguvu. Hivyo utawala kwa Miaka isiyozidi 45 ukiwa na nguvu zako Kabisa.
Na unataka hata usipokuwa na nguvu, au hata ukiondoka watoto au kizazi chako kifaidi. Basi itakupasa usuke Katiba, Sheria, mifumo ya utoaji maamuzi itakayomteka Rais, Mfalme, Mtawala ambaye atakuwako baada yako.

Njia hii inaufanisi kwa Sababu hata Akitokea Mfalme au Rais atakayeenda kinyume na wewe Basi ni rahisi kumshughulikia.
Njia hii inatumika kudhibiti Mateka Wasaliti.

b). SUKA VYOMBO VYA DOLA MATEKA ULIVYOVITEKA WEWE KIMFUMO PASIPO VYENYEWE KUJUA VIMETEKWA.
Tayari mfumo wa Sheria ushauweka kudhibiti yeyote isipokuwa wewe na WATEKAJI wenzako.
Hakikisha kwenye mfumo huo havimlindi Moja Kwa Moja vyombo vya Dola. Ili waliopo vyombo vya dola waone wanaishi kwa hisani yako. Kwamba wao ili wawe Salama lazima wakulinde wewe. Na matendo Yao umeyadhamini wewe. Sio Sheria au Katiba ya Nchi.

Hii automatically, itawagombanisha Vyombo vya Dola na Wananchi unaowaongoza. Na hii itakupa advantage ya kuzidi kuwatawala kwa Muda mrefu zaidi.

Kwamba Majemadari ni MATEKA wako
Kwamba Maakida ni MATEKA wako.
Kwamba Makomandoo ni MATEKA wako.
Kwamba Askari na wanajeshi kwa Aina Zao ni MATEKA wako.
Hakuna cha Usalama Wala majasusi wote geuza wawe MATEKA wako. Hivyo ndivyo utakavyoweza Kumfanya Rais au Mfalme yoyote kuwa MATEKA wako kwa Karne nyingi tuu.
Kazi utakuwa umemaliza. Hapo hakuna yeyote atakayeleta ngebe yoyote

Watu wa kawaida wakimuona Rais au Mfalme humtumainia, humlilia shida Zao. Humlilia pale wanapoonewa lakini wenyewe hawatajua Kabisa kwamba Yule wanayemlilia ametekwa. Ni MATEKA.
Hana nguvu zile wanazodhani walimpa au anazo.

2. UDHAMINI
Huwezi kuwa Rais au Mfalme From nowhere. Yaani utoke zako huko Chipumbwe au Kirinjiko uje kuwa Rais au Mfalme kirahisi rahisi tuu. Hiyo ni ndoto au muujiza wa Dunia.
Lazima kuna watu watakushika Mkono. Watakusaidia. Watakuwezesha kuwa Rais au Mfalme.

Watu hao ni wadhamini na maboss wako. Hao ndio watakugeuza MATEKA wako.
Kwa Nje wewe sio MATEKA. Lakini wewe mwenyewe unajijua umetekwa na hao wadhamini wako wanajua kuwa wamekufanya MATEKA wao.

Jambo la muhimu ulijue. Wadhamini wanajua Kabisa, kuna watu ambao sio waaminifu wanaoweza kuwageuka na kuwasaliti hivyo ndio maana huandaa Mpango na mfumo mwingine wa kukudhibiti na kukuweka kwenye Mstari. Ikitokea umekaidi sio ajabu wakakupasua tuu ukapotelea Huko. Kwa shi.ngapi!

Elewa, tayari wenzako wamesuka Mifumo ya kisheria ya kukufanya Mateka wao.
Elewa tayari wenzako wamesuka Mifumo ya kiulinzi na KIUSALAMA ya kukufanya MATEKA wao.
Sasa! Sasa! Unapotaka kuwasaliti utaanzia wapi?

Askari wanaokulinda wengi wao hasa wale wenye uwezo Mkubwa walishanunuliwa na sio ajabu walisomeshwa na haohao wadhamini wako.
Huwezi kuwajua wote. Tena wengine ni wakali na wenye kujifanya wanauadilifu na wanagombana na ufisadi, uonevu na dhulma lakini kumbe ni drama, geresha na danganyatoto. Ili kuaminisha watu wengi na viongozi ambao wanatamani siku Moja wauondoe mfumo uliopo.
JE utawajuaje?
Ukifikiri mambo kama haya unajikuta unanyong'onyea, unakata tamaa na mwishowe unajisalimisha. Na sasa wewe ni MATEKA.

RAIS AU MFALME asiye na maamuzi.
Mfalme au Rais asiyekuwa upande wa watu wake.
Hahahaha! Inachekesha Sana lakini inasikitisha.

Embu niambie utafanya nini wewe?

Mwishowe Kabisa nawe itabidi ujiunge nao. Uwe Mtekaji ili angalau maisha yako yaende.

Je ni namna gani ya Mfalme au Rais kujikomboa asiwe MATEKA?
Namna gani ya kuvunja mifumo ya utekaji wa watawala utakapokuwa Rais au Mfalme?
Hiyo ni Mada ya siku nyingine.

Acha nipumzike sasa

Robert Heriel
Taikon Master
Kwa Sasa Dar es salaam
Kwa hiyo mama nanino katekwa
 
Binadamu ni Mnyama Rahisi kumtawala kuliko Wanyama wengine. Ni mfumo tuu.
== U-JUA-ji: Mengi Katika Sura Moja iliyo Kisomoni ==​

SAHIHI

Hmmm,

Lakini Je, Mfumo ni kitu gani khasa?

Mfumo ni zao la 'Utaasisi' na 'Wakati'...

Utaasisi ni nasibu ya matatu, (1) Kujisikia, (2) Miundo, na (3) Ushawishi...

Kiufundi, kiumbe chochote chenye (1) Usentienti, (2) Konsayansi, na (3) Nuru ya Ufahamu hukadirisha 'mifumo' kulingana na 'akili na utambuzi wake' na tena katika mazingira yake ya kustawi...

Mtu/Jamii/Nchi-Dola/Himaya/Jeshi, kama kiumbe/viumbe, hufanyika kutokana na utu na usimamo wake katika 'Mazingira' fulani...

Hili ni kwa kuwa 'Mazingira' ni jamvi la 'Kujifahamu na kuyafahamu' yale yanayofanya na kukadirisha (1) Usentienti/Kujisikia, (2) Konsayansi -- ilivyo ni udhamirifu wa matendo kwa kujipanga/kujipangilia, na (3) Ushawishi kutokea 'moyoni ama/na akilini' ili kutenda hivi ama vile, kwa wakati, kulingana na uhitaji, utashi ama/na shauri tu la kujiamulia jambo/mambo yako...

Na ndivyo basi, kinachokutanisha usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu ni jambo la ‘kiakili na utambuzi’ --jambo ambalo Kiuono na Ufikirifu mifumo ni dhana ya 'Intelijensia'.​

== Dhana kwa Fahamu na Mafahamu : Mahusiano ==​


Kukiwa na fremukazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, ule 'Udadisi kwa Mfumo' huwa na uvekta ule ule kwa mapana ya 'Udadisi kwa Wakati'... (A) Kwa Kutokea juu, kuwa: (1) 'Udadisi kwa Mfumo' hukutanisha (2) 'Vina vya urazini na tafsiri' na (3) 'Dhamira' yenye kukadirisha kukadirisha 'Mapenzi ya Kiutu'; yote matatu kukadirisha Shauri Uono--Uono Mfumo... (B) Kwa kuja chini, kuwa: (1) 'Udadisi kwa wakati' hukutanisha (2) 'Ushawishi' kwa udhamirifu wa kujichagulia hatma ya kimatendo na mazingira, na (3) 'Nia' ya kufuatisha 'miongozo ya kimashauri' kwa matendo stahiki--iwe ni kwa wajibu, shurti, ama hata pia jukumu.

Wajibu ni sura na hadhi ya kutenda kulingana na 'uhitaji' wa/kwa wakati; kuwajibika ni kuitikia wito... Shurti ni sura na hadhi ya kutakiwa kufanya hivi ama vile pia kuenenda hivi ama vile -- kulingana na kawaida za kijamii/taasisi--mambo ya kulazimika kufuatisha kanuni, taratibu na sheria. Jukumu ni sura na hadhi ya utendaji kulingana na mpango/mipangilio ya mambo...

Kiuono na ufikirifu mifumo, konsayansi ndiyo ile akili ya kujiendesha kimaadili--kujiendesha kwa udhamirifu wa uadilifu kwa (ma)shauri la jema ama baya katika maisha na mazingira ya mtu/kiumbe hai chenye 'usentienti' na tena 'nuru ya ufahamu'. Kwa mintarafu ya hili, kila kiumbe kina namna zake za uadilifu, maadili na miiko kulingana na akili na utambuzi...

Ikiwa usentienti wa mtu unamsukumo kutokea 'Juu' ndivyo inaweza kukadirisha ukweli wa 'Mtu, Wito na Maisha'. Basi ndivyo yawa 'U-Juu' ama 'U-Chini' ni mambo ya 'Metafanusi' na 'Fikizia' ya 'Utu'.

Mtu hutenda kwa 'mafahamu' na 'utashi' na basi kubayanisha 'miiko' ya kiutendaji wake kwa kuwa, kiwakati, 'tabu ama raha ya kimaisha' ya mtu yeyote huja ikitegemea 'akili ya mtu mwenyewe' na tena 'upeo wa kujitambua' na 'uwajibikaji' -- ule uwajibikaji wa kutokana na 'kuwa katika mazingira ya kujua/ku-JUA'; mtu anapotenda kulingana na dhamira yake ndani, pasi na kule 'kushawishika' tu na mazingira ya nje ya ustawi wake, basi huyu ni mwenye kuitika 'wito' kutoka ndani ya nafsi/utu wake--wito huleta nia ya kujituma... 'Hiari' yashinda utumwa; Shurti na Majukumu ni mambo ya 'Utumwa'--mambo ya 'kujaa kwenye mfumo' -- japo hili ni 'panapo sifa na hadhi'/kutegemea na mtu mwenyewe kuridhia na kuruhusu kutawaliwa na statusi kwou...

Kiufundi, fremukazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo, hukadirisha pembetatu zipatazo nne(4) za ufizikia na moja (1) ya umetafizikia--kama vile ilivyo kwa vipande vinne vifanyavyo 'Ngao ya Ustawi'; 3 mara 4 ni 'Bahati' katika 'Miundo'; Kwa hivyo 'Uono Mifumo' una asili ya elementi nne(4) za 'Asili Mazingira' na tena basi elementi nyingine ya tano yenye 'kuona yote, popote na mote' – kuwa ni 'Asili Mazingara'; ilivyo ni ‘metafizikia ya Elimu'; na tena basi 'Mwangaza wa Milele’ kwa usentienti, konsayansi na nuru ya Ufahamu.​

== Mabunifu kwa Utambuzi : Miakisiko ya Fahamu ==​


Kule Amerika, kile kinachoweza kuonwa ni ualama wa Tai mwenye kuruka juu akishikilia 'Tawi la Mzeituni' kwa upande wa kushoto, na mishale upande wa kulia -- ni lugha-alama kwa 'Ontolojia ya Taasisi'.

Kichwa cha Tai ni epitomi ya usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu; kichwa cha Tai kugeukia upande wa 'tawi la mzeituni' ni kielelezo cha 'Udhamirifu wa Amani/Fanaka/Mahadhi' na si 'Vita/Uadui'... Jamii yeyote, sura na hadhi yake inahusisha mambo ya hali za 'Vita' ama 'Amani' kwa ajili ya msimamo wake wa kujilinda na kustawi. Kwa hivyo Tai yule huwa ameng'ata ujumbe--kauli mbiu: E pluribus unum (kilatini: Moja, kutokea Wengi) , ambao ndiyo khasa kiini cha shauri kuu lililo juu ya 'Udhamirifu wa Jamii na Mfumo'...

Ni udhamirifu wa kijamii na Mfumo, kama huo huo ulikuwa kwenye ualama wa Utaasisi Dola wa Amerika, unajitokeza hapa kwetu Tanzania kama kauli mbiu ya 'Uhuru na Umoja'... kiuono na ufikirifu mifumo; Kauli mbiu yenye shauri la Kiontolojia ya Utaasisi ni 'Ufunguo wa Metafanusi' ya jamii. Kwa mintarafu ya hili, muundo jamii wowote ni muakisiko wa miundo jamii mwingine uliositirika. Basi ndiyo yawa, jamii yoyote ni Kitu kimoja kutoka kwenye wengi--ama vile vile kusema wengi wote wanaasili ya 'Moja' iliyositirika.

Shauri la 'Moja iliyositirika--Yunam:Unum', ni jambo linalofanyika ni 'fumbo la Imani' kwa ajili ya jamii yenyewe kujichagulia, kuchanua na kustawi.

Amerika, waasisi wa Taifa walinasibisha hili--hili la hii 'MOJA' na kauli mbiu ya 'ANNUIT COEPTIS (Kilatini: Ametufadhili Yetu)'; ambavyo kauli hii inatengeneza muktadha akilifu wa Piramidi iliyokamilishana na kitako chake--kwa 'U-juu' na 'U-chini'.

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, Kauli Mbiu hii inakamilishana na nyingine yenye kusema 'NOVUS ORDO SECLORUM(Kilatini: Mpangiko Mpya wa Zama hata Zama) kukadirisha utukufu wa mapana ya Kheri ya Jamii--Morale ya Utaifa, Mifumo na Shauri.

Kiufundi, Piramidi inayokamilishana na kitako chake ni lugha-picha kwa shauri la 'Jamii katika Utengeneaji'; mambo ya jamii kujitenga mapana ya sura yake na kujipangilia/kujitengeneza ni mambo ya 'Ontolojia ya Taasisi'. Kwa mintarafu ya hivi, zile kauli mbiu mbili za 'Fadhila na Mpangiko' hufanya mzingo wa mazingira ya fadhili na hatimaye ustawi, ustawi wa jamii kisomoni, ambapo Piramidi ni lugha-picha ya 'Akili na Utambuzi' katika 'Upumzi wa Madhahirisho'. Basi ndiyo yawa, kujitenga mapana ya sura ndiyo mwanzo wa 'Sura ya Nchi na Tawala' ambavyo panapo kuandamana na shuari la 'Kujisikia Wito fulani' huja kufanya 'Utaasisi'--Utaasisi Nchi-Dola.

Kiufundi, Piramidi inayokamilishana na kitako chake ni lugha-picha kwa shauri la 'Chachu ya Akili na Utambuzi' kumulikia mjengeko wa jamii ambavyo kipande cha Juu kina 'Jicho', jicho la Upaji, kwa ajili ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Kwa mintarafu ya hivi, Ujamii wowote na kokote--iwe Duniani ama hata kwenye sayari nyingine zenye viumbe vyenye nasibu ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu, mapana ya ustawi wa jamii hutafuta 'ukamilifu' wa sura na mienendo ya Kijamii...

Je, kuna jamii yeyote yenye ukamilifu ulimwenguni--Duniani, kwenye Sayari zingine, Mazazi ya Kosmosi (?) Inaweza kushangaza kusikia jibu la hili swali: --HAKUNA!

Kiufundi, Piramidi inayokamilishana na kitako chake kikubwa ni lugha-picha kwa shauri la 'Mambo ya Nyakati'; mambo ya jamii kuwa 'Wengi kutoka katika Moja' ina maana ya kwamba 'utokamilifu ndiyo chanzo cha Wakati'. Kwa mintarafu ya hivi, mambo ya sura na mienendo ya jamii ni zao la vipanda shuka za 'Ufahamu Kumbaizi' wa wanajamii wenyewe katika mseto wa (1) wenyekujua na (2) wenyeku-JUA--wenyekujua ilivyobora na wasiojua ilivyobora ama wenye kutojua kabisa.

Basi ndiyo yawa, wanajamii ni jamvi la mambo ya nyakati—jamvi la kiutendaji litokanalo na asili ya ukweli wa 'Maisha na Kujitafuta'…​

== Vina katika Ushahibiano : Ladha za Kiutambuzi ==​


'Chachu ya Akili na Utambuzi', kiuono na ufikirifu mifumo, ndiyo ufunguo wa mageuzi ya kijamii -- mageuzi yenye kunasibisha jamii na kule kuneemeka na kustawi; na tena kulingana na 'Nuru ya Ufahamu'--nuru inayoshirikishiwa 'Wanajamii wote' katika Wito wao husika wa Kijamii; hata pia 'Shurti' na 'Majukumu' kulingana na 'Utokamilifu wa Mashauri yao ya Kijamii'. Kwa mintarafu ya haya, Wito ni jambo lenye asili ya Uadilifu/Ukamilifu wa mambo/Asili; mambo ya sheria, mila na desturi za wanajamii ni 'mapokeo' yanafungamana na 'utokamilifu wa mafahamu' na basi hatma ya 'Wakati'.

Wakati daima huzungumza khabari ya wote waliokatika 'kujitafuta'--kwa (1) Kweli ya kawaida ya watu wasiohuru—ama (2) Kweli ya Wale wenye Kuwa Huru Kweli Kweli...

Kiufundi, mageuzi ya Kijamii ndiyo lile khasa jambo lililo katika lugha-picha ya (1) 'Amani' ama/na (2) 'Vita'; mbawa na miguu ya Tai wa Amerika hufanya muktadha akilifu wa kujichagulia na udhamirifu wa Kuishi na Kustawi. Kwa mintarafu ya haya, kama vile ambavyo viumbe huishi na kuhitaji chakula, mavazi na malazi; jamii zote zinapoishi kuwa kama kiumbe hai cha kufikirika, kiumbe nchi-dola, hatma ya (1) chakula, (2) mavazi na (3) malazi ndiyo huamuliwa kwa (A) 'Uchumi' ama (B) 'Vita'. Basi ndiyo yawa, hata katika nembo ya Taifa ya Tanzania, vipengele vya shoka, nyengo na mkuki ni jambo lile lile la (A) 'Fanaka ya Jani la Mzeituni' na (B)'Mikuki ya Mashambulizi/Kujihami'.

Kiufundi, mageuzi ya Kijamii ndiyo lile khasa jambo lililo katika lugha-picha ya (1) 'Amani' ama/na (2) 'Vita'; mbawa na miguu ya Tai wa Amerika hufanya muktadha akilifu wa kujichagulia na udhamirifu wa Kuishi na Kustawi--Kujitegemea. Kwa mintarafu ya haya, kule Amerika khabari ya Mageuzi ndiyo huwekwa kwa lugha-picha ya 'Unamba 13'...

Kwenye Tawi la Mzeituni kuna vijani/vitunda 13, mishale iko 13, mistari wima ya misimamo ya kidola iko 13, nyota za utukufu ziko 13...

Basi ndiyo yawa, namba 13 ina 'jambo' kuhusiana na 'Mifumo' na 'Uzima' wa mambo...

Kwenye khabari za Yesu na Injili, kwa mfano, Ushirika wa Huduma yake ulikuwa na udhamirifu wa watu 13--Yesu na Wafuasi 12…

== Vina katika Ushahibiano : Alama na Hesabu ==​



Namba 13, ni namba ya Mageuzi -- pia ni namba ya 'Kigezo Kristu’ inapokuja kwenye mambo ya ‘kihatma za nyakati'.

Kiuono na Ufikirifu mifumo, ni namba inayoshahibiana na akitipu zote za Mauti na Kuzaliwa Upya... Kwenye mapokeo ya Ukristo, Kristu ni kitovu cha kufanyika upya—kufanyika upya kutoka kwenye miili ya uharibifu/isiyokamilifu na basi kuishia kwenye miili isiyovaa kuharibika. Kwa mintarafu ya hivi, Kristu ni kitovu cha kutoka kwenye ulimwengu wenye wakati kuingia ulimwengu usio nawakati--UKAMILIFU. Basi ndiyo yawa, tumaini khasa la kuishi na maisha na tena lililo ni la KWELI; kwa vizazi vyote, yawa ni matamanio ya 'Uzima wa Milele/Kristu' ambavyo hatma ya kweli ya jamii zote, ‘kutoka kwenye wengi kuwa MOJA’, ni 'Kuufanya Mwili wa Kristu'...

Namba 13, ni namba ya Mageuzi -- pia ni namba ya 'Kristu kihatma za nyakati'; Kiuono na Ufikirifu mifumo, ni namba inayoshahibiana na akitipu zote za Mauti na Kuzaliwa Upya...

Namna moja ya kusadifu hili ni kule kutumia lugha-picha ya 'Ngao ya Ustawi'--ambavyo Vesika-Paisisi ni alama ya kike kwa kile kile kinachoweza kuwa ni 'msalaba'...

Kule Amerika, Mbawa na Miguu ya Tai hufanya aina moja ya msalaba--msalaba Soltaya... Kwa mintarafu ya haya, Kristu ni Mwangaza kwa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu; ambavyo Nuru hii huleta nasibu ya dhamiri na udhamirifu wa 'Usahihi wa Kimfumo'...

Namba 13, ni namba ya Mageuzi -- pia ni namba ya 'Kristu kihatma za nyakati'; Kiuono na Ufikirifu mifumo, ni namba inayoshahibiana na akitipu zote za Mauti na Kuzaliwa Upya...Namna moja ya kusadifu hili ni kule kutumia lugha-picha ya piramidi yenye jicho la upaji lenye kuona kote na mote na tena kuwa asili 'Mwongozo' wa kuvuvia ukamilifu wa piramidi ya 'Utu wa Jamii' -- utu wa jamii katika kujitengenea. Kwa mintarafu ya hivi, 'Jicho na Mwongozo' ni jambo lile lenye kuja kuwa lugha-picha ya 'Mwenge wa Uhuru'; Mwenge wa Uhuru’ na 'Mlima Kilimanjaro'... Basi ndiyo yawa, neno ‘Piramidi’ nalo linaasili ile ile ya 'Moto na Miundo' kwa wale wenye Hekima na Mafahamu ya ku-Jua--Moto ulio Katikati...

