Rais awe na utaratibu wa kutoa tuzo/medals

Rais awe na utaratibu wa kutoa tuzo/medals

nimekuletea hoja ya ambaye hakukaa darasani akafua umeme na kusambaza kwa wanakijiji, rais JPM akamuona akamkaribisha Ikulu lakini hakupewa kamisheni ya taifa alipewa zawadi ya kunywa chai na pesa, jiulize kwanini?

nikasisitiza zaidi ya mara kibao kuanzia post yangu ya kwanza tufanyeje kwa kuwa nchi yenu/yetu sote na kabla ya yote tusome sheria iliyopo kwanza alafu tujue tunacho kitaka kipo kwa mujibu wa sheria za nchi au tunaomba kwa hisani ya... ikimpendeza?

Je kama hakuna sheria basi tuombe itungwe sheria au twende kwa hisani? au tuendlee kualikwa ikulu watu wa kawaida kupiga picha na kunywa chai?

au zianzishwe tuzo kama za wasanii kwa ajiri ya mnao wataka?

sina cha kuongeza... tuendelee kupiga zumari kama hujui unacho kitaka na namna ya kukitafuta, watanzania tuna maisha yetu na ndio yanaonekana ktk maisha ya wengi kuanzia kuandika, kuongea, anavyoishi nk upatishida kumtambua mtanzania...

NB:
et mganga wa kienyeji ni mtu wa kawaida, usiyo yajua ktk nchi/taifa yatakusumbua sana na utaendelea kuitawenzio wa kaiwaida au kujifananisha nao wakati sio kweli...

Tuendelee kuondoa umbumbu ktk vichwa vyetu... kingereza chako kizuri sana na kikusaidie kupitia ile sheria na sharia mbalimbali za nchi ili ukiwa unachangia usichangie kama mtu usiyejua unacho andika...

Nchi inaongozwa kwa miongozo, kanuni, taratibu na sheria mbalimbali...

una ambiwa soma hutaki soma hutaki... soma sheria na taratibu hutaki una angaika watu wakawaida, hao unao waita wakawaida wanapewaje nguvu na sheria? sheria ina watambua au imewasahau? tufanyeje kama hawa onekani popote, wewe una ruka tu wakawaida, unaishia hapo hapo wakawaida...

wenzako hawa hapa... walalamishi wenzio wasio taka kusoma hata nusu ya mstali wa maandishi yaliyo andikwa kwa ajiri ya mustakhabari wa taifa lao, lakini ni wa kwanza kupiga kelele kwa kuhisi wanafahamu yote na wakiambiwa wapitie miongozo hawataki kazi kubisha, sishangai ndio watanzania rahisi kuwatambua


Ndgu Kijakazi aliwahi kusema jambo... nami nikasema jambo kuongezea kuwa "mtanzania anaeleweka" hakupi shida kumtambuaView attachment 2189603

1. Unauliza yule mwananchi aliyefua umeme (locally) na kuusambaza kwa wanakijiji, ni kwanini JPM alimuita Ikulu na kuishia kumtuza 'pesa' na 'chai' tu badala ya kamisheni ya Taifa?!! nakujibu kama unavyopenda kusikia: ni kwasababu Sheria hairuhusu. Sasa nikuulize, just by common sense, Sheria ni misaafu kwamba haiwezekani kuzirekebisha ama kuziboresha?

2. Nadhani 'public opinion' yaweza kuwa miongoni mwa vyanzo vya utunzi wa Sheria mpya na maboresho ya sheria zilizopo, na hizi online platforms (kama Jf) ni sehemu ya mkusanyiko wa public opinion. Decision makers kwa maana ya serikali na watunga sera & sheria hupita na kusoma maoni ya wananchi mitandaoni.

Siredi hii ya Rebecca yaweza kuwa chachu na mwanzo wa safari towards law reforms kuhusu utoaji wa tuzo hizi na kamisheni za kitaifa ambazo kwa jinsi zilivyo sasa zinaonekana kubagua wanufaika.

