Rais Biden, kwa Afrika anza na Rais Magufuli na Mwinyi wa Zanzibar

Kwa Afrika Tanzania ni kituo kikuu cha Amani na uwajibikaji, tunayo Demokrasia na mihimili inayojitegemea ukilinganisha na nchi nyingine za Afrika.
Wezi wa kura ukiokubuhu!! Kutesa na kupoteza watu!! Kubambikia watu makosa hasa wale wanaojitolea kuikosoa Serikali kwa nia njema kabisa ya kujenga nchi.

Biden ni mcha Mungu as a person; hatataka kabisa kusikia hizi story za chaguzi za Africa - hasa za M7 na genge lake na sisi wa TZ tunavyoibaka demokrasia.
 
Yaani BIDEN usicheke na kima, Tanzania tumeshuhudia vyombo vya ulinzi na usalama vilivyokuwa vikiua watu hadharani mtaani.
Tumejionea kwa macho udanganyifu mkubwa na wizi wa kura.

Deogratias Mutungi Tanzania nzima hamna Mhaya wa hovyo kama wewe.
BIDEN KAANZA KWA KUZUIA MAANDAMANO YA WANANCHI. NDIYO UJUE MAANDAMANO NI HARAMU SIYO HAKI
 
Yaani BIDEN usicheke na kima, Tanzania tumeshuhudia vyombo vya ulinzi na usalama vilivyokuwa vikiua watu hadharani mtaani.
Tumejionea kwa macho udanganyifu mkubwa na wizi wa kura.

Deogratias Mutungi Tanzania nzima hamna Mhaya wa hovyo kama wewe.
Umekosea. Yupo tena anaenda kwa jina kama hilo. Huyu ni wa id feki lakini yule anafahamika. Nadhani hilo jina lina shida. Jina lenye maana ya tajiri! Kuna dhana kuwa ili kutajirika sharti kuiba. Kwa hawa kupata uteuzi sharti kujitoa ufahamu!
 
Yaani BIDEN usicheke na kima, Tanzania tumeshuhudia vyombo vya ulinzi na usalama vilivyokuwa vikiua watu hadharani mtaani.
Tumejionea kwa macho udanganyifu mkubwa na wizi wa kura.

Deogratias Mutungi Tanzania nzima hamna Mhaya wa hovyo kama wewe.
Umempa bwana Mtungi za uso ...hahahaha hiyo sentence ya mwisho sio poa!
 
Na Biden ana mtazamo kama huu.
Your browser is not able to display this video.
 
Angekuwa mtetezi wa demokrasia angepinga mitandao kumfungia trump..maana ndio demokrasia.
Wewe wa wapi wewe? Apinge mitandao kumpiga pini huyo chizi aliyechochea watu wafanye vurugu kwani na yeye ni muumini wa political violence?
 
Baiden hawezi kuongea na watu ambao hawataki kuhimiza watu wanawe mikono wameacha wageni kuingia bila kupimwa wameingiza corona ya kutosha Tanzania imeanza kuua watu kwa speed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…