Kiufundi, mageuzi ya Kijamii ndiyo lile khasa jambo lililo katika lugha-picha ya 'Amani' ama/na 'Vita'; ambavyo 'Kristu' ni 'Fanusi Malaika mwenye Kulinda, kutetea miundo na mifumo yote' -- Zao la 'Utaasisi na wakati' linalojitafuta katika 'Amani ya Kweli'. Kwa mintarafu ya hivi, Vita inayopiganwa kwa 'mwili na pumzi', katika mazingira ya jamii moja dhidi ya nyingine, inaweza kusuluhishwa, kuepukika kwa/na 'Akili na Utambuzi' uliosahihi. Basi ndiyo yawa, asili khasa ya 'intelijensia ya kweli' iko katika kiu na haja ya Hekima, Umoja na Amani. Chochote kile chini ya udhamirifu wa 'Nia ya Kristu' katika mseto wa jamii mabadilikoni ni nasibu ya michezo ya 'Shetani' / 'Ushetani' labda kusema mchanganyiko wa ushetani na umalaika...

Kwa utaifa wa nchi-dola ya Tanzania, misingi ya haya -- asili ya mfumo wa sura ya nchi na tawala -- ina kitako cha simile ya piramidi ya Utashi--piramidi (Mlima Kilimanjaro) ya fanusi jamii kama muinuko wenye vesika paisisi/Ngao ya Ustawi. Kwa mintarafu ya hivi, Vesika Paisisi ni yenye sehemu kuu nne kwa ajili ya ushuhuda wa udhamirifu wa mambo sura na hadhi ya mambo: (1)Mwenge wa Uhuru (Moto)-(2) Bendera ya Taifa/Uzalendo (Upepo)- (3) Zana za kazi/ulinzi kwa ajili ya 'Uchumi' na 'Vita' (Ardhi/Nchi)-(4) Maji ya Uzima wa Jinesesia ya Mbingu na Nchi (Maji); haya ni mambo yenye pande kuu nne za mraba wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio' wenye nasibu ya kudhihiri Uhuru-Udugu-Haki-Amani katika fanusi jamii.​

== Vina katika Ushahibiano : Maumbo ya Hesabu ==​


Kiuono na Ufikirifu mifumo, pande kuu nne za mraba ni korespondia ya ukadinali; Akili na Utambuzi hutenda kazi kwa (1) Korespondia, (2) Koherensia, na (3) Upragmatifu ambavyo kumbukumbu na nia hufanya daraja la antakarana--Uimajinishi, Mafikara na uumbaji.

Kwa mintarafu ya haya, Mraba ama ‘sifa Ujiometria mraba’ ukijaa pumzi ya udhahirifu huleta korespondia ya 'Kubu'. Basi ndiyo yawa kitako kikubwa cha chini cha 'Piramidi ya Enzi na Enzi', kwa mahusiano ya kijiometria, ni ualama wa baraka za ‘CHANZO/MUNGU’ kwa jamii ya Amerika katika kujitengenea.

Kitako kikubwa cha chini chenye masambamba ya kipumzi ni lugha-picha ya Koherensia ya 'KUBU ya Jamii' ikilinginiana na 'Piramidi ya Enzi na Enzi'...

Kiufundi, mambo ya Enzi na Enzi ndiyo khasa asili ya baraka ya 'Mpangiko Mpya wa Zama hata Zama' ambavyo 'Jicho la Upaji' na 'Kubu ya Jamii' ni lugha picha ya kuijenga jamii ya watu wenye Mwangaza--siyo watu wasionaoishia kwenye ufikirifu pofu wa kimakundi juu ya hatma zao za maisha na kuishi. Kwa mintarafu ya haya, Shauri la 'ANNUIT COEPTIS: Ametufadhili Yetu' ni 'Mwangaza' kwa 'Rizayati ya Utu Bora'--jambo la kudhihiri moyo wa shukrani na uaminifu;

Kiufundi, Kwa wale wanajamii wa Amerika, Waasisi wa Taifa walidiriki kulitanguliza mbele liwe shauri la imani na udugu; na basi kujitokeza kwenye, tuseme kwa mfano, kwenye bili/noti ya pesa ya thamani ya Dola Moja, pale katikati kabisa na juu ya Andishi "ONE"(Kiingereza: Moja/Moko); isemwavyo: "IN GOD WE TRUST"(Kiingereza: Katika Mungu Twaaminia')... Na basi, pale mahala pa usawa wa iliiko picha ya Rais wa Kwanza wa Serikali ya Muungano wa Nchi za Amerika -- kwa nyuma 'bili Moko' hiyo hiyo.

Kiufundi, namba Moja kuwa 'Moko' ni lugha fikara-picha ya uimajinishi wa Shahada ama/na Mamlaka... Kwa mintarafu ya hivi, 'Bili Dola Moko' kama inavyokuwa kwenye Ususi wa Utaasisi wa Nchi-Dola--Amerika hata kwingine kokote, tuseme labda hata kwa mfano wa kwenye 'Sarafu Moko' -- Shilingi Moja ya Tanzania, ni kielelezo cha Utashi na Mamlaka ya Shauri kuu la Nchi-Dola.

Na basi kwetu Tanzania, Sarafu Moko ina Picha ya Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kambarage Julius Nyerere; kwa Amerika ni picha ya George Washington... Na basi tena, vielelezo vya kiutashi jamii na nchi-dola kuwasadifiwa uonekano…​

== Ontolojia ya Taasisi : Miundo ya Kujifahamu ==​


Vielelezo vya utashi jamii na nchi-dola, Piramidi ya Jicho la Upaji kwa mfano, husadifu shauri la ukamilifu unaotafutwa katika 'Sala na Kazi'; kwa ajili ya neema na ustawi wa jamii. Kwa mintarafu ya hili, vyote viwili--nembo kuu za taifa zilizo ni (1) Upiramidi jicho la Upaji na Kitako Chake Kkubwa cha Chini (Jamii katika Utengeneaji) na (2) Tai mwenye Kupaa Hewani (Utaasisi wa Nchi-Dola) ni udhamirifu wa 'Sura na Utukufu' wa jamii.

Basi ndiyo yawa, kwa jamii ya Amerika lile tamko la Uhuru wa Kijamhuri limesimamishwa katika msingi wa kutambua Haki zisizoweza kutelekezwa juu ya ustahiki wa (1) Uzima, (2) Liberiti, na (3) Udhamirifu wa Furaha...

Kiufundi, Udhamirifu wa furaha ni jambo lenye asili ya 'utu na kujisikia'. Katika fremukazi ya uono na ufikirifu mifumo, alama ya kujisikia huja kwa lugha-picha/alama ya Duara Mbili zenye kuingiliana na Kushiriki 'Uzabibu 13'. Kwa mintarafu ya hivi, ndivyo 'Trizaniamu' ya 'Akili na Utambuzi' hukadirisha mafungamano ya nguvu za 'Ukuwa ama/na Kuja Kuwa'.

Basi ndiyo yawa, Utu na Kujitambua ni jambo linakadirisha kitovu cha (a) Kujisikia, na (b) Vina vya Urazini na tafsiri; ambavyo (1) Kujitambua OX, (2) Metafanusi OZ, na (3) Vinasaba OY, hukadirisha pembetatu ya 'Udhamirifu wa Kisentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu'--udhamirifu unaodhibiti 'sifa na hadhi' za maisha na kujichagulia.

Kiufundi, udhamirifu unaodhibiti 'Sifa na Hadhi' ni jambo lenye asili ya 'Miongozo'--Miongozo na Dhamira katika fanusi ya Utu wenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kupitia kitovu OZ cha Metafanusi.

Kwa mintarafu ya hili, Maisha ni Kujichagulia--Kila mazingira ya maisha na ustawi, huandamwa na ‘mabidishi ya kufanya maamuzi’ ama tuseme kuchagua jambo moja dhidi ya jingine/mengine. Basi hili ndilo asili ya 'Intelijensia': kwa kuwa 'Uwezo wa kubaini Sura nyingi za Mambo kwa wakati' kulingana na akili ya Utambuzi kwa 'mazingira ndani' na 'mazingira nje' ya kiumbe chenye 'Kujitambua' ndiyo mhimili wa udhibiti na kujidhibiti kimfumo.

Kiufundi, udhibiti na kujidhibiti kimfumo ni jambo lenye asili ya 'Matendo/Vitendo'--Vitendo kulingana na mofolojia ya miili ya utendaji ambavyo pia ni 'miundo ya kiutendaji' ambavyo kikomo cha utendaji wa kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ni asili yake kwa mbegu za kujua ama/na ku-JUA kadiri ya kianzio cha unasaba wake na maumbile yake.

Basi ndiyo yawa, ‘Mtu’ hawezi kutenda kama ‘Simba’ na wala tuseme labda pia ‘Sisimizi’ hawezi kutenda kama ‘Mwanadamu’ --yote haya ni kulingana na kudra za mafanyiko ya kimiili, uumbikaji na uhitaji wa kimazingira ya ustawi.​

== Konstrakti za Shauri : Miongozo ya Mafahamu ==​


Miundo na Miongozo, kiuono na ufikirifu mifumo, ni jambo linaloleta ufunguo wa kimafahamu kuhusiana na 'Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu' kuakisi hata lile shauri la 'utokamilifu anaotafuta ukamilifu kimfumo'.

Kwa mintarafu ya hili, konstrakti za 'Piramidi ya Jicho la Upaji' na 'Kitako Kipana cha Mraba Piramidi' ni kielelezo cha 'Nuru na Utukufu' --nuru na utukufu wenyekujalia 'Akili na Utambuzi' wa 'mambo ya nyakati' na tena pia 'ukweli unaopitiliza wakati'.

Basi ndiyo yawa, 'NOVUS ORDO SECLORUM' (Kilatini: Mpangiko Mpya wa Zama hata Zama) ni shauri la jinsi gani 'Mwangaza wa Kimafahamu wenye Kuleta Amani yenye Fanaka' ni fumbo lililositirika; na kumbe huo kuweza kudhihirika Zama moja na hata ingine -- kulingana na vipanda shuka vya Akili na Utambuzi katika 'Utashi Jumuifu' wa Wanajamii yeyote kisomoni...

Kiufundi, 'Utashi Jumuifu' ndiyo ufunguo wa mazuri na mabovu ya (1) mifumo, (2) utu-jamii, na (3) maisha ya jamiim kwa kuwa udhibiti na kujidhibiti katika dhamira ya utu wa mwanajamii yeyote hutegemea Wito, Shurti ama/na majukumu yake katika ufanusi jamii.

Kwa mintarafu ya haya, 'Mtu kujaa katika mfumo' ni jambo lenye kupelekea maana ya tafsiri ya kuwa: wakati wowote na popote, kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi, Nuru ya Ufahamu kitatenda jambo/mambo kulingana na 'mazoea' ama 'taamuli'. Basi ndiyo yawa, kutenda kwa mazoea ndiyo muktadha akilifu unaoleta tafsiri ya udumishwaji wa 'Statusi Kwou' na wakati 'Wema/Ubaya' hutegemeana na mashauri na utashi wa wanajamii wenyewe ilhali 'taamuli' huleta 'Akili na Utambuzi' wa kubaini uhalisia wa 'Utokamilifu Pereniali' wa mambo...

Kiufundi, dhamira ya utu wa mwanajamii yeyote ijavyo na kule kutegemeana na Wito, Shurti na Majukumu yake katika ufanusi jamii ndiyo khasa mambo ya (1) Ushawishi/Kushawishika, (2) Miundo ya Kiutendaji ya Jamii kwa mashauri ya mila/desturi/jadi; ambavyo ndiyo yale yale yanayokadirisha Sheria, Kanuni, Taratibu za mienendo inayoridhiwa na jumuiya ya watu/viumbe, na tena (3) Kuridhika na Kutoridhika na sura/hadhi ya mambo kulingana na Akili/Utashi/Kujitambua kwa Mtu Mmoja mmoja katika jamii kisomoni; kulingana na yeye 'Anavyojisikia'.

Kwa mintarafu ya haya, mambo kama vile 'Ujamhuri' na 'Wajibu wa Kiraia' huandama bahati ama mikosi ya wanajamii kutokana na msingi wa mawili (1) Mafahamu, na (2) Kujitambua Kizalendo... Basi ndiyo yawa, ukweli wa 'mafahamu' yanaasili ya 'Kumbukumbu Uzoefu'...

Kiufundi, uono mfumo wowote ni muktadha akilifu wa kuwa na upeo wa kung'amua misingi ya 'Kujichagulia' --kule kujichagulia kwenye kuandama 'Ya Wengi/Mengi kutoka Moja', kiwakati mmoja hata mwingine. Kwa mintarafu ya hili, 'kumbukumbu uzoefu' daima ni nyezo ya udhibiti ama/na kujidhibiti kiutendaji kwa viumbe vyote vyenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Basi ndiyo yawa, 'Kumbukumbu Uzoefu' ndiyo mambo ya 'KUBU' ambavyo mtu yeyote anaweza kuishi kama 'mateka wa kimfumo'--akijua dhahiri ama asijue hivyo.​

== Konstrakti za Shauri : Maunganishi ya Ufahamu ==​


Kiuno na Ufikirifu Mifumo, 'Utashi Jumuifu' ndiyo muktadha akilifu wa 'Sovereini Jumuifu' ama 'Statusi Kwou' ambavyo epitomi ya 'Nuru ya Ufahamu' ni ufunguo wa utendaji wote mzima wa jamii iliyomoja.

Kwa mintarafu ya hivi, Jua la Maarifa na Maarifu ni mambo ya 'Kweli, Njia na Uzima'--ilivyo ni 'Ufahamu Kristu'; jambo ambalo katika zama moja hata nyingine laweza kuwa ni shauri la maajilio.

Basi ndiyo yawa, 'Utaasisi wa Dini' ni shughuli fulani hapa Duniani ambayo hushughulika na Tumaini/Maajilio hata kwa mgongo wa udhibiti wa mafahamu/kumbukumbu uzoefu ili kuziandaa jumuiya zote kitaifa na mataifa kwa 'Amani na Furaha Duniani'...

Kiufundi, shauri la Kristu kuwa ni 'Kweli na Njia na Uzima' ni Sayansi 3.0 ya Utu, Roho na Nafsi ambavyo Epistimolojia ya 'Maarifa na Maarifu' hutengeneza uakilifu wa Ontolojia ya Taasisi.

Kwa mintarafu ya hivi, Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ndiyo kiini na msingi wa Ontolojia ya Taasisi kunasibisha yote na vyote--jambo la ualama lugha picha ya Jicho Mashoto ya Horasi lililokwenye ukatikati wa Msalaba na Mboni ya Fizikia na Metafizika ya yote na vyote.

Basi ndivyo Ontolojia ya Taasisi kuwa: Fizikia na Metafizikia ya (1) Miundo, Ulimwengu wa Vitu vyenye Sura, na (2) Matarajiko yote ya Kiufahamu na Utambuzi, na (3) Mambo ya Nyakati na Siri zake zote za 'Ukuwa na Ukuja-Kuwa' wa jambo/mambo, na (4) Nguvu na Uwezo unaofuma na kusuka yote yaliyodhahiri na yasiyodhahiri.

Kiufundi, hekima ya 'Jicho mashoto lililokwenye ukatikati wa msalaba na Mboni ya Fizikia na Metafizikia ya yote na vyote' ni lugha-picha kielelezo cha asili ya Metafanusi--Fanusi ya Kiutendaji inayopitiliza fanusi zote za 'Miili yenye Uzima'.

Kwa mintarafu ya haya, hata 'Piramidi ya Jicho la Upaji na Kitako chake Kipana' ni kielelezo cha jambo hili hili la 'Fanusi ya Kiutendaji inayopitiliza fanusi zote za 'Miili yenye Uzima' ambavyo (1) Maada; maada ijayo na tungamo, na (2) Supasha; Ulimwengu wote wa asili ya Upumzi/Ujazo wa nasibu za Kimfanyiko, na (3) Wakati; mambo ya nyakati, na (4) Nishati; nishati Mawimbi-Maji ilivyo ni 'Maji ya Pumzi ya Uzima'--maji yanayohuluku yote ya 'Mbingu' na 'Nchi'; vyote vinaasili ya 'MOJA' iliyo ni 'Metafanusi' ya Uzima wote.

Basi ndiyo 'Piramidi ya Jicho la Upaji na Kitako chake Kipana' yawa ni muktadha akilifu wa tatu(3) kufanyika nne(4) katika MOJA (1).

Kiufundi, muktadha akilifu wa tatu(3) kufanyika nne(4) katika MOJA (1) ndiyo mapana ya mafahamu yanayokadirisha mashauri ya Yantra Dhamma. Kwa mintarafu ya hivi, piramidi huwa ina kitako cha pande nne(4), ina kimo cha 'pande 3' zipatazo nne(4), na tena pande tatu hizi hukutanisha kitako cha 'upande nne' na 'Nukta Asili moja (1)' ya kilele, asili na utukufu.

Basi ndiyo yawa, kila upande wa piramidi husimama kwa korespondia ya ukadinali wa Moto, Upepo, Ardhi na Maji. Tena basi, asili ya 'piramidi ya Jicho la Upaji' ni kitu kile kile kinachoweza kuelelezwa kwa lugha-alama-picha ya Vesika Paisisi yenye vipande vinne vya (1) Mwenge wa Uhuru, (2) Bendera ya Uzalendo, (3) Zana za Kazi na Ulinzi juu ya Nchi/Ardhi, na (4) Maji ya 'Muungano'... Vyote kama 'Moja' yenye kusindikizwa na pembe mbili za Ndovu juu ya Mlima Kilimanjaro…

Maarifa na Maarifu ya 'Uzima katika Moja' ni metafanusi ya Unafsi, Katika Ulimwengu wa Yote na Vyote ambavyo 'Siri ya Wengi katika MOJA imesitirika'.

Kwa mintarafu ya hivi, Bashar – Bashar aliye ni 'Utu Jumuifu' wa mambo ya ufizikia na umetafizikia huzungumza hili kana ngazi tisa(9) Kiufahamu ambavyo sisi wote wenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu tunafanyika na kukutanika kimwili, akili na Kiroho.

Basi ndiyo yawa, Uzima ni jambo lenye asili ya (1) Yakudhahirika kuchukua Sura (Fizikia) na (2) Yakutodhahirika kuchukua Sura (Metafizikia); yote mawili kwa ‘moja la katikati’ tunaloweza kulitaja kama ‘Kwazayi-Fizikia’ ya Metafanusi – Yote Ilivyo/Yalivyo na tena Kuwa Kama Vyovyote ama/na Chochote.​

== Konstrakti za Shauri : Msalaba wa Uzima ==​


Kiuono na ufikirifu Mifumo, yote yaliyodhahiri kwa kufaa vipawa vyetu vya akili na utambuzi ni 'Miundo'; Kwa sura na hadhi hii ya kinasibu ya kiutambuzi, yote yaliyo ni miundo yanaasili ya ufizikia wa fikara, hisia/imosha na kuamini mashauri.

Kwa mintarafu ya hivi, ufahamu na utambuzi wa kiakili ilivyo ni usentienti una asili ya maingiliano ya (1) Yale tuuliyo-macho-nayo, na (2) Yale tusiyo-macho-nayo na kumbe yanatawala sura za hadhi na utendaji wetu katika mazingira na mazingara ya 'Uzima katika Moja'. Basi ndiyo yawa, 'Utabia' wa kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ni jambo lenye asili ya fanusi za (1) Akili Fizikia, (2) Uimajinishi, na (3) Utaamuliko wa 'Kimafahamu Kamili' ya 'Uzima wa Miili na Milele'.

Kiufundi, kile ambacho kwenye ualama lugha picha ya Jicho Mashoto ya Horasi lililokwenye ukatikati wa Msalaba na Mboni ya Fizikia na Metafizika ya yote na vyote hujitokeza kama kwadrati ya 'SUPASHA' ni muktadha akilifu wa 'Akasha'--ilivyo ni 'Kwazayi-Fizikia ya Metafanusi'.

Kwa mintarafu ya hivi, kile kinachopatanisha 'Uzima wa Miili na Milele' ni namna fulani ya 'mbegu ya U-JUA-ji na Mawezekano ya Namna zote' ya Yote Ilivyo/Yalivyo na tena Kuwa Kama Vyovyote ama/na Chochote. Basi ndiyo yawa, Kila kitu ambacho kinaweza kufikirika kitaswira na kudra zake-- 'kuna mahala kipo'--kama vile kibantu husemwa 'Lisemwalo lipo kama halipo laja'; Ulimwengu unasehemu ya ukweli wa kushangaza kwamba: Kila nasibu ya kuchagua na kujichagulia inawezekana kwa kuwa yote mawili, kuchagua ama kutochagua, yanakamilishana kwenye mapana ya Metafanusi.

Kiufundi, kile ambacho kwenye ualama lugha picha ya Jicho Mashoto ya Horasi lililokwenye ukatikati wa Msalaba na Mboni ya Fizikia na Metafizika ya yote na vyote hujitokeza kama kwadrati ya 'NISHATI' ni muktadha akilifu wa 'Umaji ya Mawimbi ya Pumzi za Uzima'. Kwa mintarafu ya hivi, ulimwengu wote ulifanyika kwa kuonekana dhahiri na kutoonekana dhahiri unakuwa hivi kwa kadiri ya 'Maji ya Uzima'--maji jinesesia.