Hivyo, acha kung'ang'ania tu kwamba "sheria hairuhusu" au ''sheria haipo" and blah blah. Kama jambo linakuwa na tija kwa jamii, na sheria ya kulihusu haipo, sio dhambi kulitazama kwa taswira chanya ili kulirasmisha kwa manufaa ya umma. Na kwa muktadha huo ndipo siredi hii inajaribu kuchokoza fikra kwamba huko mashinani kuna watu wanajitolea michango inayogusa jamii moja kwa moja, kwanini serikali isiwatazame watu wa aina hiyo so that to motivate other like minded people? aidha kwa kutunga sheria ama kurekebisha sheria zilizopo zihusuzo masuala hayo.

3. Unasema kuwa nchi inaendeshwa kwa miongozo, kanuni, taratibu, na sheria. Ni sahihi, na ni vyema sana kuspark hiyo mentality ya utawala wa sheria kwenye jamii. Natambua kwamba katika misingi ya kisheria, kosa moja halihalalishi kosa jingine, lakini nakuuliza: Ni lini Serikali yetu (na serikali za kiafrika at majority) tuliweza kujivunia 'utawala wa sheria'? Law compliance in Tanzania bado ni changamoto kubwa sana. Nakupa mfano: Rais wa Tanzania yupo nje ya mipaka ya nchi lakini anafanya uteuzi wa watumishi wa umma wa Tanzania. Nitajie ni sheria gani ama ni Ibara ipi ya Katiba ya JMT inayompa mamlaka Rais kufanya majukumu hayo akiwa nje ya mipaka ya JMT?

4. Siredi inajaribu kuhoji kwanini kusiwepo tuzo za kitaifa kwa watu kama huyo kijana aliyefua umeme akasambazia wanakijiji; huyu mganga wa kienyeji aliyejitolea kujenga madarasa mawili ya shule ya umma; na wengineo wa namna hiyo. Wewe unapinga siredi kwa kuleta mifano ya Rais Obama kumpa tuzo makamu wake; mfalme wa Saudia kumpa tuzo Rais Trump; Rais Kikwete kumpa tuzo mama Maria Nyerere; na unaongezea mifano ya honorary academic awards kupinga siredi hii. What the heck!!

5. Nashauri, hebu jaribu kurelax na punguza lugha za kukaripia na kukera. Nadhani, kuitana 'mbumbumbu' si lugha yenye afya. Tuelimishane kwa staha na utulivu wa akili.

6. Nasisitiza tena mawazo yangu kwamba kwa kuendelea kushikilia hiyo mifano yako ya tuzo kwa viongozi; na honorary academic awards, basi bado hujaielewa mantiki halisi ya uzi huu.

-Kaveli-
 
1. Unauliza yule mwananchi aliyefua umeme (locally) na kuusambaza kwa wanakijiji, ni kwanini JPM alimuita Ikulu na kuishia kumtuza 'pesa' na 'chai' tu badala ya kamisheni ya Taifa?!! nakujibu kama unavyopenda kusikia: ni kwasababu Sheria hairuhusu. Sasa nikuulize, just by common sense, Sheria ni misaafu kwamba haiwezekani kuzirekebisha ama kuziboresha?

2. Nadhani 'public opinion' yaweza kuwa miongoni mwa vyanzo vya utunzi wa Sheria mpya na maboresho ya sheria zilizopo, na hizi online platforms (kama Jf) ni sehemu ya mkusanyiko wa public opinion. Decision makers kwa maana ya serikali na watunga sera & sheria hupita na kusoma maoni ya wananchi mitandaoni.

Siredi hii ya Rebecca yaweza kuwa chachu na mwanzo wa safari towards law reforms kuhusu utoaji wa tuzo hizi na kamisheni za kitaifa ambazo kwa jinsi zilivyo sasa zinaonekana kubagua wanufaika.

