Rais Biden ashauriwa kutogombea uraisi wa Marekani, sababu analiaibisha na kulivua nguo taifa lake

Rais Biden ashauriwa kutogombea uraisi wa Marekani, sababu analiaibisha na kulivua nguo taifa lake

Chombo gan cha habar kimeandika huu uhalo uliondika wewe?
Naona wayahudi wenzako wa kinyachusa washachoka kusoma ujinga wako. Thread zote mbili zinasoma za yesterday yesterday lakin zote hazina like hata moja, na views hazifiki K.

Hata kama wenzako wanawatetea mashoga wa Israel, lakin wew umezidisha speed ambayo hata mtoto wa Netanyahu mwenyew hana muda wa kuandika thread mbili mpaka tatu kwa siku na zote zikose wasomaji namna hii.

Ni aibu sana, tafuta muda kidogo angalau uwe unaandika na sifa za nchi yako kama vile kuandika kuhusu utalii, maendeleo, utamaduni nk. Sio kupoteza muda kuandika ujinga wa kusifu nchi ya wenzako ambayo hata hao unaowaandika hawana muda wa muusoma.

Nimeamini kuwa kuna waafrika mna laana.
 

Attachments

  • Screenshot_20240624-054758.jpg
    Screenshot_20240624-054758.jpg
    309 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240624-054813.jpg
    Screenshot_20240624-054813.jpg
    323.3 KB · Views: 3
Kajamaa.kaongonwewe
Kwa hiyo hii pia wanaifatilia et hahahahah
Ushauri wangu unaanza kufanyiwa kazi. Tayari vyombo vya habari vishaanza kuandika kuwa Biden anashauriwa ili asiendelee kugombea uraisi na yeye analitafakari hilo kwa sasa.
 
Kwa marekani Biden kama yeye kwaumri wake siokesi ,ishu mzee anaumwa
Sasa mgonjwa kung'ang"ania madaraka si uchimvi huo!!

Tuliaminishwa kuwa watu wanaopenda kung'ang'ania uraisi wapo Afrika. Lakin sasa tumeshajionea kuwa hata huko Marekani mambo ni yale yale tu.
 
Sasa mgonjwa kung'ang"ania madaraka si uchimvi huo!!

Tuliaminishwa kuwa watu wanaopenda kung'ang'ania uraisi wapo Afrika. Lakin sasa tumeshajionea kuwa hata huko Marekani mambo ni yale yale tu.
Huwezi kujiona ,wanakuona Biden kwa sheria za marekani nihaki kabisa kudai kugombe , wanaomzunguka ndo wawe bora kumwambia tunaona hili na hili
 
Back
Top Bottom