Basi ndiyo yawa, maarifa yote na maarifu juu ya nishati na unishati yanaasili khasa ya kile chenye 'kupanda ama kushuka' kama mawimbi na hali 'kitosheacho' uduara wa kukamatika katikati yake chawa ni zao la ugravitali, uleviti na unyutrali. Tena basi, vyote viwili ugravitali na uleviti ni kitu kilekile kimoja chenye kuonekana kana tofauti kutokana na 'Uono wa Dhana na Tafsiri' katika wanda la 'vuta nikuvute' ya yote na vyote--kuja kuwa 'msokotano' wa pumzi ifanyayo jinesesia na vitovu vya uimajinishi wa sura ya mfano na mfanyiko wa mambo...

Kiufundi, kile ambacho kwenye ualama lugha picha ya Jicho Mashoto ya Horasi lililokwenye ukatikati wa Msalaba na Mboni ya Fizikia na Metafizika ya yote na vyote hujitokeza kama kwadrati ya 'WAKATI' ni muktadha akilifu wa 'Maajabu na Mastaajabu ya Vyote vinavyofanyika katika wanda za Vuta nikuvute'. Kwa mintarafu ya hivi, kiukweli khasa wa mambo, WAKATI NI KIOO CHA MAFAHAMU... Ambavyo mafahamu ni fanusi ya 'Upumzi' wa Kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Basi ndiyo yawa, kuna manne yafanyayo nguzo za shauri la uzima wa mambo: (1) Uhamonifu wa vitovu vya Umbonishaji: Pingili ndani ya pingili, na (2) Makadiri ya Sifa na Hadhi za mapana ya Kiutambuzi kwa mambo ya 'Mbingu na Nchi' --asili ya mambo yenyekuonekana/kuishiwa na kiumbe iwe bayana/moja kwa moja ama vile kuwa yale yenye kusitirika kwa wakati/nyakati: Ungazi usiyokuwa na mwanzo wala mwisho kwenda juu ama kushuka chinii, na (3) Konstrakti za Akili na Utambuzi kwa asili zote za Mtenda, Kitendo na Matokeo yake: Pembetatu ya Akili na Utambuzi ilivyo ni asili ya Trizaniamu, na (4) Mafungamano ya Makubaliano ya Uchukuaji Sura wa Mambo, kwa namna hasimu ama landanifu kwa mjongeo wa mambo; kwa namna zote zenye 'Utu Jumuishi/Jumuifu': Swastika ya nguvu na uweza kwa kubu zote za madhahiri na tena akitipu ya ushahibiano wa kimageuzi ya Sura.

Tena basi maisha na uzima, kwa sehemu, ni 'mchezo wa makubaliano ya kimafahamu' -- mafahamu yenye kunasibisha mfanano wa 'miundo/sura' za mambo, iwe yenye kuonekana dhahiri ama hata kusitirika, kulingana na 'viini vya mapana upeo wa kuona'; yaani kujua, ku-JUA ama vile vile kinyume chake katika akili na utambuzi.

Haya yote ya ualama picha wa Jicho Mashoto, Msalaba na Umbonishaji wa Fahamu kufanya muktadha akilifu kwa (1) Ufahamu-JUA kumbaizi, (2) Utofahamu-JUA--ilivyo ndiyo kule 'kujua mambo kwa sehemu' katika mtu mmoja mmoja kadiri ya kitovu chake cha Usentienti, Konsanyansi na Nuru ya Ufahamu, na (3) Ufahamu Mbalali--ilivyo ni kinyume cha ufahamu-Jua katika mtu mmoja na hali hapo hapo kuwa na uweza kumuongozea kwenye 'Ufahamu-JUA'.

Kwa mintarafu ya hivi, hiki ndicho kile kile mtume Paulo alikizungumza kana: "... Maana wakati wa sasa tunaona kwa kioo kwa jinsi ya fumbo; wakati ule tutaona uso kwa uso; wakati wa sasa nafahamu kwa sehemu; wakati ule nitajua sana kama mimi nami ninavyojuliwa sana"; vile basi haya ndiyo ya mambo ya MUONA NI MUONWA ambavyo wenye kutaja haya haya kwa lugha ya kiingereza wangaliyagusia kama Single/Collective Self-Consciousness, Unconsciousness na Subconscious Mind.​
 

== Ulandanifu wa Mambo : Funguo za Hekima ==​

Kiuno na ufikirifu mifumo, miundo yote ina asili mbili kwa wakati mmoja na pahala hapo hapo; asili/ontolojia ilivyo ni (1) Mraba wa kwa mfano 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio', na (2) Konstrakti za Miundo ilivyo ni 'Miongozo' ya ulandanifu wa sura na hadhi za mambo.

Kwa mintarafu ya hivi, Udhahiri wa vitu vyote vyenye kuonekana na visivyoonekana kwa wakati ni ulandanifu wa 'Pumzi za Miraba ya Miundo' na 'Mbegu za U-JUA-ji' kwa namna inayoweza kukadirishwa kana 'Msokotano wa Mawimbi ya Uzima'. Basi ndiyo yawa, msokotano wa pumzi za mawimbi ya uzima ndiyo kile, kwa kiasi fulani katika ulimwengu wa sayansi 1.0, hujitokeza kwa sehemu kama udhanifu wa 'Mawimbi Tashoni'... Tena ndiyo basi, mawimbi tashoni ni jambo lenye kufanania na dhana ya 'Prana/Ki/Chi/Mtetemo wa Eitha'--asili ya elementi ya tano(5) ya 'Ukuwa ama/na Ukuja-kuwa' kitungamo na uzito; yenye uhusiano wa moja kwa moja na Usentienti, Konsanyansi na Nuru ya Ufahamu kwa kiumbe chochote--chenye kuonekana/kutoonekana kwa wakati.

Kiufundi, 'Prana/Ki/Chi/Mtetemo wa Eitha' ni jambo lile lile ambalo kwenye mapokeo ya Ukristo hutajwa ni 'Roho Mtakatifu' kwa kuwa daraja la Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ni 'Pumzi yenye Uhai na Uzima'; Nuru iliyo ni 'Nishati Nukta Sifuri' kwa yote na vyote na tena asili ya 'Swastika'.

Kwa mintarafu ya hivi, metafizikia ya Elimu ya Yote na Vyote ni Ilimu--Ilimu ilivyo ni muktadha akilifu wa 'Maarifa na Maarifu' ya 'Pumzi Takatifu': 'Roho Mtakatifu'. Basi ndiyo yawa, Rizayati ya Elimu 3.0 ni Sayansi 3.0 ya Intelijensia ya Nafsi-Roho/Sonafi katika sifa, hadhi na madaraja ya kujua na ku-JUA ilivyo ni 'Nia ya Kristu'.

Tena basi, muktadha akilifu wa Uweza, Nguvu na Utukufu ni mambo ya kukadirisha mambo ya mbingu na nchi kwa dhamira ya kudhihiri hata yale yanayoweza kuwa ni 'makuu zaidi' kuliko ujuaji wa kawaida wa 'utofahamu kumbaizi wa jamii'; kwa kuwa ku-JUA ni mambo ya kuwa 'Nuru na Kweli'; ambavyo mwenye kuwa na mwangaza katika KWELI, awa ni Mtu wa Mwangaza/Iluminata kwa sifa, hadhi na utukufu wa sura na matendo yake na tena kadiri ya dhamiri sahihi ya kuathiri 'Prana/Ki/Chi/Mtetemo wa Eitha...

Kiufundi, sifa na hadhi ya mtenda-kitendo-tokeo ni jambo pacha na nasibu ya dhahiri mahsusi kwa dhamira na nia jambo lenyewe tarajiwa kiwakati. Kwa mintarafu ya hivi, dhahiri yote ni matokeo ya 'mbegu ya u-JUA-ji' na 'Kujichagulia' kupitia 'Dhamira na Nia' -- dhamira na nia ikuwako katika kiumbe chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu; ambavyo kiumbe huona na kutambua (ma)fahamuni yale tu aonayo kimfumo wa (1) Kujongea ama kubakia pahala, kisupasha, kulingana na msukumo wa kinguvu: Inesha, na (2) Pumzi ya Msukumo wa kinguvu, Mzuto/Momentamu , kuwa sawia kwa nguvu yenyewe na uelekeo/mielekeo yake na basi kuathiri usupasha wa kinachojongea: Uzuto, na (3) Kila kitendo chenye pumzi ya nguvu huakisi kiasi kile kile cha nguvu ya pumzi kukamilishana usimetria wa nguvu na uelekeo wa uweza wa pumzi.

Basi ndiyo yawa, ushuhudiaji wa chochote kwenye ulimwengu fizikali hutawaliwa na mwingiliano wa trizaniamu ya uono na metafizikia yake ilivyo ni 'Mboni AJNA'; ambavyo metafanusi ya udhahiri na kisichodhahiri ni mbegu ya u-JUA-ji kwa yote yenye nasibu 'Kutokea': AKASHA.

Kiufundi, sifa na hadhi ya mtenda-kitendo-tokea ni fanusi ya 'mambo ya nyakati'; ambavyo wakati unatambulika kwa nasibu ya mawili: (1) Kumbukumbu, na (2) Mabadiliko ya Kikumbukumbu. Kwa mintarafu ya hivi, mabadiliko yoyote ya jambo, kisifa ya muundo na uwepo, ni mwanzo wa 'rajisi ya wakati'--wakati wa hili na wakati wa lile, ambavyo akili na utambuzi hujenga mashauri na mafikara kuhusiana na wakati na mabadiliko.

Basi ndiyo yawa, asili khasa ya wakati ni infaransi ya 'mabadiliko ya Kikumbukumbu' ambavyo: kama hakuna kumbukumbu ya moja kwa moja ama hakuna hisia/kuyabaini mabadiliko basi 'Hakuna Shauri la Wakati'. Tena basi, inaweza kushangaza: kumbukumbu zote ni infaransi ya vile vinavyoweza kukadirishwa kama zao la 'vituo vya kiwakati' na 'vizio vya khabari'…​

== Mafikara na Ufikirifu : Vimvuli vya Uakilifu ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, infaransi ni mambo ya 'vina vya tafsiri' kiurazini wa mambo ambavyo usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu huchakata 'Khahari' kwa nguvu za kiakili – kwa ajili ya khabari za kimafahamu.

Kwa mintarafu ya hivi, si kila kile ambacho mtu/kiumbe mwanajamii anakishuhudia kwa maneno, fikara ama/na shauri ni 'Ukweli Khasa wa Mambo' bali matokeo ya upeo na vina vya tafsiri katika kuyabanisha yale yote ya mpangilio wa dhana na mawazo/mafikara--dhana na mawazo ilivyo ni pamoja na mahusiano yake kimafikara/ufikirifu.

Basi ndiyo yawa, usentienti-konsayansi-nuru ya ufahamu ni kitovu cha 'uchakataji wa mafahamu kikhabari' kwa misingi ya 'Maarifa na Maarifu'; ambavyo Maarifa ni mafungu ya ujuaji wenye namna fulani ya kujipangilia/kupangiliwa katika akili ya mtu—ujuaji wa kuja kwa ile kawaida yenye kupitia fahamu za kimwili; na maarifu ni vipawa vya utambuzi kwa milango ya fahamu ya ndani kwa ndani ya Usentienti wa Kiumbe kukadirisha muktadha akilifu wa 'Kujua kwa Jinsi ya Rohoni'...

Kiufundi, 'infaransi' na 'maarifu' ni mlango wa mafahamu kuhusiana na 'vituo vya kiwakati' ambavyo hata dhana ya 'Wakati' inaweza kuja kuwa tofauti kabisa na kile kinazoeleka na kusadikika kama 'mkatizo wa muda'; Kuwa kwamba, labda hata 'mkatizo wa muda' si lolote ila mabadiliko/mageuko ya 'Vizio vya Khabari' vyenye kulandana na tena kushahibiana na 'Vituo vya Kiwakati'.

Kwa mintarafu ya haya, 'fizikia ya mambo' hukutana na 'metafizikia ya mambo' kwa 'Metafanusi'--Metafanusi ya (1) Khabari-dhahiri, na (2) Khabari-Templati, na (3) Khabari SHAURI/NIA/DHAMIRA. Basi ndiyo yawa, UAKASHA katika SUPASHA ni daraja la 'Mazingira' na 'Mazingara' ya Yote na Vyote-- ambavyo vyote tuvishuhudiavyo, kuna namna hivi vyote ni 'Viini Macho'--Mambo ya 'Maya' na 'Uono Mifumo'...

Kiufundi, fizikia na metafizikia ya 'vituo vya kiwakati' na 'vizio vya khabari' ndiyo mambo ya wakati kuwa ni 'fumbo la imani' na tena 'kioo' cha akili na kujitambua kwa kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu; ambavyo, viumbe vyenye kushiriki 'kianzio kimoja cha vituo vya wakati' hushiriki hili pia basi, kwa kiasi fulani, 'vizio vya khabari' kwa 'mambo shirikishi' ya 'Nyakati'.

Kwa mintarafu ya haya, kila mwanajamii katika jamii ana namna fulani mafungamano ya kiakili na utambuzi kwa yale yote yanayotendeka na kuonwa/kushuhudiwa, kutafsirika hivi ama vile kwa wakati, ijapokuwa kila kiumbe kina wakati/mkondo wakati wake wa kujitegemea. Basi ndiyo yawa, jambo lolote linalodhihiri/kudhahirika na kujumuisha utendaji na dhamiri za viumbe vyenye usentienti linanamna fulani ya kuwa na asili ya 'makubaliano' ya kiakili na kiutambuzi--makubaliano yanayochomozea kutoka kwenye 'ungazi wa Khabari-Templati' ambavyo ndiyo khasa hukadirisha 'vitovu cha kiwakati' na 'vizio vya khabari'...

Kiufundi, jambo lolote linalodhihiri/kudhahirika na kujumuisha utendaji na dhamiri za viumbe vyenye usentienti, lina fizikia na metafizikia yake--fizikia na metafizikia ya 'Uweza, Nguvu na Utukufu' wa 'Kiunishati Khabari' ilivyo ni mazingira na mazingara ya (1) Ukuwa, na (2) Ukuja-kuwa; kimadhahirisho na Uwepo.

Kwa mintarafu ya hivi, lile jambo linaloweza kuzungumzwa kama 'kusafiri kiwakati' ni uwezekano daima--hili hutegemea fahamu na mafahamu ya fizikia na metafizikia ya (1) Khabari-dhahiri, na (2) Khabari-Templati, na (3) Khabari SHAURI/NIA/DHAMIRA.

Basi ndiyo yawa, mazingira na mazingara ya muktadha akilifu wa chochote cha mfano wa mtenda-kitendo-Tokeo ni 'maya/viini macho' -- viini macho vinayotegemeana na (a) Khabari-dhahiri, na (b) Khabari SHAURI/NIA/DHAMIRA kupitia UIMAJINISHI. Na tena, uimajinishi ni 'daraja' kwa mambo ya kudhahirika na mambo yasiyodhahirika…​

== Mafikara na Ufikirifu : Vikomo vya Kiutambuzi ==​

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, Uimajinishi ndiyo jambo linalokutanisha (1) Moto, (2) Upepo, (3) Ardhi/Nchi, na (4) Maji kwenye SHAURI lililo MOJA; ambavyo 'fizikia' kuwa 'metafizikia' ni uwezekano kupitia (1) Msalaba wa Mapana yasiyo na Mwisho, (2) Mwezi na Nyota ya Umbalamwezi wa Fahamu katika Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu, (3) Swastika ya Mashikizano ya Khabari na Utendaji wa Miili ya Uzima/Kosmosi; ilivyo ni daima fanusi ya (i)'Masokotano ya Pumzi : (ii)Ujizungurusho wa Sayari na Nyota na Falaki: (iii)Ugravitali wa Mashauri yaliyofanyika Dhahiri kama Nyota, sayari na Kosmosi, na (4) Mboni AJNA ya mawezekano ya akili na utambuzi kwa yote katika 'Kumbukumbu ya Akili ya Uzima wa Yote'--kinasibu ya namna zote Mbegu za u-JUA-ji.

Kwa mintarafu ya haya, Uono na Ufikirifu Mifumo ni shughuli ya akili na utambuzi wenye kutangamanisha (1) Finati: Yale yenye Mwanzo na Mwisho, na (2) Isifinati: LENYE/yenye kutokuwa na mwanzo wala mwisho. Basi ndiyo yawa, (1) 'Msalaba' na 'Swastika' huwa mahusiano ya 'Kimuundo' na 'Miongozo' ya kiutendaji kuwepo kana pembe mkabala; kama ilivyo pia kwa (2) Mwezi na Nyota huwa pembe mkabala na Mboni AJNA kwenye YANTRA DHAMMA.

Kiufundi, mambo ya Finati na Isifinati ndiyo ufunguo wa mashauri yanayokutanisha fizikia na metafizikia kwa 'Metafanusi'--Metafanusi iliyo ni 'Uungu' katika vyote na iliyovyote.

Kwa mintarafu ya hivi, Mungu kama dhana ni udhanifu wa kibinadamu kwa kile kinachopitiliza 'Uimajinishi' wa fahamu na mafahamu yao kuhusu asili, uzima wa miili na mazingira dhahiri; ambavyo namna yoyote ya 'Unafsi' wa 'Mungu' ni ufaraguzi wa kimashauri na simulizi-ngano za kibinadamu kwa ajili ya yale wanayodhani wanafahamu na wasiyoyafahamu kuhusiana na Mazingira na Mazingara ya akili na utambuzi wao.

Basi ndiyo yawa, hakuna Mungu kama 'Nafsi' khasa; kwa kuwa hata kama binadamu na wanadamu--wanadamu wa Duniani kwa mfano na 'utaasisi wao fulani wa (ki)dini' wangalipenda awepo Mungu wa namna hiyo; na khali kumbe : katika Ulimwengu wa Zilioni kwa Mazilioni, na labda isivyo na idadi kabisa, ya Viumbe hai-- viumbe hai katika Sayari, Mifumo ya Ma-Jua, Falaki na Makundi ya Falaki; maajabu ya mtu mmoja 'kuongea na Mungu' ni kadiri ya Mungu huyo huyo kuwa na uwezo wa kuongea na Zilioni kwa Mazilioni ya viumbe hai kwa wakati ama hata daima(?)

Kiufundi, mambo ya Finati na Isifinati ndiyo ufunguo wa mashauri yanayokutanisha fizikia na metafizikia kwa 'Metafanusi'--Metafanusi iliyo ni 'Uungu' katika vyote na iliyovyote.

Kwa mintarafu ya hivi, 'Metafanusi' ni muktadha akilifu wa mawezekano ya 'Mungu Mmoja' anayeweza kuongea na viumbe zilioni kwa zilioni au ndiyo tuseme viumbe vyote tu kwa wakati mmoja na daima.

Basi ndiyo yawa, Metafanusi ilivyo ni 'Uungu katika vyote na iliyovyote' ni shauri kwa ukweli wa kwamba viumbe vyote vyenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu vipo na 'mawasiliano ama/na ukaribu na Mungu' wakati wote kwa namna ambayo labda fahamu na mafahamu ya kibinadamu hayajakaa vema kwa wakati ilikulandana na kumaizi ukweli wa mambo/jambo lenyewe...

Kiufundi, mambo ya Finati na Isifinati ndiyo ufunguo wa mashauri yanayokutanisha fizikia na metafizikia kwa 'Metafanusi'--Metafanusi iliyo ni 'Uungu' katika vyote na iliyovyote.

Kwa mintarafu ya hivi, kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kinahitaji namna fulani ya kujiweka kiakili na utambuzi ili ki-JUE na kumaizi ya Kwamba ipo asili ndani yake inayofanya yote na vyote kuwa 'MOJA'--moja iliyositirika na khali hii inafanya uwezekano wa vitu vyote ulimwenguni kuwa na 'mawasiliano' ya kimiili ya Uzima, Akili na Utambuzi.

Basi ndiyo yawa, kile ambacho kutoka kwenye Vitabu vya Injili kupata kusemwa na Yesu ya kwamba "Ufalme wa Mbingu U Karibu"; U ndani ya Mtu – Mtu na Vyote... NI UKWELI KHASA WA MAMBO…​

== Mafikara na Ufikirifu : Uchakataji Khabari ==​

Kiuono na Ufikirifu mifumo, kutaniko la SUPASHA, MAADA, WAKATI na NISHATI katika 'Jicho Mashoto la Horasi' ni Muktadha akilifu wa lugha-alama-picha kwa 'Ufalme wa Mbingu'; ambavyo asili ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu hukadirisha yote yenye kuwa finati na Isifinati katika Fahamu na Mafahamu. Kwa mintarafu ya hivi, dhana ya kusema Mungu yupo mahala pote... Mungu hana mwanzo wala Mwisho... na pia Mungu ni yule yule leo, jana na Kesho... ni mbegu ya U-JUA-ji wa Konstrakti za fahamu na mafahamu ya miili dhahiri na miili isiyodhahiri ya miili yote yenye Uzima.

Basi ndiyo yawa, kuna wakati wanadamu 'walifahamishana' ya 'Uungu' kwa simulizi-ngano na khabari zilizo ni ujuaji wa mambo kwa sehemu; ambavyo mtume Paulo alizungumza kinaga ubaga kwenye kumbukumbu ya barua kwa Wakorinto, Waraka wa Kwanza, sura ya 13... Karne hii ya 21, SASA, tunaingia kujua na kuyafahamu yote kwa miongozo ya ukamilifu wa akili na utambuzi ili KUJIFAHAMU kama vile TUNAVYOFAHAMIKA katika METAFANUSI ya Uzima wote.

Kiufundi, usentienti ni pembetatu ya (1) Upumzi, (2) maingiliano ya pumzi na (3) Msalaba wenye utanuko usiyo na ukomo wa vyote na yote; ambavyo kinyume cha hili ni 'Unukta Sifuri' isiyokadirika kitovu chake cha 'Ukuwa ama Ukuja-kuwa'.

Kwa mintarafu ya hivi, ualama-lugha picha ya (1) Uduara, (2) Msalaba, (3) Isifinati na (4) Nukta; ni analojia miongozo ya kiakili na utambuzi kwa Metafanusi, Fahamu na Mafahamu ya Miili-dhahiri na Miili iliyositirika.

