Rais avunja rasmi tume ya Warioba

Afadhali. Warioba alishajiona kama naye ni rais.
 

hiyo ndiyo magamba ;;;; warioba warioba
 
Yote hiyo ni kuogopa kujibiwa na warioba mbona kafanya haraka sana kuivunja?nchi hii bana viongozi wake kama wendawazimu Rais anazungumza kama mpiga debe.
 
Sikutegemea mtu mwenye hadhi ya umod hum kutoa mawazo ya aina anayotoa. Poa lakini tuwe wakweli linapokuja suala la maoni ya wananchi.
 
Tusimlaumu sana kikwete,tuwalaumu walimpendekeza kuwa rais.kikwete kama yeye ameonyesha uwezo wake wa mwisho kiutawala.Hata ukipiga gitaa musiki hachezi tena,kwa kweli tumpongeze hapa ndio mwisho wa uwezo wake jamani.Nashangaa sana watu wanaongea sana na kumlaumu sana.alafu wengine wanasema anacheka tu ukimwona.Ni kweli.kwa fikra zake za kutatua na kupambanua mambo kwake hapo amefika mwisho wa reli[kigoma].Kikwete alijua kabisa kuwa mwisho wa kutoa maoni ya katiba ulishapita na yeye alikwenda pale Dodoma kama kama raia wa Tanzania na pia mwenyekiti wa ccm taifa na sio Rais.kwani alivyoongea inamaanisha hivyo.Tuzidi kuomba Mungu atuongoze.kumbe wenzetu wa Ghana ni wastaarabu sana kidemokrasia kuliko Watanzania.
 
Iwapo CCM itafanikiwa mipango yake kwa kufanya mawazo na matakwa ya CCM kuwa ya nchi,basi gharama ya ujinga na upuuzi wetu wote kwa kukubali hayo itakuwa juu yetu na vizazi vyetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…