Rais awapongeza Simba SC kwa ushindi dhidi ya Yanga SC April 16/2023

Rais awapongeza Simba SC kwa ushindi dhidi ya Yanga SC April 16/2023

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot 2023-04-16 at 22-37-28 Samia Suluhu (@SuluhuSamia) _ Twitter.png

Nguvu Moja
 
Pia serikali kupitia kwa msemaji wake wametangaza siku ya kesho kama ni siku ya mapumziko kusherehekea ushindi wa club namba 8 kwa ubora Barani Africa SIMBA SPORTS CLUB Kidimbwi fc mkae kwa kutulia [emoji196] [emoji196]
 
Kwenye ngao ya hisani nako alitoa pongeza ama pongezi ni kwenye ligi kuu tu?
 
Mihemko ilimponza mayele maana Ali ahidi kuifunga Simba Leo..lazima wamlaumu Vyura wenzake kawaingiza chaka
 
Back
Top Bottom