Naona wayahudi wenzako wa kinyachusa washachoka kusoma ujinga wako. Thread zote mbili zinasoma za yesterday yesterday lakin zote hazina like hata moja, na views hazifiki K.Chombo gan cha habar kimeandika huu uhalo uliondika wewe?
Ahahahahaha!!!Unaelewa utofauti wa afya na umri?
Haya sawaSijasema hivyo mkuu, usiniongezee maneno.
Ushauri wangu unaanza kufanyiwa kazi. Tayari vyombo vya habari vishaanza kuandika kuwa Biden anashauriwa ili asiendelee kugombea uraisi na yeye analitafakari hilo kwa sasa.Kajamaa.kaongonwewe
Kwa hiyo hii pia wanaifatilia et hahahahah
Ushauri wangu unaanza kufanyiwa kazi. Tayari vyombo vya habari vishaanza kuandika kuwa Biden anashauriwa ili asiendelee kugombea uraisi na yeye analitafakari hilo kwa sasa.
Ushauri ni jambo ambalo mshauriwa anaweza kulikubali,au kulikataa, haijalishi ushauri huo ni mbaya au mzuri kwake.
Sasa mgonjwa kung'ang"ania madaraka si uchimvi huo!!Kwa marekani Biden kama yeye kwaumri wake siokesi ,ishu mzee anaumwa
Huwezi kujiona ,wanakuona Biden kwa sheria za marekani nihaki kabisa kudai kugombe , wanaomzunguka ndo wawe bora kumwambia tunaona hili na hiliSasa mgonjwa kung'ang"ania madaraka si uchimvi huo!!
Tuliaminishwa kuwa watu wanaopenda kung'ang'ania uraisi wapo Afrika. Lakin sasa tumeshajionea kuwa hata huko Marekani mambo ni yale yale tu.