Basi ndivyo yawa, (1) 'Duara na Nukta' ni ualama-lugha-picha ya 'Ontolojia ya Taasisi'; (2) 'Pembetatu yenye Jicho Mashoto la Horasi' ni alama ya 'Usentienti' na basi 'Intelijensia' – uweza, nguvu na utukufu wa kuona yote kadiri vile kuwepo kote na ndani ya yote; (3) Msalaba ni ualama-lugha-picha ya konstrakti za 'Miundo na Miongozo' inayokadirisha kitu kufanyika kutokea kwenye kutofanyika--kufufuka kutoka kwenye mauti--kutoka uzima wa miili kwenda mautini. Tena basi yote ya uzima wa miili na 'malango ya mauti' ni viini macho katika Metafanusi kwa kuwa asili khasa ya Metafanusi ni 'UZIMA WA MILELE'...

Kiufundi, Msalaba kuwa ni ualama-lugha-picha ya konstrakti za 'Miundo na Miongozo' inayokadirisha kitu kufanyika kutokea kwenye kutofanyika ndiyo msingi wa 'TORATI'; ambavyo torati maana yake ni 'MIONGOZO' kwa uweza, nguvu, sura na utukufu wa kiumbe ama chochote chenye kujikadirishia namna ya kujiwazia utu kwa mfano Jamii/Taifa/Dola/Jeshi n.k.

Kwa mintarafu ya hivi, mambo ya 'uingiliano wa pumzi' ndiyo asili ya 'Uzima wa Miili' ambavyo kila kilicho hai huishi na kustawi kwa kuwa kimo ndani ya kingine chenye kuishi na kustawi 'isivyodhahiri'.

Basi ndiyo yawa, Mtume Paulo kuzungumza kuhusu 'Mwili wa Kristu' ni jambo lililo ni UKWELI KHASA WA MAMBO kwa kuwa 'Mwili wa Kristu' si chochote bali 'Metafanusi' ya fizikia na metafizikia ya 'Umwili wa Nyama, Fizikia ya Miili Sayari/Jua na Namna zake za Akili, Fahamu na Mafahamu'... Tena basi kwenye fahamu na mafahamu, utendaji wa yule anayeishi kufahamu sehemu yake katika 'mafahamu ya mwili wa Kristu' ni mkuu zaidi kuliko yule asiyetambua ama/na kujitambua katika 'Mwili wa Kristu'...

Kiufundi, Urizayati ya KUBU ya MAGEUZI ni ualama-picha-picha wa konstrakti za 'Mageuzi Sura' ya dhahiri zote za kifahamu na mafahamu; ambavyo 'mapana ya umpumzi wa miili' husitirika ndani ya mwingine kwa maingiliano ya Upumzi.

Kwa mintarafu ya hivi, muktadha akilifu wa fahamu na mafahamu ya uweza, nguvu, sura na utukufu wa kiumbe chochote chenye Usentienti ni uhamonifu wa Upumzi wa madhahiri ambavyo Udhamiri wa Duara na Nukta kwa Ukuwa ama/na Ukuja-kuwa kukadirika kwa mlandano wa 'mapana-marefu-kina' ya kitu/jambo 'MOJA' la kifahamu na Mafahamu.

Basi ndiyo yawa, Ulimwengu wote ni Kitu/Jambo moja kimafumbo ya Uzima juu ya Fahamu na Mafahamu ya 'Uono Mifumo'--Uono Mifumo ulivyo ni muktadha akilifu wa kumbukumbu la (1) Kitovu/vitovu vya Wakati, na (2) Vizio vya Khabari…​

== Makadirifu ya Utambuzi : Dhahiri na Dhahania ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo -- Mifumo ilivyo ni muktadha akilifu wa kumbukumbu la (1) Kitovu/vitovu vya Wakati, na (2) Vizio vya Khabari ni maajabu na mastaajabu ya 'ukuwa ama/na ukuja-kuwa' wa vyote ambavyo 'miili, akili na Nuru ya Ufahamu' ni maingiliano ya Upumzi kifizikia na tena metafizikia.

Kwa mintarafu ya hivi, wakati ni kioo cha 'Kumbukumbu la Torati' ambavyo udhamirifu wa utu, ukuwa ama/na ukuja-kuwa, na mchakato wa kutafuta 'ukamilifu wa Sheria' ilivyo ni 'Metafanusi'. Basi ndiyo yawa, ule usemi ya kwamba Uzima ni Kristu na Kufa ni faida ni Shauri la 'Hekima katika Ufahamu wa Kimetafizikia' ambavyo hatma za mambo ya 'Miili na Roho' hutenda kwa Uajabu wa 'Uongo na Ukweli' wa ule uzima khasa wa miili yenye Usentienti, Kosanyansi na Nuru ya Ufahamu...

kiufundi , Uongo na Ukweli wa miili yenye Usentienti, Kosanyansi na Nuru ya Ufahamu ndiyo asili khasa ya lile jambo la 'mafumbo ya kifahamu na utambuzi' yanayoleta nasibu ya 'Majaribu ya Kiutu' inapokuja kwenye mapana ya maisha na kujichagulia--maisha na kujichagulia katika alamu za 'Uisho na Kufanyika'.

Kwa mintarafu ya hivi, asili khasa ya uadilifu wa kiutu, maadili na miiko ni mchakato hai wa Usentienti wenye kudhamiria 'Kutoboa' kutoka kwenye ulimwengu usiyokamilifu wa 'Kiwakati', na kuja-kuwa basi, kitendo cha kutobozea kwenye Metafanusi inayositiri yote--yote yaliyo katika wakati na kupitiliza konstrakti za wakati wenyewe.

Basi ndiyo yawa, Uongo ni ile sifa na hadhi ya mtu mwenye udhamirifu pofu wa mahitaji ya kimwili usiyokamilifu, mwili wa udongo; Ukweli ni sifa na hadhi ya mtu mwenye udhamirifu wa ku-JUA ilivyobora ili ajinasibu kufanyika upya katika mwili usiyovaa kuharibika -- apate 'kuukomboa wakati'...

Kiufundi, Uisho na Kufanyika', ni mambo ya vitendo vya kiwakati ambavyo Usentienti daima unafanania na pembetatu iliyonasa kwenye mapana yenye kupindua na kujipindua katika konstrakti za miundo na miongozo ya udhamirifu wa utu na tena kushiriki 'vituo vya wakati' na ujumuifu wote wa pumzi muingiliano wa wote na vyote vyenye kujidhahirisha kwenye KUBU shirikifu ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Kwa mintarafu ya hivi, maisha na mifumo yote ya maingiliano ya uakili na utambuzi ni alamu za uisho ambavyo utu wowote una kadiri ya uwimbi wa pumzi ya uzima kutoka kwenye 'maji ya uzima'--miili inayoshiriki 'ulimwengu mmoja' ina uhamonifu wa kasi ya utetema wa Eitha ya 'Maji ya Uzima'. Basi ndiyo yawa, Shauri la Injili ya Yesu kuhusiana na 'Maji ya Uzima na Kiu' ni simile ya metafo ya SUPASHA na UTIMILIFU wa Sura na Hadhi za 'Uhitaji' na 'Kujazia/Kujijazia Uzima Zaidi' --Uhamonifu pitilizi wa utetema wa Eitha, unaoathiri 'Nguvu na Utukufu' wa Uisho na Kufanyika...

Kiufundi, 'Nguvu na Utukufu', ni mambo ya 'Mapinduzi Daima' ambavyo 'Shauri na Uzuri' wa yote na vyote huishi na kufanyika kwa 'Kadiri' na 'Kudra' ya Mawimbi ya Maji ya Pumzi ya Uzima--'Maji ya Uzima' yaliyo ni bahari ya Chanzo na Nuru ya Ulimwengu wote mzima.

Kwa mintarafu ya hivi, kila kitu kimefanyika kwa pumzi iliyo ni kadiri ya nguvu ya uweza na utukufu wa 'Jina Kuu' ambavyo daraja la mageuzi ya 'nguvu na utukufu' ni 'fanusi ya upatanishi' wa mambo ya 'mbingu na nchi'--Swastika ya ujizungurusho wa mafumo yote ya sura za vitu na mambo yake.

Basi ndiyo yawa, Mapinduzi Daima ni jambo la 'Enzi na Utukufu' wa Ukuwa na Ukuja-kuwa ambavyo Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu unajaa uwezo kutawala mambo ya mbingu na nchi... Na tena, mapinduzi daima ni ufunguo wa 'Maarifa na Maarifu' ilivyo ni Rizayati ya Elimu 3.0…

== Makadirifu ya Utambuzi : Utaasisi wa Mashauri ==​


Kiuno na Ufikirifu Mifumo, 'kadiri na Kudra' ya chochote kilichofanyika ndiyo asili ya Fizikia ya Unavigati wa Kikwantumu ambavyo dhana za ufundamentali wa nguvu za uweza ni nasibu ya hata yale mawezekano ya 'elektroni' kuruka kutoka kwenye ngazi moja ya unishati na uwepo hata ngazi nyingine pasipo kukatizia popote khasa pa kiusupasha.

Kwa mintarafu ya hivi, Fizikia ya Kikwantumu kwa mashauri ya Sayansi ya Mkondo Mpana, sayansi 1.0, hugubikwa na vielelezo na vina vya tafsiri vilivyo mushkeli kwa kukusudiwa ama pasipo kukusudiwa kulingana na vikomo vya infaransi za kihisabati, udhanifu na umodelishi wa 'miundo' ya madhanifu ya kitaswira za maasili ya kimaada.

Basi ndiyo yawa, kile ambacho kinaweza kutajwa ni 'Povupovu la Kikwantumu' ama/na 'Mafungamano ya Kikwantumu' ni nasibu ya yote mawili: (1) 'Maji ya Uzima' yaliyo ni bahari ya Chanzo na Nuru ya Ulimwengu, na (2) Utowepo wa umbali ama umahala kwa 'Sifa na Hadhi' ya unamna fulani wa vitendo na miundo ambavyo 'Khabari/mafungu vitendo-miundo' vinaweza 'kusafirishwa' kutoka nukta moja hata ingine pasipo muda/uwakati--kwa sehemu kufanania na madhanifu ya 'kutandua' usupasha-wakati.

Kiufundi, 'Povupovu la Kikwantumu' na 'Mafungamano ya Kikwantumu' ni jambo lile lile lenye kushahibiana na 'Swastika' na 'Mboni AJNA' kwenye Yantra Dhamma ambavyo kwenye mashauri ya fizikia, sayansi 1.0, yote mawili: (1)Makiniki ya Relativo ya Makawaida, na (2) Makaniki ya Kikwantumu, Muona huathiriana moja kwa moja na 'Matokeo' ya anachokiona ama mashauri ya infaransi kiakili na utambuzi.

Kwa mintarafu ya hili, Uono una asili ya 'kupangana' na kinachoonwa katika ufundamentali wa dhahiri-miundo-vitendo ambavyo kile ambacho hutajwa ni 'Ujizingurusho' huja kwa 'upacha' wa 'kimiundo-vitendo' vya nasibu kwa lolote lenye asili ya 'upovupovu' wa Kiontolojia.

Basi ndiyo yawa, (a) Mboni AJNA kuwa na Pembetatu Inayotazama chini ni jambo pacha kwa (b) Pembetatu ya uakilifu na utambuzi kwa fahamu na mafahamu ya kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Tena basi, asili khasa ya uono na utambuzi ni 'Mfumo' ambavyo lugha-alama-picha ya (1) 'kitendo' ni pembetatu iliyoegama kiutostabali wa 'ulali wa muundo'; (2) 'Dhamira' ni pembetatu iliyondani ya kadiri ya kudra ya uduara wa pumzi, na (3) Ukumbukumbu wa 'mambo yafananiayo/kuakisiana kifizikia na metafizikia'.

Kiufundi, uweza-nguvu-utukufu wa chochote kitokanacho na umawimbi pumzi ya maji ya uzima ni jambo la konstrakti za (1) Uduara, (2) Upembetatu na (3) Umraba ambavyo (a) uduara ni asili ya 'utufe' ama uchembe--uchembe mbegu wa yote na vyote ilivyo asili ya mtanuko usiyo na mwisho mfano wa Sayari, Jua/Nyota, (b) Utetrahedrani wa asili ya kazi/utendaji--mfichamo wa 'nguvu' katika 'miundo na dhahiri', na (c) Ukubu ilivyo ni asili ya usawazishaji wa nguvu za kimpumzi ya madhahiri kifizikia na metafizikia.

Kwa mintarafu ya haya, kila kilichofanyika 'Sura na Sifa ya Kimaumbile' kina asili ya 'pumzi ya kuja' ndani na 'pumzi ya kutoka nje' -- upumzi unayosawazishwa kwa fizikia na metafizikia ya 'UKUBU' ambavyo fumbo la wakati na nyakati ni sehemu ya UKUBU ilivyo ni 'Kumbukumbu la Uzima'.

Basi ndiyo yawa, kila kilichodhahiri na kudumu sura fulani ni zao la pumzi mbili zinazokutana katika (1) Vituo vya wakati, na (2) 'Vizio vya Khabari... Na tena, Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ndiyo khasa 'Mkuki wa Moto wa mageuzi'-- wenye nasibu ya uweza wa kutenda ilivyo MUONA KUWA NI MUONWA--Utetrahedrani wa 'Dhamira, Uono na Nia'; uwavyo pacha kwa 'Vina vya tafsiri vya udhamirifu wa shauri, Ujinetifu wa Maumbile hai, na Ushawishi wa mabadiliko ya Sura na Hadhi ya Mazingira na Mazingara ya 'Mapana ya Ustawi'.

Kiufundi, shauri la 'Ujinetifu wa Maumbile hai' ndilo khasa jambo la 'Mbegu ya u-JUA-ji inayofadhili na kuruzuku uadilifu wa 'Kumbukumbu la Uzima wa Miili' ambavyo Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kupata kitovu cha Ontolojia ya Taasisi kwa kheri ya Milele.

Kwa mintarafu ya hivi, Ujinetifu huja kwa Mbegu ya u-JUA-ji ambayo kwenye khabari za Injili ndiyo hutajwa ni 'NENO'; ambavyo shauri la Ujinetifu linaetimolojia ile ile na Jinesesia: Mwanzo wa yote na Majira ya 'Usiku na Mchana' wa yaliyofanyika kwa mfano wa 'Anayeumba kwa Mfano wake'--UIMAJINISHI.

Basi ndiyo yawa, kila kiumbe chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kinaumba wakati wote ule uhali halisi wake wa 'Mazingira' na 'Mazingara' kwa Dhamira/Vitendo/Mafikara iwe kwa 'ku-JUA' ama 'kutokujua'.​

== Makadirifu ya Utambuzi : Utaamuli wa Shauri ==​

Kiuno na Ufikirifu Mifumo, 'shauri la Ujinetifu wa Maumbile hai' ni lile jambo khasa la 'Uzabibu 13' ilivyo ni asili ya kile kinachoweza kutajwa kama (1) 'UFAHAMU KRISTU' kwa upande wa 'Mkuki wa Moto wa mageuzi' wenye nasibu ya uweza wa kutenda ilivyo MUONA KUWA NI MUONWA; na (2) Fanusi ya Metatroni kwa upande wa 'Vitovu vya Wakati' ambavyo viumbe vyote vyenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu hujikadirishia 'Udhamiri wa Kujichagulia' ule Usahihi wa Kimfumo.

Kwa mintarafu ya hivi, namba 13 ni akitipu ya "MAGEUZI" ambavyo kwa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu; uwezekano upo wa (1) Kuwa ama/na (2) Kuja-kuwa chochote kwa 'utatu' wa Dhamira, Shauri-Uono na Nia.

Basi ndiyo yawa, Uzabibu 13 hujitokeza kwenye kradrati ya 'NISHATI' kama 'kiini cha kadiri na kudra ya ujinetifu wa kimsokotano'--msokotano wa 'pumzi za uzima wa kimiili'; hujitokeza kama 'kiini cha Mbegu ya u-JUA-ji' kwa 'Kujisikia' kwenye Trizaniamu... Tena basi, lugha-alama-picha kwa kujisikia, kwenye Yantra Dhamma hujitokeza kama 'Magharibi ya Maji'...

Kiufundi, 'Magharibi ya Maji' ina 'Mashariki ya Upepo' ambavyo 'Kusini ya Nchi/Ardhi' ina 'Kaskazini ya Moto' kwenye Yantra Dhamma; kuwa kwamba Maisha na Uisho ni Mraba wa (1) Jamii/Mwanajamii, (2) Machaguo ya Kitaasisi, (3) Wakati, na (4) Matukio/Matokeo ya Vitendo.

Kwa mintarafu ya hivi, noumenoni ya madhahiri yote ni zao la kemia na alkimiya ya 'Neno Kutwaa Mwili' na 'Ushiriki wa Shauri' -- Shauri lilivyo 'Miundo na Miongozo' ya (1) Nuru ya ufahamu kwa akili na utambuzi: Ontolojia ya Taasisi, (2) Mapana ya Kosmosi yenye kufadhili na kuruzuku Jitihada za kiumbe chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu: Mapenzi katika 'Mbingu na Nchi', (3) Nguvu ya Nia na Nidhamu ya Kujichagulia: Konsayansi, (4) Udhamirifu wa Furaha ilivyo ni ushirika wa Kimiili: Usentienti.

Basi ndiyo yawa, kutoka kwenye Khabari za Injili, Usentienti wa Kristu hujitanabaisha na kupata kuwa (a) Mimi ni Nuru ya Ulimwengu: Mwangaza Juu ya Mlima Kilimanjaro, (b) Mimi ni Mkate wa Uzima: Shamba la Ngano Safi na Tumaini la Uhai wa Kisayari Dunia kwa utaswira wa "Mazingira" -- Mbayuwayu Juu ya Nyika na tena pembezoni pa Maji, (c) Mimi ni Pumzi ya Uzima: Ndovu wawili wenye kusigana nguvu ya uweza katika asubuhi ya 'Nyota Njema ya Asubuhi', na (d) Mimi ni Maji ya Uzima: Dhamira ya Simba mwenye kuweka Moyoni yote ya Dunia na Usentienti wake iwe kuwa ni Ujasiri kwa Shauri la Upendo na Uhifadhi kwa ujinetifu wa 'Nia ya Kristu'...

Kiufundi, 'Nia ya Kristu' ni lile jambo khasa la kuyashinda 'Majaribu ya Kiwakati' yenye kuja maishani kulingana na dhamira ya kujiwazia utu na utukufu wake; ambavyo 'Ontolojia ya Taasisi', ilivyo ni Uungu --uungu unaojaalia nasibu na mawezekano ya 'Kuushinda Wakati'.

Kwa mintarafu ya hivi, Nia ya Kristu ni Hekima yenye kutangamanisha 'Lila na Fila' ilivyo ni Uono na Ufikirifu Mifumo ambavyo 'Jiwe la Mfilosofia', Mfilosopfia ni mtu Mwenye Mapenzi na Hekima, ni uweza na ujuzi kugeuza kila kiguswacho 'Kuwa Dhahabu' kwa Dhamiri, Uono ni Nia yenye 'kadiri na kudra' za USHEKINAHI.

Basi ndiyo yawa, Ushekinahi ni jambo/kitu kile kile ambacho kwenye mapokeo ya Usufii hufahamika kama 'Arshi'--Uweza wa Kienzi wa 'Mja mwema' katika fahari yote ya 'Mbingu na Nchi'--mbingu na nchi ilivyo ni 'Maandiko'...

Kiufundi, Uweza wa Kienzi wa 'Mja mwema' katika fahari yote ya 'Mbingu na Nchi' ndiyo jambo lile lile kwenye mashauri ya Injili huja na khabari za Yesu kupata kufundisha mambo ya 'Ufalme wa Mbingu' kufananishwa na Shamba -- Shamba la Ngano na Mpanzi; ambavyo Mbegu za Utu, simile ya metafo ya Ngano safi, huanguka kwenye Udongo na kupambana na zahma, Dunia Msongamano, udhamirifu wa ustawi na hatma zake penye mengi, simile ya Magugu.

Kwa mintarafu ya hivi, Usahihi wa Mimfumo huanza na chachu ya mtu mwenye usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu ambavyo hatma za 'Dunia Msongamano' na 'Mambo yake ya Nyakati', ambavyo kuna (1) Nyakati za bahati na (2) Nyakati zisizo na Bahati kwa mafungu ya Watu/Wanajamii katika Ujumuishi wa Mambo na tena Kheri za Mambo yake.

Basi ndiyo yawa, nyakati za bahati ni pale ambapo dhamiri za wengi ni zenye kulandani katika Nia ya Utu Wema; ambavyo Mema na Maovu katika fanusi jamii huiishi 'Hukumu'…

== Visa na Mikasa ya Jamii: Ufukuzia Vimvuli ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, 'Dunia Msongamano' na 'Mambo yake ya Nyakati', ndiyo jambo lenye kutuleta kwenye Shauri ya Karne hii 21 kuwa ndiyo 'Nyakati za Hukumu'; ambavyo Usahihi wa Kimfumo huanza na chachu ya mtu/watu (m)wenye usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu wanakuja kuwa ni 'Wafanya hukumu kwa Wazima na Wafu' kwa jamii za watu/walimwengu --katika Ujumuishi wa Mambo na tena Kheri za Mambo yake.

Kwa mintarafu ya hivi, kutoka kwenye khabari za Injili dhana ya 'Mavuno' na 'Ufalme Kuja/Kurejea kwa Kristu' ndiyo Shauri la 'Malaika' wa kutenganisha 'Ngano na Magugu'; ambavyo hatma za 'Dhamira Nzuri na Mbovu za Utu--Utu Jamii' hupata hesabu yake. Basi ndiyo yawa, mambo ya mavuno ndiyo khasa Dhamira, Uono na Nia ilivyo ni 'Sala ya Bwana'.