Hivyo, acha kung'ang'ania tu kwamba "sheria hairuhusu" au ''sheria haipo" and blah blah. Kama jambo linakuwa na tija kwa jamii, na sheria ya kulihusu haipo, sio dhambi kulitazama kwa taswira chanya ili kulirasmisha kwa manufaa ya umma. Na kwa muktadha huo ndipo siredi hii inajaribu kuchokoza fikra kwamba huko mashinani kuna watu wanajitolea michango inayogusa jamii moja kwa moja, kwanini serikali isiwatazame watu wa aina hiyo so that to motivate other like minded people? aidha kwa kutunga sheria ama kurekebisha sheria zilizopo zihusuzo masuala hayo.

3. Unasema kuwa nchi inaendeshwa kwa miongozo, kanuni, taratibu, na sheria. Ni sahihi, na ni vyema sana kuspark hiyo mentality ya utawala wa sheria kwenye jamii. Natambua kwamba katika misingi ya kisheria, kosa moja halihalalishi kosa jingine, lakini nakuuliza: Ni lini Serikali yetu (na serikali za kiafrika at majority) tuliweza kujivunia 'utawala wa sheria'? Law compliance in Tanzania bado ni changamoto kubwa sana. Nakupa mfano: Rais wa Tanzania yupo nje ya mipaka ya nchi lakini anafanya uteuzi wa watumishi wa umma wa Tanzania. Nitajie ni sheria gani ama ni Ibara ipi ya Katiba ya JMT inayompa mamlaka Rais kufanya majukumu hayo akiwa nje ya mipaka ya JMT?

4. Siredi inajaribu kuhoji kwanini kusiwepo tuzo za kitaifa kwa watu kama huyo kijana aliyefua umeme akasambazia wanakijiji; huyu mganga wa kienyeji aliyejitolea kujenga madarasa mawili ya shule ya umma; na wengineo wa namna hiyo. Wewe unapinga siredi kwa kuleta mifano ya Rais Obama kumpa tuzo makamu wake; mfalme wa Saudia kumpa tuzo Rais Trump; Rais Kikwete kumpa tuzo mama Maria Nyerere; na unaongezea mifano ya honorary academic awards kupinga siredi hii. What the heck!!

5. Nashauri, hebu jaribu kurelax na punguza lugha za kukaripia na kukera. Nadhani, kuitana 'mbumbumbu' si lugha yenye afya. Tuelimishane kwa staha na utulivu wa akili.

6. Nasisitiza tena mawazo yangu kwamba kwa kuendelea kushikilia hiyo mifano yako ya tuzo kwa viongozi; na honorary academic awards, basi bado hujaielewa mantiki halisi ya uzi huu.

-Kaveli-
inatosha maelezo yako ni utanzania wako... chukua hatua
 
kasome sheria husika... kasome nishani kwa madaraja yake zina tolewa kwa sababu gani na vigezo gani kwa mujibu wa sheria iliyopo...

kama mnataka zawadi hata ya kupiga picha na rais au kuitwa ikulu kunywa chai ni sawa, hapo utakuwa umeeleweka...

kama nishani za nchi (taifa) ambazo zina madaraja yake, hizi zina taratibu zake... sasa hapa ubishi unatokea wapi ktk kujua taratibu za nishani au kushikana mkono na rais...

kuna mdau alitengeneza umeme wake na kusambaza ktk vijiji vinavyo mzunguka kama una kumbuka (kipindi cha JPM) akapelekewa wataalamu na pesa juu... zawadi za hivi zipo nyingi za kunywa chai na rais au kutembelea familia, watu ktk jamii fulani

linapo kuja swala la nishani kuna utaratibu wake... mkiambiwa tafuta miongozo hamtaki mmekaa kulalama
Mnhhhhh

