Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Kwanza lugha gani itakayotumika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaunga mkono mdoa za jinsia moja na haki za LGBT, basi Lissu kafika
Endelea na upigaji ramli wako wa kishetani. Nitajie "gays" watatu na "lesbians" watatu walio nnje ya CCM nami nitakuonyesha wewe ni nani.We kama ni ME utakuwa gay..kama ni KE utakuwa lesban
Wezi wa kura ukiokubuhu!! Kutesa na kupoteza watu!! Kubambikia watu makosa hasa wale wanaojitolea kuikosoa Serikali kwa nia njema kabisa ya kujenga nchi.Kwa Afrika Tanzania ni kituo kikuu cha Amani na uwajibikaji, tunayo Demokrasia na mihimili inayojitegemea ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika.
BIDEN KAANZA KWA KUZUIA MAANDAMANO YA WANANCHI. NDIYO UJUE MAANDAMANO NI HARAMU SIYO HAKIYaani BIDEN usicheke na kima, Tanzania tumeshuhudia vyombo vya ulinzi na usalama vilivyokuwa vikiua watu hadharani mtaani.
Tumejionea kwa macho udanganyifu mkubwa na wizi wa kura.
Deogratias Mutungi Tanzania nzima hamna Mhaya wa hovyo kama wewe.
Umekosea. Yupo tena anaenda kwa jina kama hilo. Huyu ni wa id feki lakini yule anafahamika. Nadhani hilo jina lina shida. Jina lenye maana ya tajiri! Kuna dhana kuwa ili kutajirika sharti kuiba. Kwa hawa kupata uteuzi sharti kujitoa ufahamu!Yaani BIDEN usicheke na kima, Tanzania tumeshuhudia vyombo vya ulinzi na usalama vilivyokuwa vikiua watu hadharani mtaani.
Tumejionea kwa macho udanganyifu mkubwa na wizi wa kura.
Deogratias Mutungi Tanzania nzima hamna Mhaya wa hovyo kama wewe.
Umempa bwana Mtungi za uso ...hahahaha hiyo sentence ya mwisho sio poa!Yaani BIDEN usicheke na kima, Tanzania tumeshuhudia vyombo vya ulinzi na usalama vilivyokuwa vikiua watu hadharani mtaani.
Tumejionea kwa macho udanganyifu mkubwa na wizi wa kura.
Deogratias Mutungi Tanzania nzima hamna Mhaya wa hovyo kama wewe.
Alipata hiyo siyo alipewa, mtu anahubir kupigwa risas ss zingetusaidia nn😂😂😂Mlipoharibu ni pale mlipompa Lisu 13% walau mngempa 39% inge make sense.
Na Biden ana mtazamo kama huu.Biden ni mtetezi mkubwa sana wa demokrasia ya ukweli.
Secretary of State Blinken ni mwanausalama aliye mfuasi mkubwa mno wa misimamo ya B. Obama kuhusu Afrika na demokrasia yake.
Biden ni mwiba mkali kwa wanaokandamiza demokrasia na haki za binadamu( anaunga mkono ndoa za jinsi moja na haki za LGBT.
Wewe wa wapi wewe? Apinge mitandao kumpiga pini huyo chizi aliyechochea watu wafanye vurugu kwani na yeye ni muumini wa political violence?Angekuwa mtetezi wa demokrasia angepinga mitandao kumfungia trump..maana ndio demokrasia.
Hadi wanapata gharama ya kuwanunua akina Mzee Mdee kwa bei ya kuruka.Mlipoharibu ni pale mlipompa Lisu 13% walau mngempa 39% inge make sense.
Jalalani mkuuDuuh[emoji849]
Sijui CCM huwa inaokota wapi wahuni hawa[emoji44]
Baiden hawezi kuongea na watu ambao hawataki kuhimiza watu wanawe mikono wameacha wageni kuingia bila kupimwa wameingiza corona ya kutosha Tanzania imeanza kuua watu kwa speedSalaam JF,
Baada ya Rais Biden kuapa Jana Ikulu ya Marekani imetangaza kuwa mawasiliano ya kwanza ya simu yatakayofanywa na Rais Biden ni kati yake na Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau, bila Shaka kigezo na hoja kuu ni kwa jinsi utawala wa Canada unazingatia sheria, Demokrasia na uwajibikaji kwa Wananchi wake na taasisi zake.
Kwasababu kinachofanyika Canada na Tanzania ni sawa, Aidha misimamo ya Sasa ya JPM na uwajibikaji wake kiuchumi na kifursa kwa Wananchi wake.
Pia uwezo wa Rais mpya wa Zanzibar Dkt. Mwinyi anayeonesha alama ya uwajibikaki na Mapinduzi mapya katika ustawi wa amani uchumi, nashauri na kuomba iwe sababu muhimu ya Ubalozi wa Marekani Tanzania kuyatambulisha yote haya kwa Biden ili mazungumzo yanayofata yawe kati ya Rais Biden na viongozi wetu hawa Wazalendo.
Kwa Afrika Tanzania ni kituo kikuu cha Amani na uwajibikaji, tunayo Demokrasia na mihimili inayojitegemea ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika.
Aidha historia ipo wazi kati yetu na Marekani, Kwa Mantiki hiyo Tanzania ipewe kipaumbele zaidi katika mawasiliano ya awali na Rais Biden kwa manufaa ya nchi na Africa kwa ujumla kiuchumi, Kisiasa na kijamii nina imani ili litatimia hivi karibuni.