Rais aunde tume mbili kuchunguza shutuma za watu kudhulumiwa mali zao awamu iliyopita pamoja na kifo cha Hayati Dkt. Magufuli

Sijawahi kupata ushahidi wa Magufuli kukimbizwa nairobi bai ni innuendo to. Kipindi hicho hospitali ya Nairobi ilikuwa na Rais au Waziri mkuu wa zamani wa Sumalia ambaye alifariki pale. Kwa populairty ya Magufuli haingekuwa raihisi apite uwanja wa ndege wa JNIA hadi afike Wilson Airport na kuhamishiwa Nairobi Hospital bila watu kujua!
 
Na huu ndio ukweli wenyewe.Au nasema uongo ndugu zangu?
Hizo tuhuma za kifo ni uzushi tu man.Hivi kwa ulinzi wote ule ikiwemo helicopter angani kama tupo iraq hio nafasi wangepatia wapi.
Mwache Mungu asikie maombi ya wengi yaliyofanana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…