mwananyaso
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 2,995
- 3,401
Kokolo la matajiri na waalikwa maskiniPicha mbalimbali za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani (World Economic Forum) uliofanyika katika Ukumbi wa Congress, Davos nchini Uswizi Januari 17, 2023.
View attachment 2484857
View attachment 2484858
View attachment 2484863
Acha nongwaa wewe.Kweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?
Yesu hakuacha walau mguu wa stuli alizokua anachonga pale galilaya,walau wakuchokonolee kwenye tundu linalokuwasha,utatibu muwasho maana huo mguu utakua na upako!!Muisiharamu youote ana amini mabeberu ni miungu kwao
Unajua hata Tina hupimwa vipi!?..kanyoe mavvuzzi itakua yanakuwashaSafari nyingiii, tija sifuri.
Na wewe unajiona umetoa bonge la comment! Nyie ndo vijana au wazee ambao hawataki kuchangamana na wenzenu kubadilishana mawazo ya kifikra. Kwahiyo ulitaka yajadiliwe wapi?? Kwani ambavyo yalipokuwa yakijadiliwa hapa Tanzania yaliisha? Matatizo yapo na yataendelea kuwepo, acheni mama afanye kazi yakeKweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?
We mbona kila siku unasafiri bunju-kkoo!!?Kwenye hio field ya kusafiri, phd yake ameifanyia kazi.
Si ya Tanzania tu bali ya Afrika nzima, kama sehemu kubwa ya bajeti yetu(this is since independence) pesa zinatoka huko lazima tuwashawishi ili waendelee kutuwezesha.Kweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?
Kama jk hawezi kuacha kwenda huko akifikiri nchi inaweza kuendelea kwa kuombaomba. Hizo gathering hazina tija zimeundwa kuifadishia uswizi na nchi tajiri.Picha mbalimbali za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Jukwaa la Uchumi Duniani (World Economic Forum) uliofanyika katika Ukumbi wa Congress, Davos nchini Uswizi Januari 17, 2023.
View attachment 2484857
View attachment 2484858
View attachment 2484863
Kwani walioalikwa wote huwa wanakwenda kujadili matatizo tu?Kweli matatizo ya Tanzania hayajulikani mpaka yakajadiliwe uswisi?
Umemuona hapo rais wa Rwanda, Uganda, China, Singapore? Ujinga mtupuWewe mbulula Tanzania sio kisiwa.
Kwa nini mnapenda kujustify uhuni wa yule chizi wenu kwa kupinga vinavyofanyika sasa!!???
Huo ni uwendawazimu Etwege aka Kulwa Jilala .
aende kwao usukumani akakope fedha za kumalizia lile daraja lao la BusisiMikopo inatoka kwa hao wazungu. Sasa unataka aende Uganda kukopa?
kwani Tz ina shida na picha za marais wa nchi nyingine? Si kile mmoja atapigwa picha na watu wa nchi yake?Umemuona hapo rais wa Rwanda, Uganda, China, Singapore? Ujinga mtupu