#COVID19 Rais Biden apatwa na covid 19

#COVID19 Rais Biden apatwa na covid 19

Hivi kwa nini anakomaa tu kwa umri ule jamani kuna watu duniani nimeamini wanapenda shida .Hela anazo umri ule ulikuwa wa kutulia nyumbani kutakii duniani huko .Kula maisha stress free

Ingekuwa Afrika wangezomea hadi basi kama walivyozomea Mugabe kuwa kazeeka atoke
Itakua anataka aprove kwamba yeye bado ananguvu ila kile kichwa chake sasa hivi ndio kina muaibisha, kumbukumbu zinapotea hadi anasahau watu.
 
Back
Top Bottom