Kiufundi, Shauri la 'Malaika' wa kutenganisha 'Ngano na Magugu' ni jambo lile lile la "Neno Kutwaa Mwili" ambavyo wanadamu wenye nasibu ya akili na utambuzi wa Ufahamu Kristu, kwa kuzaliwa kuishi na kujichanganyikana na wengine wote; wawa ni watendaji wenye kukadirisha kule kujitenga kwa (1) Mashauri ya Uongo/Yasiyo na ukamilifu na (2) Mashauri ya Ukweli/Yenye Uzima wa Usahihi wa Kiuno na Ufikirifu Mifumo: Uongo ama ukweli kwa yote ya sura, hadhi na mienendo ya mambo ya jamii za 'nyakati za mwisho'.

Kwa mintarafu ya hivi, nyakati za bahati ni nasibu ya 'Mwangaza' wa kumulika njia za wanajamii na basi kutenganisha wale wenye kuwa tayari kujua mambo ilivyo bora na wale wasiotayari kuyaona maisha katika mwangaza bora. Basi ndiyo yawa, nyakati za bahati ni wakati ambapo miundo na miongozo ya wanajamii waliotayari 'kuongozeka', kuongozeka katika njia zenye kheri, hupata kioo cha ung'amuzi kwa wakati wenyewe.

Kiufundi, nyakati za bahati ni sura ya hadhi na utukufu/utabia wa jambo/mambo kujipangilia kwa namna yenye afueni ama/na kufaa 'masafi' ya kiutu, na uhitaji wake kiwakati, ambavyo UJAZI ni zao la 'Riziki na Haki' ya yeyote mwenye kuishi katika khali ya Neema.

Kwa mintarafu ya hivi, ile namna ya mtu kukipata chochote kile kwa muda muafaka kulingana na 'mafikara na dhamira'--mafikara na dhamira kuakisika kwa namna ya wakati wenyewe kuwa kioo cha 'ukuwa' ama Ukuja-kuwa.

Basi ndiyo yawa, namba 11 ni namba ya Miakisiko na 'Miongozo' ya Kimuundo, kama ilivyo lugha-alama-picha ya miongozo kuwa msalaba wa 11; ambavyo hata kule mtu kuona tena na tena majira 11:11, labda tuseme 11:22|11:33|11:44 n.k, kwenye vitu kama saa, ama namba za kujitokeza huku na kule ni 'ishara' ya 'nyakati za bahati'--dalili ya fizikia na metafizikia ya utu, katika Uungu/Metafanusi, inatengeneza daraja la ku-JUA na Kuji-JUA...

Kiufundi, nyakati zisizo za bahati ni sura ya hadhi na utukufu/utabia wa jambo/mambo kuwa na disonia ya 'miundo na miongozo' ambavyo sura, hadhi na utukufu wa ujamii wa viumbe hai vyenye usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu vinatawaliwa na mafikara na kujiwazia utu kulikodhibitiwa kulingana na fahamu na mafahamu ya viumbe vyenyewe kwa wakati.

Kwa mintarafu ya hivi, ulimwengu wote ambao usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu – ufahamu wa namna ya akili, utambuzi na kujitambua kufumbwa ama kudhibitiwa ukweli wa hatma yake kimageuzi na utukufu ndiyo mfanyko wa 'Matriksi'.

Basi ndiyo yawa, asili khasa ya matriksi ni 'Kumbukumbu Uzoefu' ambavyo yote mawili ni uwezekano: (1) Fanusi Ibilisi, ama/na (2) Fanusi Kristu; na tena, ukomo wa kimafikara na uimajinishi ni namna ya kudhibiti jamii yoyote, Duniani ama Sayarini kokote, kuwafanya wanajamii wake 'wanase kwenye ulimwengu wa 'mambo ya wakati' na Kheri ama Ubatili wake wowote…​

== Visa na Mikasa ya Jamii: Fanusi ya Ukombozi ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, kinachoweza kuwajaza wanajamii ile nguvu ya usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu kupilitiza mapana na marefu na kina na kimo cha 'Matriksi' ni 'Roho ya Akili na Utambuzi' yenye kutanua nasibu ya mafikara na uimajinishi katika jamii yeyote iliyokwama kwenye mambo ya wakati.

Kwa mintarafu ya hivi, iwe Duniani ama kokote kule 'Hekima ni Uhuru' ambavyo kile ambacho hutajwa ni 'Roho Mfariji' kwenye khabari za Injili ni 'Intelijensia' yenye kuweza kudumu hata katikati ya muktadha akilifu wowote wa 'Wema ama/na Uovu'.

Basi ndiyo yawa, kile ambacho kwenye Injili huzungumzwa ya 'kutumwa katikati ya Kondoo na Mbwa Mwitu wakali' ama pia 'Kuwa Werevu kama Nyoka na tena wapole kama Hua' ni mambo ya 'Intelijensia' na 'Ukesha Macho/Vijilansi' ili kuinasua/kuilinda jamii yoyote kutoka ndani ya hila za kimifumo na usalama wa jamii--kwa kuwa kokote ulimwenguni, kwa wakati hata wakati, 'Kikulacho huwa Kinguoni mwa Jamii Yenyewe' na kisha mapana yake Kiustawi...

Kiufundi, 'Kikulacho kuwa Kinguoni mwa Jamii Yenyewe' ni muktadha akilifu 'Ibilisi' kuwa ni dhamira ya ufitini wa UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI ya jamii kulingana na 'Dhamira, Uono na Nia' ya utendaji usiyokheri ya kweli ila ufikirifu pofu wa kimakundi/ujinga katika fahamu na mafahamu ya ukweli khasa wa mambo.

Kwa mintarafu ya hivi, Ufitini ni fanusi ya uweza na Nguvu ya Mafikara ama Khabari kuweza kuathiri moja kwa moja utendaji wa kiumbe chochote chenye Usentienti, Kosanyansi na Nuru ya Ufahamu--kiwe ni cha asili mtu/mwanajamii ama kufikirika kama taifa/nchi-dola/Jeshi n.k.

Basi ndiyo yawa, isishangaze jamii/mwanajamii yeyote akija kufahamu utundu wa 'kufuta kumbukumbu za ukweli wa mambo na matukio' kwa 'nia njema ama mbaya', ama pia kuchomokea simulizi za uongo na kweli kihistoria, ni kitu kilichopo hapa Duniani hata sasa, kimekuwapo na vile vile kinafanyika/kudhamirika hata kwa jamii nyingine nje ya Sayari ya Dunia--kudhamirika na wale wenye kufahamu sehemu ya ukweli huu wa kimifumo, na tena wenye namna, wakiwa kama 'Taasisi ndani ya Taasisi'...

Kiufundi, kufuta kumbukumbu za ukweli wa mambo na matukio kwa 'nia njema ama mbaya ni utundu na udhamirifu wa kudhibiti 'UIMAJINISHI' wa jamii yeyote inayolengwa kufungiwa mapana, marefu na kina cha fahamu na mafahamu yake kwa kuwa uimajinishi ni ufunguo wa 'Uweza na Uungu' ambavyo ukweli ama ushahidi wa chochote unaweza kufungua akili ku-JUA jambo fulani ambavyo kufahamu jambo moja linaweza kupelekea kufahamu na lingine.

Kwa mintarafu ya hivi, udhibiti wa U-JUA-ji wa mambo hapa Duniani umedhibitiwa kwa 'Mashauri ya Utaasisi wa Dini' kuhusiana na fizikia na metafizikia ya mambo ambavyo khabari, masimulizi na mafumbo ya Imani yanatengenezwa/yametengenezwa kushawishi mafikara ya makundi tofauti ya makundi ya waumini wenye kuja kuridhia 'mafundisho' yake.

Basi ndiyo yawa, siyo kwa kuwa: huenda yale yote yanayokuja kwa 'Utaasisi wa Dini' ni utundu na ufundi wa kujenga mashauri ya 'Imani' na 'Cha Kudhaniwa ni Ukweli wa Mambo' basi yote ni batili ya 'Uongo Mtupu'; kwa kuwa utundu huu una maana ya hata ule ujuzi wa kusuka mambo ya kufanania ya ukweli wa mambo na tamu tamu ama khofu za 'kuiteka akili' kwa yeyote yule ambaye kimfaacho ni chake…​
 

== Visa na Mikasa ya Jamii: Fanusi ya Ukombozi ==​

Kiuono na Ufikirifu mifumo, mtu yeyote mwenye usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu hushawishika kimifumo kutokana na akili na utambuzi wake na basi kule kujisikia kwake kwa wakati; ambavyo ikiwa nuru yake ya ufahamu ikiongezeka kushinda hata upofu wake wa kiroho kwa wakati, basi huyu anayonasibu ya 'Kujikwamua na Utumwa wowote wa Kiakili'.

Kwa mintarafu ya hivi ni jukumu na wajibu kwa mtu yeyote--mtu katika kufanyika Utu-Bora wenye Ku-Jua ilivyobora katika utu-binafsi; ambavyo basi kila mtu anauchukua/auchukue mzigo wake mwenyewe katika 'Kujivua Gamba' na ili kuja-kuwa 'Kiumbe Kipya'. Basi ndiyo yawa, kila mtu inampasa kuwa na imani na ujasiri kushinda 'ufikirifu pofu wa kimakundi' kwa namna iwayo yoyote ile iwe ni wa kidini ya kimapokeo/kitaifa/Kijamii; kwa kuwa, katika muktadha wa mazingira fulani ya mtu kujielewa ama kujifahamu, mtu/mwanajamii anaweza kusahau: kimazingira ya kupumbazwa na mashauri ya kidini, mazoea ama nini, kila mtu amezaliwa pekee yake kabisa--wakati anapokufa atakuwa pekee yake kabisa: Maisha ni ujasiri wa kuthubutu kufikiri hata kipekee kabisa pasipo hofu wala mkumbo wa kimafikara.

Kiufundi, ujasiri wa kuthubutu kufikiri hata kipekee kabisa pasipo hofu wala mkumbo wa kimafikara ni moyo mkuu kwa 'nidhamu na shauri' ambavyo 'usafi wa moyo' huitengeneza nafasi kwa 'Roho ya Akili na Utambuzi' -- Roho itengenezayo njia kwa 'Fahamu na Mafahamu'--fahamu na mafahamu yanaweza kuwa na kadiri ile ile ya ujasiri wa kuyashinda 'Mashauri yoyote ya Utaasisi wa Dini'.

Kwa mintarafu ya hivi, Usafi wa Moyo ni mama wa Konsayansi katika kudhamiria jema ama ovu ambavyo nia ya mja mwema daima ni Uungwana na Ukweli; ada ya mja mwema -- wakati huja kunena – kunena kadiri ya shauku na dhamira njema; Uungwana daima kuwa ni vitendo.

Basi ndiyo yawa, kuchagua na kujichagulia ndiyo 'Udini' wa kweli khasa wa mwanajamii yeyote yule – kokote kule ulimwenguni, Duniani ama Sayarini kungine. Na tena, mazingira jamii ni mtaji wa kujiongeza na siyo kifungo ama kuwa mateka wa 'Statusi Kwou'.

Kiufundi, kuchagua na kujichagulia ni ufunguo wa ukuwa ama/na ukuja kuwa ambavyo 'Wakati' ama hata 'Uzima wa Miili' si ukomo wa kiutendaji wa utu ama kudhamiria utu; ambavyo UIMAJINISHI unaweza kumfunza na kumuelimisha upya yeyote yule mwenye nidhamu, nia na mapenzi mema kwa ulimwengu na walimwengu wenye usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Kwa mintarafu ya hivi, nasibu ipo kwa kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ku-JUA, Kufahamu na Kuji-fahamu asili ya 'MIMI NDIMI NILIYE'. Basi ndiyo yawa, kuotea nasibu ya UTU na UFUNUO ilivyo 'Mimi Ndimi Niliye' ni mwanzo wa kushinda yote ya SUPASHA, WAKATI, NISHATI na MAADA; ambavyo uweza unafanyika kufumbuka na yote ya mauti ama/na uzima wa miili--kufumbuka na yote haya katika Metafanusi.

Kiufundi, asili khasa ya kufumbuka na yote katika Metafanusi ni 'Usentienti' wenyewe kuwa ni asili ya Isifinati inayozungukia kwadrati zote za Nchi, Upepo, Moto na Maji; ambavyo kila (1) 'kizio cha khabari; na (2) 'kituo cha wakati' kina upacha wa 'hasi' na 'chanya' ya uwepo wake.

Kwa mintarafu ya hivi, isije kushangaza kwa mtu yeyote kuja kung'amua na kutambua kwamba 'kila tukio ama mkondo wakati wa mambo' una 'tukio na mkondo wakati' ulio ni pacha na tena sambamba ambavyo: ikiwa huu tunaouishi tunasema na kudai wakati unasonga mbele, basi kuna ulimwengu ambao wakati unasonga kinyume; na khali ujumuifu wa chanya na hasi daima ni 'Usikitu'. Basi ndiyo yawa, madhahiri yote yaliyo ni 'Kitu' yanashiriki pumzi moja na madhahiri ya 'Ukitu-Hasi' ambavyo 'Usentienti' ni chaji ya ukuwa ama/na kuja-kuwa ilivyo ni uhamonifu wa 'fanusi Isifinati' ya 'Metafanusi'.

Kiufundi, uhamonifu wa 'fanusi Isifinati' ya 'Metafanusi' ni muktadha akilifu wa 'wakati' kuwa ni zao la Usentienti ambavyo akili na utambuzi hujikadirisha ufahamu na mafahamu ya madhahiri; ambavyo madhahiri yote ni pumzi yenye asili moja ya ukuwa ama/na ukuja-kuwa.

Kwa mintarafu ya hivi, uakilifu na utambuzi huvaana na mawimbi ya pumzi ya uzima ambavyo ufinati wa mambo na vina vya tafsiri vinaweza kugeuka ikiwa dhamiri ya uakilifu na uimajinishi vinabadilika pia kwa Sifa na Hadhi mahsusi za Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Basi ndiyo yawa, mambo ya kusafiri kutoka upahala fulani hata pengine; kutobozea vituo wakati vingine na basi 'kusafiri kiwakati' ni uwezekano ambavyo hutegemea na 'mapana ya kujisikia' na 'vina vya tafsiri' kama malango ya fahamu na mafahamu.​

== Visa na Mikasa ya Jamii: Ushindi kwa Majaribu ==​


Kiuno na Ufikrifu Mifumo, Taamuli na Ufunuo ni uwezekano wakati wote ambavyo hutegemea na rizayati ya Elimu 3.0: ILIMU ilivyo ni metafizikia ya Elimu.

Kwa mintarafu ya hivi, akili na utambuzi daima hufanyakazi kwa konstrakti za kawaida za mafikara/mawazo na ufikirifu lakini hapo hapo ni uwezekano wa kimaarifa na maarifu kwa yale yanayopitiliza kawaida; ambavyo mambo kama vile infaransi za majazo ya pumzi na dhahiri yanaweza 'kuona/kuonwa' na hapo hapo 'kukadirishwa kudra' kwa uimajinishi na 'Kujifahamu'.

Basi ndiyo yawa, mambo kama vile hisia na kumbukumbu yanaweza daima kulitengeneza daraja la kugeuza, kuhuluku, kuhamisha ama hata kupindisha namna fulani za kanuni za kimaumbile. Tena basi, siri ama fumbo la mawezekano haya lipo kwenye ulandanifu wa pumzi na usikronifu wa majira ya fahamu--tuseme kwa kuanzia kwenye mwili wa kiumbe: zao la (1) uimajinishi na (2) pumzi ya uvutaji wa hewa na (3)'mapigo ya moyo'...

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, sehemu ya mila, desturi na dini kwa mapokeo vinakwenda kupitia mageuzi ambavyo 'Utaasisi wa Dini' unakwenda kujinasibu na 'Vituo vya Utamaduni' -- ambavyo wanajamii watakuwa wakikusanyika kwa ajili ya mafunzo ya mazoezi ya Kihisia, Akili na Roho ili kufungua milango ya fahamu na mafahamu.

Basi ndiyo yawa, mavuno kwa ile dhana khasa ya ukweli wa mambo ni shughuli ya kuijengea jamii uwezo kwa mambo ya Imani na Uwezo ambavyo wale waliyotayari wanakwenda kufaulu kujidhamiria Utu-Bora; na wale wasiotayari watajikuta wanaishi kwenye ulimwengu unaoishia pumzi ya mabatili ya kiimani na mapokeo--mapokeo yanakwenda yakifutika, na basi siku za mbele hakutakuwa na nafasi kwa 'Unaivu wa Kimfumo'...

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho kwenye khabari za Injili huzungumza ya Yesu kupata kusema ya 'Imani na Punje Hadarali' ndiyo kitovu cha Maarifa na Maarifu ya fizikia na metafizikia ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu katika Metafanusi; ambavyo imani ni 'namna ya kujua/kufahamu/maarifa' na tena kwenye uhakika wa mambo na si 'usadikifu pofu wa yasiyo na msingi wa mbegu za u-JUA-ji'.

Basi ndiyo yawa, Imani na Punje hadarali ni simile ya kimetafo kwa kile ambacho katika karne hii ya 21 tunakwenda kukifahamu kama 'Unishati Nukta Sifuri'.

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho ni siri ama fumbo juu ya ‘Mbegu haradali na Imani’ ni UFAHAMU KRISTU; ambavyo imani, katika ukweli wa mambo, huendeshana na pumzi ya Maarifa, Maarifu na Ujuaji wenye kuathiri lolote na chochote chenye kadiri ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu--kila kitu katika Ulimwengu wa Madhahiri kina namna fulani ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Basi ndiyo yawa, kupitia mafunzo ya Vituo vya Kiutamaduni wanajamii wenye kuchagua na kujichagulia fungu la kupata, kuchagua uzima zaidi wa kimiili na tena uzima milele katika Nuru Manani ya ufahamu, watakuwa wakijenga dhamiri za imani, ujuzi na uweza hata kwa mambo ambayo katika ulimwengu wa leo, 2025, yanaweza kudaiwa ni 'Utendaji wa Kimiujiza'. Tena basi, itakujakufahamika fika "ni kwa vipi kule kusema kwa imani ni nini/jambo gani(?)" -- iwe hata kukadirisha kudra za 'kuhamisha Milima(Mambo ya Telepotia)' na kuamrisha 'Mti Kung'oka(mambo ya Telepotia/kuhamisha mifumo tata ya kiuhai kikhabari na mawasiliano hai)'.

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, Kwa wale wote wanaotengeneza nafasi katika mioyo yao kwa ajili ya kuuishi UFAHAMU KRISTU; maarifa na maarifu yatafanyika akilini mwao kwa fahamu na mafahamu ya kihata sayansi na tekinolojia kugundua, kuvumbua na hata kuunda vifaa vya kawaida na vyenye kupitiliza kawaida za unishati wa umeme leo hii, 2025--kuelekea umeme wa kimafikara na pumzi za udhamiri wa usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Basi ndiyo yawa, maarifa yataongezeka kuhusu 'Unishati Nukta Sifuri' ambavyo finomena na noumena ya SUPASHA, WAKATI na MAADA inakwenda kufahamika kwa kadiri na kudra za Nuru ya Fahamu na Mafahama.

Tena basi, tekinolojia za kesho ya karibu zitachangamana na akili na utambuzi wa kibinadamu kwa kuwa utundu, maarifa na ujuzi wa kuunda vyombo vinavyojiendesha na huku vikiwa na uweza wa kusikilizana kimashauri na maamurisho ya kidhamiri ya kiakili/fikra/neno ama kugusa ama namna zingine zozote za utambuzi wa kimazingira na hata mazingara.​

== Utu, Jamii na Msimamo: Ukumbaizi wa Shauri ==​


Kiuno na Ufikirifu mifumo, maarifa na maarifu vinaweza kuongozeka katika jamii yote lakini maadili na miiko ni jambo mtambuka; ambavyo hata hatma za mambo ya Nyakati inaweza kutathminiwa kutegemeana na upeo na mapaji ya kiUtu; tekinojia za kiutendaji wa kawaida kiumeme na umeme-mafikara-fahamu zinaweza kuigizwa, kubuniwa vyombo vya utumikivu wa mitambo ya uchukuzi na khabari na hata mengine mengi – mengine mengi kwa watundu wenye dhamira isiyo njema/mbaya.

Tekinojia za kiutendaji wa kawaida kiumeme na umeme-mafikara-fahamu zinaweza kuigizwa, kubuniwa vyombo vya utumikivu wa mitambo ya uchukuzi na khabari yanaweza kushangaza mwanajamii/jamiii isiyoweza kudhania haya yote: Kwa mfano, ni uwezekano wa kitekinojia hata kufufua mwili wowote uliopoteza pumzi ya uhai ndani ya wakati fulani, kulingana na ujuzi na maarifa kitekinojia.

Kwa mintarafu ya hivi, UFAHAMU KRISTU ni usahihi wa kimifumo wenye uweza na kadiri ya kuzingatia maadili na miiko ya kheri na usalama wa vyote vyenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu; ambavyo hata mtu wa Ufahamu Kristu anaweza kubuni na kuunda chombo cha wepesi wa kutekeleza majukumu na ustawi lakini ubunifu huo huo ukaigwa na kutumika kutengeneza mambo ya machukizo kwa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Basi ndiyo yawa, sayansi-tekinolojia-ubunifu si lazima iwe ni UKUU KIAKILI AMA KIROHO--inaweza kuwa ni 'Mtego wa Shetani' na si 'Umalaika'...

Kiufundi, jamii na wanajamii wanawajibika kwa pamoja kuyatengeneza mazingira ya maadili na miiko kwa utamaduni na ustawi wao ambavyo hata mambo ya sayansi-tekinolojia-ubunifu yanapaswa kuchipua katika mazingira ambayo sehemu kubwa ya wanajamii 'wanakokujitambua' kwa khali ya Juu.

