Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Samia anajitahidi kuzitumia Yanga na Simba strategically......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo naona hata usingizi hautakuja maana hukutarajiaAnatupongeza wana lunyasi kwa kumkwida chura..amesema sisi ni hatariii tupuuu..anatupenda sanaaa 😆 😆 😆
Naona umeibuka usikuLeo naona hata usingizi hautakuja maana hukutarajia
Akili kubwa! football ina watu, na wakikupenda umeula!!!Samia anajitahidi kuzitumia Yanga na Simba strategically......
Wamelouwaaa
Nilitarajia toka post za nyuma..nilisema Yanga hamfungi Simba...sasa kwa matokeo haya kwanini nisitarajie?Leo naona hata usingizi hautakuja maana hukutarajia
Wajanja wote tuko unyamani bana[emoji28]Valentina kumbe na ww mnyamaa...nakupa likes
Hakikaa haina ubishi
Haipingwiiiiiiiiii!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ligi kuu ina nguvu bingwa na mshindi wa pili wanaenda champion na mshindi wa tatu na wa nne wanenda shirikisho ila ndio kanuni inavyosema SIMBA haifungwi na timu mbovu iliyokuwa inashiriki kombe la loser wakati cc tupo champion kumfunga yanga ni maamuzi tu tukiamua tunakupiga tunavyotaka au jana hukuona 😁😁😁Kwenye ngao ya hisani nako alitoa pongeza ama pongezi ni kwenye ligi kuu tu?