Rais Biden kuwafungia sola kaya 900,000 masikini nchini Marekani

Rais Biden kuwafungia sola kaya 900,000 masikini nchini Marekani

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter (x), Rais wa mmarekani JOE BIDEN amesema serikali yake inakusudia kupitisha dola bil. 7 kwa ajili ya kugharamia Sola 900,000 kwa ajili ya kaya maskini.

Amesema kwenye program hiyo mpya itawawezesha wamarekani wa kipato cha chini kumiliki Sola kwenye mapaa yao kwa Mara ya kwanza, Hali itakayoleta unafuu kwenye maisha Yao.

Screenshot_20240423-112319.png
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter (x), Rais wa mmarekani JOE BIDEN amesema serikali yake inakusudia kupitisha dola bil. 7 kwa ajili ya kugharamia Sola 900,000 kwa ajili ya kaya maskini.

Amesema kwenye program hiyo mpya itawawezesha wamarekani wa kipato cha chini kumiliki Sola kwenye mapaa yao kwa Mara ya kwanza, Hali itakayoleta unafuu kwenye maisha Yao.

View attachment 2971700
Khaa kwa,nini asikate billion kwenda ukrain na Israeli awawekeee umeme wa uhakika
 
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter (x), Rais wa mmarekani JOE BIDEN amesema serikali yake inakusudia kupitisha dola bil. 7 kwa ajili ya kugharamia Sola 900,000 kwa ajili ya kaya maskini.

Amesema kwenye program hiyo mpya itawawezesha wamarekani wa kipato cha chini kumiliki Sola kwenye mapaa yao kwa Mara ya kwanza, Hali itakayoleta unafuu kwenye maisha Yao.

View attachment 2971700
Duh sikuwahi kufikiri kwamba marekani kuna kaya hazina umeme na ni masikini
 
Maji yamemfika shingoni uchaguzi unakuja. Huu ujinga nilifikiri upo Afrika tu.
Huyu mtu alivyo ahidi kulipia watu student loan, wapo wengi walisema haiwezekani. Lakini kaweza licha ya ugumu anaowekewa. Iwe ni uchaguzi au la lakini naamini atatekeleza kama atakuwa hai.
 
Huyu mtu alivyo ahidi kulipia watu student loan, wapo wengi walisema haiwezekani. Lakini kaweza licha ya ugumu anaowekewa. Iwe ni uchaguzi au la lakini naamini atatekeleza kama atakuwa hai.
Unafikiri kwanini anaruhusu wahamiaji haramu, anataka apate kura toka kwao
 
Back
Top Bottom