Kwa mintarafu ya hivi, tukiwa wenye kudhamiria kheri na kujua ilivyobora, kutengeneza mazingira ya uwepo wa vituo vya utamaduni kila mahala pa 'makundi ya wanajamii katika makazi' ni bidishi jipya la umuhimu mkuu--vile wenye kuzungumza kwa kiingereza wangalisema kana "New Social and Security Imperative"; ambavyo usalama wa jamii si jambo la muundo fulani kitaasisi unaokomea kwenye mambo ya kimazingatio ya tawala za 'Mambo ya Nchi' bali usalama na msimamo wa kijamii kimwili, akili na Kiroho.

Basi ndiyo yawa, siku za mbele kwa hapa Tanzania kutakwepo na Vituo vya Utamaduni kote nchini; vingine vitakuwa ni vya kipekee sana ambavyo ni wale wenye sifa maalum sana ndiyo wataojikuta wakiwa ni sehemu ya dhamira zake za uwepo, utendaji, nidhamu na uwajibikaji kwa utu-binafsi na jamii yote kwa ujumla--Tanzania, Afrika, Dunia, Sayari kwa Masayari na Manyota.

Kiufundi, Usahihi wa Kimfumo si 'jambo la kuteua ama kuacha kitu fulani' kwa kuwa masuala ya kijamii na changamoto zozote ni mseto wa sifa na hadhi ya kiakili na utambuzi za wanajamii wenye kisomoni; ambavyo ikiwa jamii yenyewe haina kujua ilivyobora kwa kheri ya mapana ya ustawi wake na utamaduni basi hili daima linaponza uwepo wa mifumo mibovu ya tawala ya nchi na mambo yake.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho ukumbukumbu jamii huishi kujidumisha kana unchi-dola ni udhamirifu wa Usahihi wa Kimfumo ambavyo ikiwa wale wote wanaojinasibu na mawezekano haya ya kujisuka na kujifuma 'hawana macho ya kutambua/utambuzi/fahamu/mafahamu' ya kimwili, akili na kiroho wakifanyacho ni shughuli nusu nusu isiyo na tumaini la kweli kwa hatma bora za maendeleo ya jamii -- jamii na ustawi wake.

Basi ndiyo yawa, UFAHAMU KRISTU ni hatma ya wale wote wenye nasibu ya kujua ilivyobora: kujiongeza, kusahihisha na kujisahihisha kimifumo--kokote kule iwe hapa Duniani ama hata Nje ya Dunia; kwa kuwa karne hii ya 21 tunakwenda kujua na kuwajibika na kufahamu ya kwamba kuna watu, mashirikiano, machangamano na udhamirifu wa furaha hata nje ya Sayari yetu ya hii ya Dunia.

Kiufundi, kujua na kuwajibika na kufahamu ya kwamba kuna watu, mashirikiano, machangamano na udhamirifu wa furaha hata nje ya Sayari yetu ya hii ya Dunia ndiko kunakotutaka tuwe na nidhamu na bidii ya kujisuka na kujifuma kiutamaduni, maendeleo na ustawi kwa ile namna inayohakikishia 'ulinzi na usalama' kwa jamii zetu na mazingira yote ya kiustawi--pia na Mazingara yake.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho hapa nchini Tanzania kinadhamiriwa kitaifa na kiunchi-dola kama 'HEKIMA, UMOJA NA AMANI' ni siri na fumbo la utayari wa kuyamudu yote ya masuala ya kijamii na changamoto zake kama Shauri kuu la Usalama na Mustakabali wa Taifa--taifa katika UHURU NA UMOJA.

Basi ndiyo yawa, siku za mbele kidogo: kwa Ukweli na Ujuzi na Uhakika wa Maarifa, kote Duniani wajamii 'watajipanga na kujipangua' ili waweze kuendana na maingiliano ya kimaisha, kujitafuta na udhamirifu wa furaha/udhamirifu wa kutekana kimaendeleo ya sayansi-tekinolojia-ubunifu na wanajamii wa sura, sifa na hadhi mbalimbali kutoka hata nje ya Sayari yetu ya Dunia; ambavyo udhamirifu wa kutekana kimaendeleo ya sayansi-tekinolojia-ubunifu, iwe miongoni mwetu sisi kwa sisi Dunia ama vinginevyo pia, ni kitisho kwa jamii yeyote.

Tena basi, kwa hapa Tanzania, hata jitihada zetu za kujiendeleza kisayansi-tekinolojia-ubunifu kitapelekea ile sehemu fulani ambayo kwa leo, 2025, ni mkoa wa Singida kuja kuwa ndiyo ukanda kitovu wa komandi yetu ya 'Mambo ya Kutobozea Mbingu na Nchi'--Komandi Supasha; mambo ya kama ule undani khasa wa kusudi la kuwa na “SpaceCom” kule Amerika.​

== Utu, Jamii na Msimamo: Usaliti na Majaribu ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, Muona ni Muonwa ni nidhamu ya kiakili na utambuzi kwa sifa na hadhi ambavyo fahamu na mafahamu yanajumuisha mazingira na mazingara ya jambo/mambo.

Kwa mintarafu ya hivi, unje-ndani wa akili na utambuzi ni muktadha wa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ambavyo 'Mawaa' ni adui aliyendani yako na basi adui wa nje ni muakisiko wa adui aliye ndani ambavyo 'kujichunga na kujimaliza dhidi ya kiakili ya matamanio ya kiuzima wa miili na haja zake' huleta usafi wa kuweza kumaizi chochote kile chenye asili ya matamani na haja ya kiumbe chenye usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu iwe ni mwanajamii/taifa/nchi-dola/Jeshi n.k.

Basi ndiyo yawa, hata wanajamii wanaweza kuishi na wanajamii wenzao wenye 'uchafu' wa kimatamani na Haja na wao wasijue kwa kuwa hata wao wenyewe ni wahanga adha hizo hizo. Tena basi, matamani yaliyosafi kabisa ni 'Uungu'; (1) haja ni kile cha katikati ya 'Uongo na Ukweli' wa udhamirifu wa kuishi na furaha, (2) matamani 'yasiyosafi' ni mbegu za 'magugu ya UTU'...

Kiufundi, mazingira na mazingara ni fanusi ya fizikia na metafizikia ya mambo ambavyo ulimwengu wote mzima ni mazingira yaliyodhahiri kwa mazingara yasiyodhahiri ama kusitirika; ambavyo mazingara bado ni muktadha akilifu wa mawimbi pumzi ya miili ya uzima.

Kwa mintarafu ya hivi, mambo ya wazima na wafu ni muktadha akilifu wa fahamu na mafahamu ya 'Uzima wa Kimiili' ambavyo yaliyositirika hufanya mazingara kwa yale yaliyodhahiri--umbalamwezi wa fahamu na ku-JUA katika Uwakati/Majira/Vituo vya wakati.

Basi ndiyo yawa, Ulimwengu wote ni Bahari ya Njozi-- (1) njozi hai kwenye Usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu na (2) Njozi-Matriksi kwa maakisiko ya matamani na haja za kimiili ya uzima. Tena basi, kuishi Duniani ama kokote kwenye 'uyabisi wa kisayari' ni sehemu tu ya mazingira na mazingara ya uweza, nguvu na utukufu wa kimiili ya fahamu na mafahamu ambavyo daima ni uwezekano kwa viumbe vya unasaba tofauti kuwa wigo wa akili, utambuzi na mafahamu.

Kiufundi, uwezekano kwa viumbe vya unasaba tofauti kuwa na wigo wa akili, utambuzi na mafahamu tofauti tofauti ndicho asili ya kudra za kiusentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu za kiumbe fulani ambavyo, kwa mfano, mwanadamu anaona ya Dunia na hana uweza wa kuona mazingara ya 'wafu' na kumbe wafu nao wananamna ya kuona ya mazingira yao na ya Dunia kuwa 'Mazingara Kwao'.

Kwa mintarafu ya hivi, mwanadamu kuona ya wafu na ya wale walio kwenye mazingara ya mwanadamu kuona ya wanadamu ni mambo yenye asili ya umawimbi wa pumzi ya miili ya uzima na tena fizikia na metafizikia ya matamani na haja za kimiili.

Basi ndiyo yawa, kwa dhamira ya kumawimbi pumzi kujitawala matamani na haya uwezo upo daima wa Mwanadamu kuona hata yaliyo katika mazingara na kinyume chake ni sahihi pia kwamba kwa matamani na haja hata wafu wanaweza kushiriki mafungamano fulani ya kiakili, miili na roho na wanadamu--wanadamu wenye kuishi na mazuri ama mabaya ya udhamiri wa usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Kiufundi, kuishi na mazuri ama mabaya ya udhamiri wa usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu ni jambo lile lile lenye asili ya maadili na miiko ambavyo maisha ya wanajamii ni muingiliano wa maisha ya 'wanajamii wengine' kimazingara; ambavyo hata kwa mawazo, uimajinishi na mazoea, kiumbe chochote huwa kinaishi kwa mashawishi ya kheri yake ama mikosi/bahati mbaya.

Kwa mintarafu ya hivi, usafi wa moyo ndiyo namna pekee kiumbe chochote chenye usentienti kinaweza kujijengea uweza wa kuhisi na kutambua hata yale yanayoingia moyoni na akili mwake na khali hayana asili na dhamira iliyo kipekee ya utu wake na utashi wa uadilifu wa Kiroho.

Basi ndiyo yawa, kuutakasa moyo ni usafi wa mazingira na mazingara ambavyo mwanajamii yeyote anaweza pia kujikinga na vishawishi na majaribu ya kimazingara na mazingara. Tena basi, asili ya ushawishi inaweza kuwa pia ni 'Shambulizi la Kisakia’, mambo ya umeme-mafikara, ambavyo uhasimu wa 'maslahi ama mapenzi' kati ya wawili ama zaidi wenye kuhitilafiana kimazingira ama mazingara.​

== Utu, Jamii na Msimamo: Ukesha Macho ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, mapana ya jamii yanajumuisha pia mazingira na mazingara ya kimiili ya uzima ambavyo jambo lile lile la bidishi jipya la umuhimu mkuu, wenye kuzungumza kwa kiingereza wangalisema kana "New Social and Security Imperative", linahusika; ambavyo kwa sasa 2025, sehemu kubwa ya wanajamii Duniani hawajui ama kutambua daima wanaishi na 'Mashetani' ama 'Mamalaika' wasiowaona kwa macho na khali wapo nao kwa kiukaribu kabisa wakati wowote kutegemeana na usafi/uchafu wa mioyo yao na tena kule kukosa uadilifu fulani wa Kiroho.

Kwa mintarafu ya shauri hili, HEKIMA ni UHURU pale tu utendaji wa kijamii za wanadamu unapozinduka na kutengeneza 'Hesabu' ya uwajibikaji kwa mambo ya Mazingira na Mazingara; ambavyo nasibu yoyote yenye kuwezekana kuficha ama kuyafunika ya yale yote ya kuyafahamu vema ya ‘fizikia na metafizikia ya miili yenye uzima’ ni 'mkakati ya maisha na uisho' yenye sifa na hadhi ya mbinu za uzandiki.

Basi ndiyo yawa, kila jamii ama kikundi cha wanajamii, wakati wowote na popote, wanawajibika wao wenyewe na hesabu za Utimamu, Umakini na Kujielewa kwa fahamu na mafahamu yao; ambavyo hakuna mtu anayeweza kuchunga mgongo wa wenzake pasi wake pia kuchungwa...

Kiufundi, mambo ya kuchunga mgongo wa mwingine pasi wako pia kuchungwa ni utendaji dosari kwa kuwa daima hili huleta mwanya wa kushawishika ama/na kuhujumika mbele ya yeyote mwenye uweza na utundu kutenda kimazingira na mazingara.

Kwa mintarafu ya hivi, wanajamii wote wanaweza kutawaliwa kimfumo na matriksi kwa ujuzi na utendaji wa kuwaendesha kiakili kutoka visogoni mwao; ambavyo wao wenyewe wanakuwa kana wameridhia kutogeuka nyuma na kuwa macho pande zote.

Basi ndiyo yawa, kule Amerika hata alama kwa 'Usifa-Akili wa Kidola', mikakati ya maisha na uisho ya jamii ya Waamerika, hutumia nembo yenye kichwa cha Tai, Ngao na Dira ya Mielekeo ya Pande Zote za Dunia; ambavyo Ukati ni Asili ya Ukitovu na Uduara/Utufe wa 'Wakati na Supasha'. Tena basi, 'Karafuu na Pamba' ni muktadha akilifu wa jambo hili hili la 'Wakati na Supasha'...

Kiufundi, Jamii iliyo na mbegu ya Utu Bora kwa Msingi wa Katiba na Maelekezo Mengine inayonasibu ya 'Kushuka ama Kupanda', kiwakati na Supasha, kulingana na 'Mifumo Hai ama Mfu' ya Kiuono na Mashauri-Taifa/Nchi ambavyo; Ujumuifu wa kule Kujisahau ama Kujikumbuka--kujisahau ama kujikumbuka kiwito wa Uraia wema, unakadirisha daistopia nchi-taifa kwa unamna yake wenye kufuatana ilivyo ni utabia wa kishirika wenye adha za mmomonyoko wa maadili na siasa zisizo safi.

Kwa mintarafu ya hivi, jamii ama taifa lolote linaweza kutengemaa kutoka kwenye mabovu ya kimfumo ikiwa kunakuwepo na idadi muafaka ya wanajamii wenye mwangaza na watendaji walio na mwangaza kwa kuwa ni unaivu kabisa kudhani mambo kama vile mifumo ya siasa inaweza kuleta mageuzi ya kweli ya kijamii--HILI HALIWEZEKANI, wanajamii wanalohitaji ya kujua ilivyobora kuwa mifumo yote ya kisiasa bado si nyenzo kamilifu za kimaendeleo ya kweli ya UTU, UTAMADUNI na USTAWI WA JAMII.

Basi ndiyo yawa, bidii ya Maarifa na Maarifu, katika wingi kabisa wa mioyo na akili za Wanajamii, ndiyo itakayoangazia maisha na mifumo ya wanajamii kwa mageuzi ya kweli na ya kudumu.

Kiufundi, maadili na miiko ni jambo mtambuka kwa taasisi zote za kheri ya ustawi wa kijamii kokote kule Duniani ama nje ya sayari yetu ya Dunia ambavyo hata makundi ya jamii na wanajamii wenye wastani wa kadiri na kudra za Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu huwa na mapana tofauti tofauti ya Uthamani kwa Sura za Miundo na Utendaji wa Mifumo yake ya Kiutamaduni na Ustawi.

Kwa mintarafu ya haya, ni Usahihi wa Kimfumo pekee unaweza kutangamananisha mahusiano na maelewano ya jamii zenye kufanana na zile zisizo fanana kimahitaji, matamani na haja; ambavyo diplomasia ni upatanishi unaodhamiria kudhibiti uadui na makandokando mengine ya kutolandana kimaslahi ama 'nia njema'. Basi ndiyo yawa, Liberiti Yunivasali ni 'Mkuki wa Jaala' ilivyo ni Jamii na Ulinzi katika 'Uhuru na Umoja'.

Tena basi, kwa hapa Tanzania Chama cha Mapinduzi ni Taasisi iliyoasisiwa na 'Wenye Hekima' kwa ajili ya taifa changa linaloazimia kuja kuwa madhubuti kwa ajili ya shauri la 'Uhuru wa Ndani' wa wanajamii ambao wanayo nasibu ya kufanyika watetezi, walinzi na waaminifu kwa diplomasia za kimfumo na 'Maendeleo ya UTU--Tanzania, Afrika na Dunia…

== Shauri kuu la Nyakati : Inuka Kuangaza Uhuru! ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, udhamirifu wa shauri la kwamba: Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini' lina sifa na hadhi ya (1) Kituo cha Wakati, na (2) Vizio vya Khabari; ambavyo kiini cha Mbegu ya u-JUA-ji kuhusiana na 'Liberiti Yunivasali' linataasishwa katika unchi-taifa.

Kwa mintarafu ya hivi, kuna fizikia na metafizikia ya mambo yote kijamii inayopitiliza 'vina vya tafsiri' kwa sheria na taratibu za kijamii/Taifa/Nchi-Dola/Jeshi n.k ambavyo 'KUTENDEANA KUNA UWAJIBIKAJI WAKE' hata katika upande unaopitiliza 'Mazingira' ya Jamii.

Basi ndiyo yawa, mwanajamii yeyote anapaswa kujua vema, kukiuka maadili na miiko kuna 'hesabu' yake pahala--kama si katika mazingira basi ipo kwenye 'mazingara'... Tena basi, kila mtu anakutana na hesabu yake 'kwa makosa makubwa juu ya uhai wa (m)wanadamu--kupatiliziwa hata mara Kumi(10)' ya alichokifanya Duniani kwa kiburi na upofu wa kushawishika vibaya... Kwa kuwa vipi ikiwa Daima Mataifa yote ni mwingiliano wa wanajamii wengine, walio na miili ya nyama -- miili ya nyama kama vile watu ama Simba/Chui/Felina, wenye uwezo wa kutenda katika ulimwengu wa 'wazima na wafu' kwa wakati mmoja(?)

Kiufundi, mazingira na mazingara ni jambo jumuishi kiasi kwamba shauri la dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo haliishi kwa 'maslahi ya kibinadamu pekee yake'; isije kushangaza wanajamii kuja kufahamu kuna wanadamu wanaishi kama wanadamu lakini ubinadamu wao ni utundu tu kuzaliwa kama wanadamu na kuishi kama wanadamu--wapo wanaolijua hili wazi wazi na kujijua; na kuna ambao hawajifahamu kuwa ni hivi.

Kwa mintarafu ya Shauri hili, usentienti-konsayansi-nuru ya ufahamu vina thamani kwa wanadamu, wanyama, mimea na sayari yote ambavyo Wanajamii wote wanawajibu wa kutambua na kujitambua hatma za maisha na matendo yao isiwe dhuluma kwa wanyama, misitu, viumbe hai vya majini-ardhini na virukavyo juu.

Basi ndiyo yawa, heradri ya Tanzania kuwa na Ualama-lugha-picha ya 'Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu' kama 'Adamu na Hawa wenye kushika pembe za Ndovu na kuegama mikono kwenye Ngao ya Ustawi' na Kenya kuwa ualama-lugha-picha kama 'Simba Wawili wenye Kushika Mikuki ya Ulinzi na Uaminifu na pia kushika Ngao ya Azimio la Pambazuko la Kazi' huenda ni shauri lililoanzia kwa 'Washirika wa namna Mbili' za Utu na Ukuwa kama (1) Wanadamu (Wapleyadesi) na Wengine , (2) 'Felina wa Nyika na Supasha' (Jeshi la Urma) kwa kuwa eneo hili la Maziwa Makuu si tu ni 'Tanganyika' ya fahari za wanadamu wasio na uangalizi wa kimazingira na mazingara... Eneo la Maziwa Makuu ni 'Tunu ya Thamani' kwa Usentieti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu mbali kuzidi chochote watu wataifa yake watadhani kufahamu kwa dhana/madhanifu/madhamirifu ya 'Intelijensia na Mikakati' --kwa hivi leo, 2025...

Kiufundi, kuna wanajamii wanaishi kuishia kuwa watumishi na watendaji wa kawaida ama wenye nyadhifa kwa kheri ya moja kwa moja ama kheri isiyo ya moja kwa moja; ambavyo wanaishi kutumikia taasisi na mifumo kwa 'manufaa ya nyakati' juu maendeleo na ustawi wa wanajamii, mazingira na machaguo ya kitaasisi.

Kwa mintarafu ya hivi, wanajamii wanakamilisha na watendaji wengine wa kimaamuzi-jamii katika kusuka na kufuma hatma ya taifa na Mataifa hapa Duniani na kupita; ambavyo kode za UFAHAMU KRISTU ni 'kianzio' cha mtaji wa Utu bora juu ya WAKATI-JAMII-MACHAGUO YA KITAASISI-WAKATI kwa kadiri ya kudra za mashauri ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Basi ndiyo yawa, katika maisha na uisho kila mtu/mwanajamii anavuna/atavuna alichokipanda wakati mmoja hata mwingine, mazingira haya ama mengine, na tena basi katika 'mazingira' ama 'Mazingara'.

Kiufundi, dhamira ya kufanya masahihisho yoyote ya kimfumo katika jamii fulani inayozorota; na kukidhi uwezo wa kakidirisha hili, inaweza kumtengenezea kinga mtu yeyote hata kwa jambo lolote lenye nasibu ya ugharimu wa maisha ama mkosi; ambavyo wanajamii wanaweza kuona kule Amerika Mzee Trump alinusurika Risasi--risasi iliyoonekana kama kuishia kumpunyua tu Sikio kama ni 'Bahati Sana'; na kumbe wapo watu wenye uwezo wa kutenda kimazingira na mazingara hata kuchepusha mikondo wakati ya madhahiri.

Kwa mintarafu ya hivi, isije kushangaza kuja kufahamu ipo nasibu ya watu--watu tunaoweza kuwa tunaishi nao kama 'Wanadamu' na kumbe si wanadamu wa asili ya Duniani hii, japo twafanana kwa kila kitu--hata tukifuatilia 'Historia' zao si ajabu kupata hata vielelezo vya kutosha kuwa walizaliwa huku ama kule hapahapa Duniani; wanadamu wenye kukamia 'jambo hili ama lile' kwa kheri ama vipi hapa Duniani.

