Rais awasamehe Makamishina walioshirikiana na Kangi Lugola uliokuwa na viashiria vya ufisadi

Ndiyo habari ya MUJINI hiyo Mkuu. Lugola mkata viuno akaona isiwe shida mbona nami nayajua maovu ya huyu? Nami nitayatumia ili kujilinda kwa kuweka kila kitu hadharani. Sasa Lugoya wanamgwaya hakuna wa kumgusa. Mujini raha hahahahahahah nilikuwa namuona mjinga mjinga tu kumbe ana akili zake lol!

BAK
Hiyo ni kali kuliko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…