Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

Lugola kajifunga mabomu, dikteta anamuogopa kumgusa. Kamwambia NIGUSE NIKINUKISHE hahahahaha

2425812_ETQKOp_WsAEtvLN.jpg
BAK
Hiyo ni kali kuliko!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndiyo habari ya MUJINI hiyo Mkuu. Lugola mkata viuno akaona isiwe shida mbona nami nayajua maovu ya huyu? Nami nitayatumia ili kujilinda kwa kuweka kila kitu hadharani. Sasa Lugoya wanamgwaya hakuna wa kumgusa. Mujini raha hahahahahahah nilikuwa namuona mjinga mjinga tu kumbe ana akili zake lol!

BAK
Hiyo ni kali kuliko!
 
Back
Top Bottom