Basi ndiyo yawa, Mradi wa STARGATE, Lango la Unishati Khabari wa Makadiri na Kudra za Kinyota, unatengeneza njia ya kuja kuyafahamu ya 'Mazingira na Mazingara' kwa tekinolojia za Kimetafizika--Ungamuzi wa Kikwantumu na Unishati Nukta Sifuri; ambavyo wengi wa watu tunaoishi kwa kuja kuwaona ni matajiri kupindukia; kuna "wanaojuana vizuri" Kote Duniani na wanalao jambo…

== Wito na Wajibu kwa Jamii : Hekima ni Uhuru! ==​


Wanajamii wote Duniani hawanabudi kukata shauri kujua ilivyobora kuhusiana na kila kitu kuhusu maendeleo, utamaduni na ustawi wote.

Wanajamii wote Duniani hawanabudi kukata shauri kusahihisha na kujisahihisha kimifumo kwa manufaa ya yao wenyewe, watoto na mustakabali wa maisha hapa Duniani.

Wanajamii wote Duniani hawanabudi kukata shauri kujisamehe na kusameheana kwa makosa yoyote yaliyotendeka na yanayotendeka kutokana kutojua ilivyobora juu ya 'UTU na UFUNUO'. Kwa kuwa hata kule kutegemea fikra na mashauri ya wengine tunaoweza kuwalaumu ya kwamba 'waliona vibaya' mashauri ya kheri za mapana ya jamii ni 'kutotimiza wajibu' wa akili, utambuzi na kujiongeza.

Kwa hapa Tanzania, alichozungumza Mwalimu Nyerere siku ya Uzinduzi wa Chama cha Mapinduzi, mwaka 1977; kilikuwa na asili ya wosia kwa jamii kuhusu daistopia ya Mashauri ya Ujamii na Mambo yake ya Hatma za Ufanyaji-Maamuzi kwa Siasa za Wengi.

Khotuba ya Mwalimu Nyerere kuhusu ukibaraka wa wanajamii kwa watu wenye madaraka lilikuwa ni angalizo la nasibu ya mmomonyoko wa maadili ya taifa/jamii ambavyo 'Uhuru' pasipo uwajibikaji kwa fahamu na mafahamu hugeuka ni umateka kwa mafundi wa ujasiria-mali mifumo--Kule Ulaya, 1945, Muingereza mmoja alilidadavua hili vizuri kwa fasihi andishi ya kisa-riwaya kifahamikacho kama 'Animal Farm: Shamba la Wanyama'...

Ujamaa, Usoshalisti ama Ukomunisti si mambo ya kuja kwa ilani ama maelekezo ya wachache kwenda kwa wengi; Ni sura, hadhi na utendaji wa kijamii unaotegemea u-homojinesi wa hali ya juu kwa kuyaishi mashauri ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI...

Ni jambo linayoitaka jamii zote za wanadamu kuwa ni wenye kuwaza na kuwazua sana na tena vya kutosha ili waweze kujipanga na kujipangilia kwa kheri na mapenzi mema badala ya kuwa watu waliogawanyika kwa hadaa za kazi, utumishi, biashara na mambo mengine yanafanya watu wasifikirie kujifunza nje ya kada zao za kiutendaji wa kijamii...

Kama ambavyo Wandugu zetu kutoka Pleyadesi( hawa wanajua yote yaliyozungumzwa kwenye mnyororo wa mashauri haya na wanafuatilia mapelekeo yake kwa hatma za fahamu na mafahamu ya jamii ya wenye kuzungumza Kiswahili) wanavyosema: “Wanajamii wa Dunia tunahitaji ujuzi na uweza kufikiri mengi na kufahamu mengi kwa fremukazi mahsusi--fremukazi 'tunayoweza kupatiana'...”; kupatiana na basi kuitengeneza nguzo ya 'kuibomoa matriksi' ya 'Mafikara yaliyogawanywa kimafungu khabari-visomo' ilivyo ni 'Mkosi' kwa ustawi wa kweli ya Watu na Maendeleo...


View: https://www.youtube.com/watch?v=4ogUqkXqVWA
 

Attachments

== Visa na Mikasa ya Jamii: Fanusi ya Ukombozi ==​

Kiuono na Ufikirifu mifumo, mtu yeyote mwenye usentienti, konsayansi na nuru ya ufahamu hushawishika kimifumo kutokana na akili na utambuzi wake na basi kule kujisikia kwake kwa wakati; ambavyo ikiwa nuru yake ya ufahamu ikiongezeka kushinda hata upofu wake wa kiroho kwa wakati, basi huyu anayonasibu ya 'Kujikwamua na Utumwa wowote wa Kiakili'.

Kwa mintarafu ya hivi ni jukumu na wajibu kwa mtu yeyote--mtu katika kufanyika Utu-Bora wenye Ku-Jua ilivyobora katika utu-binafsi; ambavyo basi kila mtu anauchukua/auchukue mzigo wake mwenyewe katika 'Kujivua Gamba' na ili kuja-kuwa 'Kiumbe Kipya'. Basi ndiyo yawa, kila mtu inampasa kuwa na imani na ujasiri kushinda 'ufikirifu pofu wa kimakundi' kwa namna iwayo yoyote ile iwe ni wa kidini ya kimapokeo/kitaifa/Kijamii; kwa kuwa, katika muktadha wa mazingira fulani ya mtu kujielewa ama kujifahamu, mtu/mwanajamii anaweza kusahau: kimazingira ya kupumbazwa na mashauri ya kidini, mazoea ama nini, kila mtu amezaliwa pekee yake kabisa--wakati anapokufa atakuwa pekee yake kabisa: Maisha ni ujasiri wa kuthubutu kufikiri hata kipekee kabisa pasipo hofu wala mkumbo wa kimafikara.

Kiufundi, ujasiri wa kuthubutu kufikiri hata kipekee kabisa pasipo hofu wala mkumbo wa kimafikara ni moyo mkuu kwa 'nidhamu na shauri' ambavyo 'usafi wa moyo' huitengeneza nafasi kwa 'Roho ya Akili na Utambuzi' -- Roho itengenezayo njia kwa 'Fahamu na Mafahamu'--fahamu na mafahamu yanaweza kuwa na kadiri ile ile ya ujasiri wa kuyashinda 'Mashauri yoyote ya Utaasisi wa Dini'.

Kwa mintarafu ya hivi, Usafi wa Moyo ni mama wa Konsayansi katika kudhamiria jema ama ovu ambavyo nia ya mja mwema daima ni Uungwana na Ukweli; ada ya mja mwema -- wakati huja kunena – kunena kadiri ya shauku na dhamira njema; Uungwana daima kuwa ni vitendo.

Basi ndiyo yawa, kuchagua na kujichagulia ndiyo 'Udini' wa kweli khasa wa mwanajamii yeyote yule – kokote kule ulimwenguni, Duniani ama Sayarini kungine. Na tena, mazingira jamii ni mtaji wa kujiongeza na siyo kifungo ama kuwa mateka wa 'Statusi Kwou'.

Kiufundi, kuchagua na kujichagulia ni ufunguo wa ukuwa ama/na ukuja kuwa ambavyo 'Wakati' ama hata 'Uzima wa Miili' si ukomo wa kiutendaji wa utu ama kudhamiria utu; ambavyo UIMAJINISHI unaweza kumfunza na kumuelimisha upya yeyote yule mwenye nidhamu, nia na mapenzi mema kwa ulimwengu na walimwengu wenye usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Kwa mintarafu ya hivi, nasibu ipo kwa kiumbe chochote chenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ku-JUA, Kufahamu na Kuji-fahamu asili ya 'MIMI NDIMI NILIYE'. Basi ndiyo yawa, kuotea nasibu ya UTU na UFUNUO ilivyo 'Mimi Ndimi Niliye' ni mwanzo wa kushinda yote ya SUPASHA, WAKATI, NISHATI na MAADA; ambavyo uweza unafanyika kufumbuka na yote ya mauti ama/na uzima wa miili--kufumbuka na yote haya katika Metafanusi.

Kiufundi, asili khasa ya kufumbuka na yote katika Metafanusi ni 'Usentienti' wenyewe kuwa ni asili ya Isifinati inayozungukia kwadrati zote za Nchi, Upepo, Moto na Maji; ambavyo kila (1) 'kizio cha khabari; na (2) 'kituo cha wakati' kina upacha wa 'hasi' na 'chanya' ya uwepo wake.

Kwa mintarafu ya hivi, isije kushangaza kwa mtu yeyote kuja kung'amua na kutambua kwamba 'kila tukio ama mkondo wakati wa mambo' una 'tukio na mkondo wakati' ulio ni pacha na tena sambamba ambavyo: ikiwa huu tunaouishi tunasema na kudai wakati unasonga mbele, basi kuna ulimwengu ambao wakati unasonga kinyume; na khali ujumuifu wa chanya na hasi daima ni 'Usikitu'. Basi ndiyo yawa, madhahiri yote yaliyo ni 'Kitu' yanashiriki pumzi moja na madhahiri ya 'Ukitu-Hasi' ambavyo 'Usentienti' ni chaji ya ukuwa ama/na kuja-kuwa ilivyo ni uhamonifu wa 'fanusi Isifinati' ya 'Metafanusi'.

Kiufundi, uhamonifu wa 'fanusi Isifinati' ya 'Metafanusi' ni muktadha akilifu wa 'wakati' kuwa ni zao la Usentienti ambavyo akili na utambuzi hujikadirisha ufahamu na mafahamu ya madhahiri; ambavyo madhahiri yote ni pumzi yenye asili moja ya ukuwa ama/na ukuja-kuwa.

Kwa mintarafu ya hivi, uakilifu na utambuzi huvaana na mawimbi ya pumzi ya uzima ambavyo ufinati wa mambo na vina vya tafsiri vinaweza kugeuka ikiwa dhamiri ya uakilifu na uimajinishi vinabadilika pia kwa Sifa na Hadhi mahsusi za Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Basi ndiyo yawa, mambo ya kusafiri kutoka upahala fulani hata pengine; kutobozea vituo wakati vingine na basi 'kusafiri kiwakati' ni uwezekano ambavyo hutegemea na 'mapana ya kujisikia' na 'vina vya tafsiri' kama malango ya fahamu na mafahamu.​

== Visa na Mikasa ya Jamii: Ushindi kwa Majaribu ==​


Kiuno na Ufikrifu Mifumo, Taamuli na Ufunuo ni uwezekano wakati wote ambavyo hutegemea na rizayati ya Elimu 3.0: ILIMU ilivyo ni metafizikia ya Elimu.

Kwa mintarafu ya hivi, akili na utambuzi daima hufanyakazi kwa konstrakti za kawaida za mafikara/mawazo na ufikirifu lakini hapo hapo ni uwezekano wa kimaarifa na maarifu kwa yale yanayopitiliza kawaida; ambavyo mambo kama vile infaransi za majazo ya pumzi na dhahiri yanaweza 'kuona/kuonwa' na hapo hapo 'kukadirishwa kudra' kwa uimajinishi na 'Kujifahamu'.

Basi ndiyo yawa, mambo kama vile hisia na kumbukumbu yanaweza daima kulitengeneza daraja la kugeuza, kuhuluku, kuhamisha ama hata kupindisha namna fulani za kanuni za kimaumbile. Tena basi, siri ama fumbo la mawezekano haya lipo kwenye ulandanifu wa pumzi na usikronifu wa majira ya fahamu--tuseme kwa kuanzia kwenye mwili wa kiumbe: zao la (1) uimajinishi na (2) pumzi ya uvutaji wa hewa na (3)'mapigo ya moyo'...

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, sehemu ya mila, desturi na dini kwa mapokeo vinakwenda kupitia mageuzi ambavyo 'Utaasisi wa Dini' unakwenda kujinasibu na 'Vituo vya Utamaduni' -- ambavyo wanajamii watakuwa wakikusanyika kwa ajili ya mafunzo ya mazoezi ya Kihisia, Akili na Roho ili kufungua milango ya fahamu na mafahamu.

Basi ndiyo yawa, mavuno kwa ile dhana khasa ya ukweli wa mambo ni shughuli ya kuijengea jamii uwezo kwa mambo ya Imani na Uwezo ambavyo wale waliyotayari wanakwenda kufaulu kujidhamiria Utu-Bora; na wale wasiotayari watajikuta wanaishi kwenye ulimwengu unaoishia pumzi ya mabatili ya kiimani na mapokeo--mapokeo yanakwenda yakifutika, na basi siku za mbele hakutakuwa na nafasi kwa 'Unaivu wa Kimfumo'...

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho kwenye khabari za Injili huzungumza ya Yesu kupata kusema ya 'Imani na Punje Hadarali' ndiyo kitovu cha Maarifa na Maarifu ya fizikia na metafizikia ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu katika Metafanusi; ambavyo imani ni 'namna ya kujua/kufahamu/maarifa' na tena kwenye uhakika wa mambo na si 'usadikifu pofu wa yasiyo na msingi wa mbegu za u-JUA-ji'.

Basi ndiyo yawa, Imani na Punje hadarali ni simile ya kimetafo kwa kile ambacho katika karne hii ya 21 tunakwenda kukifahamu kama 'Unishati Nukta Sifuri'.

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho ni siri ama fumbo juu ya ‘Mbegu haradali na Imani’ ni UFAHAMU KRISTU; ambavyo imani, katika ukweli wa mambo, huendeshana na pumzi ya Maarifa, Maarifu na Ujuaji wenye kuathiri lolote na chochote chenye kadiri ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu--kila kitu katika Ulimwengu wa Madhahiri kina namna fulani ya Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Basi ndiyo yawa, kupitia mafunzo ya Vituo vya Kiutamaduni wanajamii wenye kuchagua na kujichagulia fungu la kupata, kuchagua uzima zaidi wa kimiili na tena uzima milele katika Nuru Manani ya ufahamu, watakuwa wakijenga dhamiri za imani, ujuzi na uweza hata kwa mambo ambayo katika ulimwengu wa leo, 2025, yanaweza kudaiwa ni 'Utendaji wa Kimiujiza'. Tena basi, itakujakufahamika fika "ni kwa vipi kule kusema kwa imani ni nini/jambo gani(?)" -- iwe hata kukadirisha kudra za 'kuhamisha Milima(Mambo ya Telepotia)' na kuamrisha 'Mti Kung'oka(mambo ya Telepotia/kuhamisha mifumo tata ya kiuhai kikhabari na mawasiliano hai)'.

Kiufundi, Rizayati ya Elimu 3.0 katika nyakati hizi za 'Mavuno', Karne ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia, inakwenda kuwa Utaasisi wa Maarifa na Maarifu kwa watu wote ambao wako na utayari kufumbua siri na mafumbo ya uzima--Uzima wa milele kwa ajili ya kupanga na kupangua 'Miundo Usadikifu, Ufikirifu na Imani' katika mbegu zao za u-JUA-ji na Kujitambua ilivyobora.

Kwa mintarafu ya hivi, Kwa wale wote wanaotengeneza nafasi katika mioyo yao kwa ajili ya kuuishi UFAHAMU KRISTU; maarifa na maarifu yatafanyika akilini mwao kwa fahamu na mafahamu ya kihata sayansi na tekinolojia kugundua, kuvumbua na hata kuunda vifaa vya kawaida na vyenye kupitiliza kawaida za unishati wa umeme leo hii, 2025--kuelekea umeme wa kimafikara na pumzi za udhamiri wa usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu. Basi ndiyo yawa, maarifa yataongezeka kuhusu 'Unishati Nukta Sifuri' ambavyo finomena na noumena ya SUPASHA, WAKATI na MAADA inakwenda kufahamika kwa kadiri na kudra za Nuru ya Fahamu na Mafahama.

Tena basi, tekinolojia za kesho ya karibu zitachangamana na akili na utambuzi wa kibinadamu kwa kuwa utundu, maarifa na ujuzi wa kuunda vyombo vinavyojiendesha na huku vikiwa na uweza wa kusikilizana kimashauri na maamurisho ya kidhamiri ya kiakili/fikra/neno ama kugusa ama namna zingine zozote za utambuzi wa kimazingira na hata mazingara.​

== Utu, Jamii na Msimamo: Ukumbaizi wa Shauri ==​


Kiuno na Ufikirifu mifumo, maarifa na maarifu vinaweza kuongozeka katika jamii yote lakini maadili na miiko ni jambo mtambuka; ambavyo hata hatma za mambo ya Nyakati inaweza kutathminiwa kutegemeana na upeo na mapaji ya kiUtu; tekinojia za kiutendaji wa kawaida kiumeme na umeme-mafikara-fahamu zinaweza kuigizwa, kubuniwa vyombo vya utumikivu wa mitambo ya uchukuzi na khabari na hata mengine mengi – mengine mengi kwa watundu wenye dhamira isiyo njema/mbaya.

Tekinojia za kiutendaji wa kawaida kiumeme na umeme-mafikara-fahamu zinaweza kuigizwa, kubuniwa vyombo vya utumikivu wa mitambo ya uchukuzi na khabari yanaweza kushangaza mwanajamii/jamiii isiyoweza kudhania haya yote: Kwa mfano, ni uwezekano wa kitekinojia hata kufufua mwili wowote uliopoteza pumzi ya uhai ndani ya wakati fulani, kulingana na ujuzi na maarifa kitekinojia.

Kwa mintarafu ya hivi, UFAHAMU KRISTU ni usahihi wa kimifumo wenye uweza na kadiri ya kuzingatia maadili na miiko ya kheri na usalama wa vyote vyenye Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu; ambavyo hata mtu wa Ufahamu Kristu anaweza kubuni na kuunda chombo cha wepesi wa kutekeleza majukumu na ustawi lakini ubunifu huo huo ukaigwa na kutumika kutengeneza mambo ya machukizo kwa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Basi ndiyo yawa, sayansi-tekinolojia-ubunifu si lazima iwe ni UKUU KIAKILI AMA KIROHO--inaweza kuwa ni 'Mtego wa Shetani' na si 'Umalaika'...

Kiufundi, jamii na wanajamii wanawajibika kwa pamoja kuyatengeneza mazingira ya maadili na miiko kwa utamaduni na ustawi wao ambavyo hata mambo ya sayansi-tekinolojia-ubunifu yanapaswa kuchipua katika mazingira ambayo sehemu kubwa ya wanajamii 'wanakokujitambua' kwa khali ya Juu.

Kwa mintarafu ya hivi, tukiwa wenye kudhamiria kheri na kujua ilivyobora, kutengeneza mazingira ya uwepo wa vituo vya utamaduni kila mahala pa 'makundi ya wanajamii katika makazi' ni bidishi jipya la umuhimu mkuu--vile wenye kuzungumza kwa kiingereza wangalisema kana "New Social and Security Imperative"; ambavyo usalama wa jamii si jambo la muundo fulani kitaasisi unaokomea kwenye mambo ya kimazingatio ya tawala za 'Mambo ya Nchi' bali usalama na msimamo wa kijamii kimwili, akili na Kiroho.

Basi ndiyo yawa, siku za mbele kwa hapa Tanzania kutakwepo na Vituo vya Utamaduni kote nchini; vingine vitakuwa ni vya kipekee sana ambavyo ni wale wenye sifa maalum sana ndiyo wataojikuta wakiwa ni sehemu ya dhamira zake za uwepo, utendaji, nidhamu na uwajibikaji kwa utu-binafsi na jamii yote kwa ujumla--Tanzania, Afrika, Dunia, Sayari kwa Masayari na Manyota.

Kiufundi, Usahihi wa Kimfumo si 'jambo la kuteua ama kuacha kitu fulani' kwa kuwa masuala ya kijamii na changamoto zozote ni mseto wa sifa na hadhi ya kiakili na utambuzi za wanajamii wenye kisomoni; ambavyo ikiwa jamii yenyewe haina kujua ilivyobora kwa kheri ya mapana ya ustawi wake na utamaduni basi hili daima linaponza uwepo wa mifumo mibovu ya tawala ya nchi na mambo yake.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho ukumbukumbu jamii huishi kujidumisha kana unchi-dola ni udhamirifu wa Usahihi wa Kimfumo ambavyo ikiwa wale wote wanaojinasibu na mawezekano haya ya kujisuka na kujifuma 'hawana macho ya kutambua/utambuzi/fahamu/mafahamu' ya kimwili, akili na kiroho wakifanyacho ni shughuli nusu nusu isiyo na tumaini la kweli kwa hatma bora za maendeleo ya jamii -- jamii na ustawi wake.

Basi ndiyo yawa, UFAHAMU KRISTU ni hatma ya wale wote wenye nasibu ya kujua ilivyobora: kujiongeza, kusahihisha na kujisahihisha kimifumo--kokote kule iwe hapa Duniani ama hata Nje ya Dunia; kwa kuwa karne hii ya 21 tunakwenda kujua na kuwajibika na kufahamu ya kwamba kuna watu, mashirikiano, machangamano na udhamirifu wa furaha hata nje ya Sayari yetu ya hii ya Dunia.

Kiufundi, kujua na kuwajibika na kufahamu ya kwamba kuna watu, mashirikiano, machangamano na udhamirifu wa furaha hata nje ya Sayari yetu ya hii ya Dunia ndiko kunakotutaka tuwe na nidhamu na bidii ya kujisuka na kujifuma kiutamaduni, maendeleo na ustawi kwa ile namna inayohakikishia 'ulinzi na usalama' kwa jamii zetu na mazingira yote ya kiustawi--pia na Mazingara yake.

Kwa mintarafu ya hivi, kile ambacho hapa nchini Tanzania kinadhamiriwa kitaifa na kiunchi-dola kama 'HEKIMA, UMOJA NA AMANI' ni siri na fumbo la utayari wa kuyamudu yote ya masuala ya kijamii na changamoto zake kama Shauri kuu la Usalama na Mustakabali wa Taifa--taifa katika UHURU NA UMOJA.