1. Je haiwezekani kwa Rais ambae kimsingi yuko above the law, kutoa medal nje ya utaratibu uliozoeleka?
 
Mnhhhhh

1. Je haiwezekani kwa Rais ambae kimsingi yuko above the law, kutoa medal nje ya utaratibu uliozoeleka?
naona wananchi wameona kuna shortcut hapa ambayo ni kuvunja sheria na taratibu tulizo jiwekea... akija kuwa fisadi? akikataa uchaguzi? akikataa katiba mpya? kisa yupo juu ya sheria kama unavyo dai (kapitie sheria miongozo kanuni upya) ujue wapi ana nafuu ya sheria na wapi hana nafuu... itafutwe njia nyingine nzuri...

Mh. Lissu Gulu nguli wa sheria, Mwanasheria fatma na wengine walipinga sana maamuzi ya viongozi wakiwemo JK, JPM etc kufanya mambo kinyume na utaratibu, kazi aliyoipigania, anayo ipigania, watanzania wenzie hawaielewi masikini

imani ya chama cha ccm kina semaje? ambacho ni chama kilicho shika hatamu....


IMANI YA CHAMA

i) Binadamu wote ni sawa;

ii) Kila mtu ana stahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake;

iii) Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru
 
naona wananchi wameona kuna shortcut hapa ambayo ni kuvunja sheria na taratibu tulizo jiwekea... akija kuwa fisadi? akikataa uchaguzi? akikataa katiba mpya? kisa yupo juu ya sheria kama unavyo dai (kapitie sheria miongozo kanuni upya) ujue wapi ana nafuu ya sheria na wapi hana nafuu... itafutwe njia nyingine nzuri...

Mh. Lissu Gulu nguli wa sheria, Mwanasheria fatma na wengine walipinga sana maamuzi ya viongozi wakiwemo JK, JPM etc kufanya mambo kinyume na utaratibu, kazi aliyoipigania, anayo ipigania, watanzania wenzie hawaielewi masikini

imani ya chama cha ccm kina semaje? ambacho ni chama kilicho shika hatamu....


IMANI YA CHAMA

i) Binadamu wote ni sawa;

ii) Kila mtu ana stahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake;

iii) Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru
Yaani kitu harmless kama kutoa tuzo ndio unaweka kwenye mzani moja na ufisadi? Well hata hao kina Fatma, Lissu wakipima benefits za kutoa medal watakubali kubadilisha utaratibu... LOL, ....
 
Hello JF

Leo nimeona ni jambo jema kwa Rais wetu kutoa/medal kwa watu wanaoenda extra mile kuigusa/hudumia jamii...

Criteria ..awe nayo yeye mwenyewe...

Nimesukumwa kuandika mada hii baada ya kusoma habari hii ya Mganga wa Kienyeji kujenga madarasa mawili huko Simiyu>>>>>>>> madarasa mawili aliyojenga mganga

Nahisi kila mwananchi akifanya kitu chake kidogo tutafika mbali kama nchi na sio kulalamika kila siku....

Rais akitoa tuzo itawamotivate na wengine...

Karibuni
Umasikini na ujinga wa WaTanzania, ndio mtaji wa ccm kuwa madarakani! Atapewa tuzo (cheo/ulaji) yeyote anayekwenda na falsafa hiyo, sio anayejaribu kuwaondolea hizo kadhia.
 
Yaani kitu harmless kama kutoa tuzo ndio unaweka kwenye mzani moja na ufisadi? Well hata hao kina Fatma, Lissu wakipima benefits za kutoa medal watakubali kubadilisha utaratibu... LOL, ....
kuvunja sheria kumbe ni kitu kidogo?
 
Umasikini na ujinga wa WaTanzania, ndio mtaji wa ccm kuwa madarakani! Atapewa tuzo (cheo/ulaji) yeyote anayekwenda na falsafa hiyo, sio anayejaribu kuwaondolea hizo kadhia.
Ombwe...
 
