OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mpaka sasa hivi wanamtukana Mayele watani zetu. Nimegundua huwa wengi wao wanaongozwa na hisia kuliko uhalisia.Tumepokea mama
Kabisa...wamesahau mazuri yoteMpaka sasa hivi wanamtukana Mayele watani zetu. Nimegundua huwa wengi wao wanaongozwa na hisia kuliko uhalisia.
Mpaka sasa hivi wanamtukana Mayele watani zetu. Nimegundua huwa wengi wao wanaongozwa na hisia kuliko uhalisia.Tumepokea mama
Asante Madam President kwa pongezi.View attachment 2590379
Nguvu Moja
Mara mchoyo mara anacheza kifaza mara anajiona staa wa timu. Maneno yote wanayatapika hapa na ngumi zinapigwaKabisa...wamesahau mazuri yote
Nimeona wakipigana hukuMara mchoyo mara anacheza kifaza mara anajiona staa wa timu. Maneno yote wanayatapika hapa na ngumi zinapigwa
Waache wakanyaganeMpaka sasa hivi wanamtukana Mayele watani zetu. Nimegundua huwa wengi wao wanaongozwa na hisia kuliko uhalisia.
Mashabiki tuna sehemu yetu ya pekee motoni π π πKabisa...wamesahau mazuri yote
π€£π€£πMashabiki tuna sehemu yetu ya pekee motoni π π π
π€Kwenye ngao ya hisani nako alitoa pongeza ama pongezi ni kwenye ligi kuu tu?
Anatupongeza wana lunyasi kwa kumkwida chura..amesema sisi ni hatariii tupuuu..anatupenda sanaaa π π π