Basi ndiyo yawa, siku za mbele kidogo: kwa Ukweli na Ujuzi na Uhakika wa Maarifa, kote Duniani wajamii 'watajipanga na kujipangua' ili waweze kuendana na maingiliano ya kimaisha, kujitafuta na udhamirifu wa furaha/udhamirifu wa kutekana kimaendeleo ya sayansi-tekinolojia-ubunifu na wanajamii wa sura, sifa na hadhi mbalimbali kutoka hata nje ya Sayari yetu ya Dunia; ambavyo udhamirifu wa kutekana kimaendeleo ya sayansi-tekinolojia-ubunifu, iwe miongoni mwetu sisi kwa sisi Dunia ama vinginevyo pia, ni kitisho kwa jamii yeyote.

Tena basi, kwa hapa Tanzania, hata jitihada zetu za kujiendeleza kisayansi-tekinolojia-ubunifu kitapelekea ile sehemu fulani ambayo kwa leo, 2025, ni mkoa wa Singida kuja kuwa ndiyo ukanda kitovu wa komandi yetu ya 'Mambo ya Kutobozea Mbingu na Nchi'--Komandi Supasha; mambo ya kama ule undani khasa wa kusudi la kuwa na “SpaceCom” kule Amerika.​

== Utu, Jamii na Msimamo: Usaliti na Majaribu ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, Muona ni Muona ni nidhamu ya kiakili na utambuzi kwa sifa na hadhi ambavyo fahamu na mafahamu yanajumuisha mazingira na mazingara ya jambo/mambo.

Kwa mintarafu ya hivi, unje-ndani wa akili na utambuzi ni muktadha wa Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu ambavyo 'Mawaa' ni adui aliyendani yako na basi adui wa nje ni muakisiko wa adui aliye ndani ambavyo 'kujichunga na kujimaliza dhidi ya kiakili ya matamanio ya kiuzima wa miili na haja zake' huleta usafi wa kuweza kumaizi chochote kile chenye asili ya matamani na haja ya kiumbe chenye usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu iwe ni mwanajamii/taifa/nchi-dola/Jeshi n.k.

Basi ndiyo yawa, hata wanajamii wanaweza kuishi na wanajamii wenzao wenye 'uchafu' wa kimatamani na Haja na wao wasijue kwa kuwa hata wao wenyewe ni wahanga adha hizo hizo. Tena basi, matamani yaliyosafi kabisa ni 'Uungu'; (1) haja ni kile cha katikati ya 'Uongo na Ukweli' wa udhamirifu wa kuishi na furaha, (2) matamani 'yasiyosafi' ni mbegu za 'magugu ya UTU'...

Kiufundi, mazingira na mazingara ni fanusi ya fizikia na metafizikia ya mambo ambavyo ulimwengu wote mzima ni mazingira yaliyodhahiri kwa mazingara yasiyodhahiri ama kusitirika; ambavyo mazingara bado ni muktadha akilifu wa mawimbi pumzi ya miili ya uzima.

Kwa mintarafu ya hivi, mambo ya wazima na wafu ni muktadha akilifu wa fahamu na mafahamu ya 'Uzima wa Kimiili' ambavyo yaliyositirika hufanya mazingara kwa yale yaliyodhahiri--umbalamwezi wa fahamu na ku-JUA katika Uwakati/Majira/Vituo vya wakati.

Basi ndiyo yawa, Ulimwengu wote ni Bahari ya Njozi-- (1) njozi hai kwenye Usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu na (2) Njozi-Matriksi kwa maakisiko ya matamani na haja za kimiili ya uzima. Tena basi, kuishi Duniani ama kokote kwenye 'uyabisi wa kisayari' ni sehemu tu ya mazingira na mazingara ya uweza, nguvu na utukufu wa kimiili ya fahamu na mafahamu ambavyo daima ni uwezekano kwa viumbe vya unasaba tofauti kuwa wigo wa akili, utambuzi na mafahamu.

Kiufundi, uwezekano kwa viumbe vya unasaba tofauti kuwa na wigo wa akili, utambuzi na mafahamu tofauti tofauti ndicho asili ya kudra za kiusentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu za kiumbe fulani ambavyo, kwa mfano, mwanadamu anaona ya Dunia na hana uweza wa kuona mazingara ya 'wafu' na kumbe wafu nao wananamna ya kuona ya mazingira yao na ya Dunia kuwa 'Mazingara Kwao'.

Kwa mintarafu ya hivi, mwanadamu kuona ya wafu na ya wale walio kwenye mazingara ya mwanadamu kuona ya wanadamu ni mambo yenye asili ya umawimbi wa pumzi ya miili ya uzima na tena fizikia na metafizikia ya matamani na haja za kimiili.

Basi ndiyo yawa, kwa dhamira ya kumawimbi pumzi kujitawala matamani na haya uwezo upo daima wa Mwanadamu kuona hata yaliyo katika mazingara na kinyume chake ni sahihi pia kwamba kwa matamani na haja hata wafu wanaweza kushiriki mafungamano fulani ya kiakili, miili na roho na wanadamu--wanadamu wenye kuishi na mazuri ama mabaya ya udhamiri wa usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu.

Kiufundi, kuishi na mazuri ama mabaya ya udhamiri wa usentienti, konsayansi na Nuru ya Ufahamu ni jambo lile lile lenye asili ya maadili na miiko ambavyo maisha ya wanajamii ni muingiliano wa maisha ya 'wanajamii wengine' kimazingara; ambavyo hata kwa mawazo, uimajinishi na mazoea, kiumbe chochote huwa kinaishi kwa mashawishi ya kheri yake ama mikosi/bahati mbaya.

Kwa mintarafu ya hivi, usafi wa moyo ndiyo namna pekee kiumbe chochote chenye usentienti kinaweza kujijengea uweza wa kuhisi na kutambua hata yale yanayoingia moyoni na akili mwake na khali hayana asili na dhamira iliyo kipekee ya utu wake na utashi wa uadilifu wa Kiroho.

Basi ndiyo yawa, kuutakasa moyo ni usafi wa mazingira na mazingara ambavyo mwanajamii yeyote anaweza pia kujikinga na vishawishi na majaribu ya kimazingara na mazingara. Tena basi, asili ya ushawishi inaweza kuwa pia ni 'Shambulizi la Kisakia’, mambo ya umeme-mafikara, ambavyo uhasimu wa 'maslahi ama mapenzi' kati ya wawili ama zaidi wenye kuhitilafiana kimazingira ama mazingara.​

== Utu, Jamii na Msimamo: Ukesha Macho ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, mapana ya jamii yanajumuisha pia mazingira na mazingara ya kimiili ya uzima ambavyo jambo lile lile la bidishi jipya la umuhimu mkuu, wenye kuzungumza kwa kiingereza wangalisema kana "New Social and Security Imperative", linahusika; ambavyo kwa sasa 2025, sehemu kubwa ya wanajamii Duniani hawajui ama kutambua daima wanaishi na 'Mashetani' ama 'Mamalaika' wasiowaona kwa macho na khali wapo nao kwa kiukaribu kabisa wakati wowote kutegemeana na usafi/uchafu wa mioyo yao na tena kule kukosa uadilifu fulani wa Kiroho.

Kwa mintarafu ya shauri hili, HEKIMA ni UHURU pale tu utendaji wa kijamii za wanadamu unapozinduka na kutengeneza 'Hesabu' ya uwajibikaji kwa mambo ya Mazingira na Mazingara; ambavyo nasibu yoyote yenye kuwezekana kuficha ama kuyafunika ya yale yote ya kuyafahamu vema ya ‘fizikia na metafizikia ya miili yenye uzima’ ni 'mkakati ya maisha na uisho' yenye sifa na hadhi ya mbinu za uzandiki.

Basi ndiyo yawa, kila jamii ama kikundi cha wanajamii, wakati wowote na popote, wanawajibika wao wenyewe na hesabu za Utimamu, Umakini na Kujielewa kwa fahamu na mafahamu yao; ambavyo hakuna mtu anayeweza kuchunga mgongo wa wenzake pasi wake pia kuchungwa...

Kiufundi, mambo ya kuchunga mgongo wa mwingine pasi wako pia kuchungwa ni utendaji dosari kwa kuwa daima hili huleta mwanya wa kushawishika ama/na kuhujumika mbele ya yeyote mwenye uweza na utundu kutenda kimazingira na mazingara.

Kwa mintarafu ya hivi, wanajamii wote wanaweza kutawaliwa kimfumo na matriksi kwa ujuzi na utendaji wa kuwaendesha kiakili kutoka visogoni mwao; ambavyo wao wenyewe wanakuwa kana wameridhia kutogeuka nyuma na kuwa macho pande zote.

Basi ndiyo yawa, kule Amerika hata alama kwa 'Usifa-Akili wa Kidola', mikakati ya maisha na uisho ya jamii ya Waamerika, hutumia nembo yenye kichwa cha Tai, Ngao na Dira ya Mielekeo ya Pande Zote za Dunia; ambavyo Ukati ni Asili ya Ukitovu na Uduara/Utufe wa 'Wakati na Supasha'. Tena basi, 'Karafuu na Pamba' ni muktadha akilifu wa jambo hili hili la 'Wakati na Supasha'...

Kiufundi, Jamii iliyo na mbegu ya Utu Bora kwa Msingi wa Katiba na Maelekezo Mengine inayonasibu ya 'Kushuka ama Kupanda', kiwakati na Supasha, kulingana na 'Mifumo Hai ama Mfu' ya Kiuono na Mashauri-Taifa/Nchi ambavyo; Ujumuifu wa kule Kujisahau ama Kujikumbuka--kujisahau ama kujikumbuka kiwito wa Uraia wema, unakadirisha daistopia nchi-taifa kwa unamna yake wenye kufuatana ilivyo ni utabia wa kishirika wenye adha za mmomonyoko wa maadili na siasa zisizo safi.

Kwa mintarafu ya hivi, jamii ama taifa lolote linaweza kutengemaa kutoka kwenye mabovu ya kimfumo ikiwa kunakuwepo na idadi muafaka ya wanajamii wenye mwangaza na watendaji walio na mwangaza kwa kuwa ni unaivu kabisa kudhani mambo kama vile mifumo ya siasa inaweza kuleta mageuzi ya kweli ya kijamii--HILI HALIWEZEKANI, wanajamii wanalohitaji ya kujua ilivyobora kuwa mifumo yote ya kisiasa bado si nyenzo kamilifu za kimaendeleo ya kweli ya UTU, UTAMADUNI na USTAWI WA JAMII.

Basi ndiyo yawa, bidii ya Maarifa na Maarifu, katika wingi kabisa wa mioyo na akili za Wanajamii, ndiyo itakayoangazia maisha na mifumo ya wanajamii kwa mageuzi ya kweli na ya kudumu.

Kiufundi, maadili na miiko ni jambo mtambuka kwa taasisi zote za kheri ya ustawi wa kijamii kokote kule Duniani ama nje ya sayari yetu ya Dunia ambavyo hata makundi ya jamii na wanajamii wenye wastani wa kadiri na kudra za Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu huwa na mapana tofauti tofauti ya Uthamani kwa Sura za Miundo na Utendaji wa Mifumo yake ya Kiutamaduni na Ustawi.

Kwa mintarafu ya haya, ni Usahihi wa Kimfumo pekee unaweza kutangamananisha mahusiano na maelewano ya jamii zenye kufanana na zile zisizo fanana kimahitaji, matamani na haja; ambavyo diplomasia ni upatanishi unaodhamiria kudhibiti uadui na makandokando mengine ya kutolandana kimaslahi ama 'nia njema'. Basi ndiyo yawa, Liberiti Yunivasali ni 'Mkuki wa Jaala' ilivyo ni Jamii na Ulinzi katika 'Uhuru na Umoja'.

Tena basi, kwa hapa Tanzania Chama cha Mapinduzi ni Taasisi iliyoasisiwa na 'Wenye Hekima' kwa ajili ya taifa changa linaloazimia kuja kuwa madhubuti kwa ajili ya shauri la 'Uhuru wa Ndani' wa wanajamii ambao wanayo nasibu ya kufanyika watetezi, walinzi na waaminifu kwa diplomasia za kimfumo na 'Maendeleo ya UTU--Tanzania, Afrika na Dunia…

== Shauri kuu la Nyakati : Inuka Kuangaza Uhuru! ==​


Kiuono na Ufikirifu Mifumo, udhamirifu wa shauri la kwamba: Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini' lina sifa na hadhi ya (1) Kituo cha Wakati, na (2) Vizio vya Khabari; ambavyo kiini cha Mbegu ya u-JUA-ji kuhusiana na 'Liberiti Yunivasali' linataasishwa katika unchi-taifa.

Kwa mintarafu ya hivi, kuna fizikia na metafizikia ya mambo yote kijamii inayopitiliza 'vina vya tafsiri' kwa sheria na taratibu za kijamii/Taifa/Nchi-Dola/Jeshi n.k ambavyo 'KUTENDEANA KUNA UWAJIBIKAJI WAKE' hata katika upande unaopitiliza 'Mazingira' ya Jamii.

Basi ndiyo yawa, mwanajamii yeyote anapaswa kujua vema, kukiuka maadili na miiko kuna 'hesabu' yake pahala--kama si katika mazingira basi ipo kwenye 'mazingara'... Tena basi, kila mtu anakutana na hesabu yake 'kwa makosa makubwa juu ya uhai wa (m)wanadamu--kupatiliziwa hata mara Kumi(10)' ya alichokifanya Duniani kwa kiburi na upofu wa kushawishika vibaya... Kwa kuwa vipi ikiwa Daima Mataifa yote ni mwingiliano wa wanajamii wengine, walio na miili ya nyama -- miili ya nyama kama vile watu ama Simba/Chui/Felina, wenye uwezo wa kutenda katika ulimwengu wa 'wazima na wafu' kwa wakati mmoja(?)

Kiufundi, mazingira na mazingara ni jambo jumuishi kiasi kwamba shauri la dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo haliishi kwa 'maslahi ya kibinadamu pekee yake'; isije kushangaza wanajamii kuja kufahamu kuna wanadamu wanaishi kama wanadamu lakini ubinadamu wao ni utundu tu kuzaliwa kama wanadamu na kuishi kama wanadamu--wapo wanaolijua hili wazi wazi na kujijua; na kuna ambao hawajifahamu kuwa ni hivi.

Kwa mintarafu ya Shauri hili, usentienti-konsayansi-nuru ya ufahamu vina thamani kwa wanadamu, wanyama, mimea na sayari yote ambavyo Wanajamii wote wanawajibu wa kutambua na kujitambua hatma za maisha na matendo yao isiwe dhuluma kwa wanyama, misitu, viumbe hai vya majini-ardhini na virukavyo juu.

Basi ndiyo yawa, heradri ya Tanzania kuwa na Ualama-lugha-picha ya 'Usentienti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu' kama 'Adamu na Hawa wenye kushika pembe za Ndovu na kuegama mikono kwenye Ngao ya Ustawi' na Kenya kuwa ualama-lugha-picha kama 'Simba Wawili wenye Kushika Mikuki ya Ulinzi na Uaminifu na pia kushika Ngao ya Azimio la Pambazuko la Kazi' huenda ni shauri lililoanzia kwa 'Washirika wa namna Mbili' za Utu na Ukuwa kama (1) Wanadamu (Wapleyadesi) na Wengine , (2) 'Felina wa Nyika na Supasha' (Jeshi la Urma) kwa kuwa eneo hili la Maziwa Makuu si tu ni 'Tanganyika' ya fahari za wanadamu wasio na uangalizi wa kimazingira na mazingara... Eneo la Maziwa Makuu ni 'Tunu ya Thamani' kwa Usentieti, Konsayansi na Nuru ya Ufahamu mbali kuzidi chochote watu wataifa yake watadhani kufahamu kwa dhana/madhanifu/madhamirifu ya 'Intelijensia na Mikakati' --kwa hivi leo, 2025...

Kiufundi, kuna wanajamii wanaishi kuishia kuwa watumishi na watendaji wa kawaida ama wenye nyadhifa kwa kheri ya moja kwa moja ama kheri isiyo ya moja kwa moja; ambavyo wanaishi kutumikia taasisi na mifumo kwa 'manufaa ya nyakati' juu maendeleo na ustawi wa wanajamii, mazingira na machaguo ya kitaasisi.

Kwa mintarafu ya hivi, wanajamii wanakamilisha na watendaji wengine wa kimaamuzi-jamii katika kusuka na kufuma hatma ya taifa na Mataifa hapa Duniani na kupita; ambavyo kode za UFAHAMU KRISTU ni 'kianzio' cha mtaji wa Utu bora juu ya WAKATI-JAMII-MACHAGUO YA KITAASISI-WAKATI kwa kadiri ya kudra za mashauri ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI. Basi ndiyo yawa, katika maisha na uisho kila mtu/mwanajamii anavuna/atavuna alichokipanda wakati mmoja hata mwingine, mazingira haya ama mengine, na tena basi katika 'mazingira' ama 'Mazingara'.

Kiufundi, dhamira ya kufanya masahihisho yoyote ya kimfumo katika jamii fulani inayozorota; na kukidhi uwezo wa kakidirisha hili, inaweza kumtengenezea kinga mtu yeyote hata kwa jambo lolote lenye nasibu ya ugharimu wa maisha ama mkosi; ambavyo wanajamii wanaweza kuona kule Amerika Mzee Trump alinusurika Risasi--risasi iliyoonekana kama kuishia kumpunyua tu Sikio kama ni 'Bahati Sana'; na kumbe wapo watu wenye uwezo wa kutenda kimazingira na mazingara hata kuchepusha mikondo wakati ya madhahiri.

Kwa mintarafu ya hivi, isije kushangaza kuja kufahamu ipo nasibu ya watu--watu tunaoweza kuwa tunaishi nao kama 'Wanadamu' na kumbe si wanadamu wa asili ya Duniani hii, japo twafanana kwa kila kitu--hata tukifuatilia 'Historia' zao si ajabu kupata hata vielelezo vya kutosha kuwa walizaliwa huku ama kule hapahapa Duniani; wanadamu wenye kukamia 'jambo hili ama lile' kwa kheri ama vipi hapa Duniani.

Basi ndiyo yawa, Mradi wa STARGATE, Lango la Unishati Khabari wa Makadiri na Kudra za Kinyota, unatengeneza njia ya kuja kuyafahamu ya 'Mazingira na Mazingara' kwa tekinolojia za Kimetafizika--Ungamuzi wa Kikwantumu na Unishati Nukta Sifuri; ambavyo wengi wa watu tunaoishi kwa kuja kuwaona ni matajiri kupindukia; kuna "wanaojuana vizuri" Kote Duniani na wanalao jambo…

== Wito na Wajibu kwa Jamii : Hekima ni Uhuru! ==​


Wanajamii wote Duniani hawanabudi kukata shauri kujua ilivyobora kuhusiana na kila kitu kuhusu maendeleo, utamaduni na ustawi wote.

Wanajamii wote Duniani hawanabudi kukata shauri kusahihisha na kujisahihisha kimifumo kwa manufaa ya yao wenyewe, watoto na mustakabali wa maisha hapa Duniani.

Wanajamii wote Duniani hawanabudi kukata shauri kujisamehe na kusameheana kwa makosa yoyote yaliyotendeka na yanayotendeka kutokana kutojua ilivyobora juu ya 'UTU na UFUNUO'. Kwa kuwa hata kule kutegemea fikra na mashauri ya wengine tunaoweza kuwalaumu ya kwamba 'waliona vibaya' mashauri ya kheri za mapana ya jamii ni 'kutotimiza wajibu' wa akili, utambuzi na kujiongeza.

Kwa hapa Tanzania, alichozungumza Mwalimu Nyerere siku ya Uzinduzi wa Chama cha Mapinduzi, mwaka 1977; kilikuwa na asili ya wosia kwa jamii kuhusu daistopia ya Mashauri ya Ujamii na Mambo yake ya Hatma za Ufanyaji-Maamuzi kwa Siasa za Wengi.

Khotuba ya Mwalimu Nyerere kuhusu ukibaraka wa wanajamii kwa watu wenye madaraka lilikuwa ni angalizo la nasibu ya mmomonyoko wa maadili ya taifa/jamii ambavyo 'Uhuru' pasipo uwajibikaji kwa fahamu na mafahamu hugeuka ni umateka kwa mafundi wa ujasiria-mali mifumo--Kule Amerika, 1945, Muingereza mmoja alilidadavua hili vizuri kwa fasihi andishi ya kisa-riwaya kifahamikacho kama 'Animal Farm: Shamba la Wanyama'...

Ujamaa, Usoshalisti ama Ukomunisti si mambo ya kuja kwa ilani ama maelekezo ya wachache kwenda kwa wengi; Ni sura, hadhi na utendaji wa kijamii unaotegemea u-homojinesi wa hali ya juu kwa kuyaishi mashauri ya UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI...

Ni jambo linayoitaka jamii zote za wanadamu kuwa ni wenye kuwaza na kuwazua sana na tena vya kutosha ili waweze kujipanga na kujipangilia kwa kheri na mapenzi mema badala ya kuwa watu waliogawanyika kwa hadaa za kazi, utumishi, biashara na mambo mengine yanafanya watu wasifikirie kujifunza nje ya kada zao za kiutendaji wa kijamii...

Kama ambavyo Wandugu zetu kutoka Pleyadesi( hawa wanajua yote yaliyozungumzwa kwenye mnyororo wa mashauri haya na wanafuatilia mapelekeo yake kwa hatma za fahamu na mafahamu ya jamii ya wenye kuzungumza Kiswahili) wanavyosema: “Wanajamii wa Dunia tunahitaji ujuzi na uweza kufikiri mengi na kufahamu mengi kwa fremukazi mahsusi--fremukazi 'tunayoweza kupatiana'...”; kupatiana na basi kuitengeneza nguzo ya 'kuibomoa matriksi' ya 'Mafikara yaliyogawanywa kimafungu khabari-visomo' ilivyo ni 'Mkosi' kwa maendeleo ya kweli ya Watu na Maendeleo...


View: https://www.youtube.com/watch?v=4ogUqkXqVWA

Hatari
 
Back
Top Bottom