Alishindwa ku handle corona wapi bana 😀 😀 , thats was politics tu,hata angekuwa nani hakuna kitu angefanya tofauti ni DT,Corona lazima ingeingia USA tu na ni lazima wangekufa sana tu,unajua kwa nini?,USA ndio nchi inaongoza kwa watu kuwa na afya mbovu duniani,karibia 100M US citizens ni obese, Drug addicts,Umasikini uliokithiri hasa sehem za watu weusi,n.k.Yaani hata leo ukitokea ugonjwa mpya,bado USA ni weak target na watakufa sana tu,hii hata taasisi zao za afya wanaluijua sema hawasemi wazi sababu wanaogopa backlash kutoka kwa media na angry politicians...Corona ilitumika kama sababu ya kuwapa wananchi hasira ili wasimchague Trump,maana waliona hakuna namna yyte wangeweza kumshinda Trump bila kuitumia corona.Ukitaka kujua hilo angalia hata sasa hivi babu Joe Biden hana hata plan yyote ku handle corona said ya kuwaambia watu wavae mask.