Hello JF

Leo nimeona ni jambo jema kwa Rais wetu kutoa/medal kwa watu wanaoenda extra mile kuigusa/hudumia jamii...

Criteria ..awe nayo yeye mwenyewe...

Nimesukumwa kuandika mada hii baada ya kusoma habari hii ya Mganga wa Kienyeji kujenga madarasa mawili huko Simiyu>>>>>>>> madarasa mawili aliyojenga mganga

Nahisi kila mwananchi akifanya kitu chake kidogo tutafika mbali kama nchi na sio kulalamika kila siku....

Rais akitoa tuzo itawamotivate na wengine...

Karibuni
Mama Chamira mwaka huu atachakaa, kila mtu anamtupia lake sijui ana wasaidizi wangapi
 
Mama Chamira mwaka huu atachakaa, kila mtu anamtupia lake sijui ana wasaidizi wangapi
 
nazani ni kukuonesha sio jambo jipya kwa mifano ambayo hukutaka kuizingatia... Sokoine amepewa Nishani akiwa hayupo, Lowasa nazni kama sikosei, Dr. Salim kapewa mara mbili mwaka 1985 na 2000s... machifu wamepewa wengi sana muulize maleale wa wachaga na Balozi kagasheki aliyepewa kwa niaba ya babu yake

kwa faida yako nikakutaka ukapitie sheria inayompa mamlaka ya kufanya hivyo mh. rais, pia kuonesha sio jambo geni nika kuandikia kuwa kikwete alizitoa nyingi tu...

na kwa kumalizia nikakupa mifano ya mataifa mengine ulimwenguni jinsi yanavyofanya ili jambo na nika kuonesha wakiwapo raia wa tanzania walio nufaika...

ebu changanya akili kidogo dada yangu... pitia pitia mambo utaelewa...
Sio jambo jipya kwa wenzetu, je Tanzania?
 
kuvunja sheria kumbe ni kitu kidogo?
Haaa unaupiga umwingi;

Inaelekea hukosi jibu kwa lolote...

Ulianza kuwa ni jambo la kawaida huko nje linafanyika..

Ukaja hata ndani linafanyika; ukataja watu public figures

Ukaja Kisheria,

Unaambiwa Rais is above the law na sioni kama ni harmful kuwapa watu medal...unabaki ooh akina Lissu walipinga Rais kuvunja sheria, unajuaje kama sasa hivi wamebadili msimamo wao?? lol hoja zako mfu!
 
kasome sheria husika... kasome nishani kwa madaraja yake zina tolewa kwa sababu gani na vigezo gani kwa mujibu wa sheria iliyopo...

kama mnataka zawadi hata ya kupiga picha na rais au kuitwa ikulu kunywa chai ni sawa, hapo utakuwa umeeleweka...

kama nishani za nchi (taifa) ambazo zina madaraja yake, hizi zina taratibu zake... sasa hapa ubishi unatokea wapi ktk kujua taratibu za nishani au kushikana mkono na rais...

kuna mdau alitengeneza umeme wake na kusambaza ktk vijiji vinavyo mzunguka kama una kumbuka (kipindi cha JPM) akapelekewa wataalamu na pesa juu... zawadi za hivi zipo nyingi za kunywa chai na rais au kutembelea familia, watu ktk jamii fulani

linapo kuja swala la nishani kuna utaratibu wake... mkiambiwa tafuta miongozo hamtaki mmekaa kulalama

Screenshot_20220416-193243_Samsung Internet.jpg
 
kasome sheria husika... kasome nishani kwa madaraja yake zina tolewa kwa sababu gani na vigezo gani kwa mujibu wa sheria iliyopo...

kama mnataka zawadi hata ya kupiga picha na rais au kuitwa ikulu kunywa chai ni sawa, hapo utakuwa umeeleweka...

kama nishani za nchi (taifa) ambazo zina madaraja yake, hizi zina taratibu zake... sasa hapa ubishi unatokea wapi ktk kujua taratibu za nishani au kushikana mkono na rais...

