Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Biden is a goner! 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unawaza kuchimbwa tu huko ?Hata akifa sawa tu hana msaada wowote kwa mie ninaeshi kijiji cha mpelaudumuke tarafa ya chimba unye,,,
Wewe na Biden muna tofauti ipi? Kwasababu usikute hata wewe beki zimelegea kama BidenHilo shoga bora huyo covid aendelee kumla kidogpo kidpogpo maisha yake yote.
Alimuua nani?Niwache chuki kwa huyo muuwaji wa kimbari?
Wacha ujinga.
Hakuna COVID hapo,mtu mzima ansjing'atua taratibuRais wa Marekani Joe Biden amepatikana na COVID-19, Ikulu ya White House ilithibitisha Jumatano, Julai 17.
Biden alikuwa Las Vegas kwa hafla ya kampeni alipoambiwa alikuwa na COVID. Ikulu ya White House ilisema dalili ni ndogo, ikiwa ni pamoja na kutokwa na mafua na "malaise ya jumla". Aliacha hafla ya kampeni kabla ya kuongea na akapanda Air Force One kwenda nyumbani kwake huko Delaware kwa matibabu na kujitenga.
Biden ataendelea kutekeleza majukumu yake kwa muda wote katika kipindi hiki, Katibu wa Habari wa Ikulu ya White House Karine Jean-Pierre alisema.
Huijui dunia wewe.Hata akifa sawa tu hana msaada wowote kwa mie ninaeshi kijiji cha mpelaudumuke tarafa ya chimba unye,,,
Ukisoma huelewi basi hata picha hauoni, au ndiyo bando za kuingia youtube zinakupiga chenga?Alimuua nani?
Wewe ndiwe mwenye tofauti nae, au sivyo?Wewe na Biden muna tofauti ipi? Kwasababu usikute hata wewe beki zimelegea kama Biden
Ungewataja hao aliowaua sasa kwakutowataja nitajuaje kama sio mihemuko yako tu ya period?Ukisoma huelewi basi hata picha hauoni, au ndiyo bando za kuingia youtube zinakupiga chenga?
kama wewe una maadili kweli sema ukweli hapa kama mumeo alikukuta upo na bikraWewe ndiwe mwenye tofauti nae, au sivyo?
Naona hoja imekushinda unataka kuibadili kwa nguvu zote. Hunipeleki huko, mimi siyo mkosa maadili kama wewe.kama wewe una maadili kweli sema ukweli hapa kama mumeo alikukuta upo na bikra
Joe Biden is dead man walkingRooting for Old Joe. Get well soon.
Nijibu kama kweli mumeo alikukuta hivyo ili nijue wewe una maadili kiasi cha kumkosoa bidenNaona hoja imekushinda unataka kuibadili kwa nguvu zote. Hunipeleki huko, mimi siyo mkosa maadili kama wewe.
Hauelewi kuwa biden ni muuwaji wa kimbari?Nijibu kama kweli mumeo alikukuta hivyo ili nijue wewe una maadili kiasi cha kumkosoa biden
Alimuua nani? Au ni kama utawala wa muhuni kikwete watu waliuawa mtwara basi tumuite kikwete ni muuaji?Hauelewi kuwa biden ni muuwaji wa kimbari?
Acha kutusi watuHilo shoga bora huyo covid aendelee kumla kidogpo kidpogpo maisha yake yote.
Unafahamu maana ya Genocide Joe?Acha kutusi watu
That is an oxymoron.Joe Biden is dead man walking