kuna mdau alitengeneza umeme wake na kusambaza ktk vijiji vinavyo mzunguka kama una kumbuka (kipindi cha JPM) akapelekewa wataalamu na pesa juu... zawadi za hivi zipo nyingi za kunywa chai na rais au kutembelea familia, watu ktk jamii fulani

linapo kuja swala la nishani kuna utaratibu wake... mkiambiwa tafuta miongozo hamtaki mmekaa kulalama

Screenshot_20220416-193243_Samsung Internet.jpg
 
Commendation Awards are awarded by President to leaders and citizens who contributed in the fight for Tanzania mainland independence as well as maintaining tranquility in the country. In 50th anniversary of Tanzania mainland independence celebrated on 9th December 2011, the President of United Republic of Tanzania, Dr. Jakaya M. Kikwete awarded 57 leaders and citizens for their contribution in fighting for Tanzania mainland independence as well as maintaining peace and security.

Awards were presented in three categories: The first was Mwl. Julius Kambarage Nyerere Award conferred to former presidents who constitutionally came into power and maintained exemplary leadership during their tenure of office. The second award was the Order of Uhuru Torch Second Grade presented to former Vice Presidents and Prime Ministers alive and dead who left office without scandals and maintained ethical conduct.

The last award was The Order of Uhuru Torch Fourth Grade awarded to citizens who portrayed patriotism in 50 years of independence and continued to maintain outstanding conduct. The award is also presented to Defence Forces of the United Republic of Tanzania.


Faana Rebeca 83 Auz

Commendation Awards
On 51th anniversary of Tanzania Mainland Independent
,the president of The United Republic of Tanzania Dr.Jakaya Mrisho Kikwete awarded 40 medals to outstanding public servants for exemplary service to the nation.The awards were in different categories, including the Order of the United Republic First and Second Class Medal, the Long Service and Ethical Conduct of the First and Second Class Medal, the Sport and Arts Medal and Environmental Medal of the First and Second Class Medal.The other Categories are the Order of Uhuru Torch of the Fourth Class Medal, the Invention and Scientific Research Medal and the Medal for Gallantry.

The Order of the United Republic First Class Medal was given to Dr Mohammed Seif Khatib and Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue. The the Long Service and Ethical Conduct of the First Class medal was given to Mr Ludovick Utouh, the Controller and Auditor General, Mr Ramadhani Musa Khijja, the Permanent Secretary in the Ministry of Finance.Other medals were The Environmental Medal of the First Class awarded to Dr Felician Kilahama of the Ministy of Natural Resources and Tourism and Mr. Reginald Mengi .

The Sports and Arts Medal went to Ms Fatuma Khamis Baraka,famously known as Bi Kidude, Mr Muhidini Mwalimu Gurumo, and the late Fundi Saidi,famously known as Mzee Kipara, while The Order of Uhuru Torch of the Fourth Class Medal was given to Commissioner General of Prisons John Minja. Other medals were The Medal for Gallantry for overpowering pirates and successfully rescuing a boat with its passengers that had been hijacked by the pirates in Lake Tanganyika won by Eleven military personnel,they are P.5906 Lt Col E. W. Mcheri, PF 15221 ASP Mohammed Kilonzo and MT 97213 Private Ally Simba Hamad, all from Kigoma region.
 
Haaa unaupiga umwingi;

Inaelekea hukosi jibu kwa lolote...

Ulianza kuwa ni jambo la kawaida huko nje linafanyika..

Ukaja hata ndani linafanyika; ukataja watu public figures

Ukaja Kisheria,

Unaambiwa Rais is above the law na sioni kama ni harmful kuwapa watu medal...unabaki ooh akina Lissu walipinga Rais kuvunja sheria, unajuaje kama sasa hivi wamebadili msimamo wao?? lol hoja zako mfu!
 
Back
Top Bottom