Rais Donald Trump aliwauliza washauri wake wa usalama iwapo aishambulie Iran kijeshi

Iran ipo vizuri sana,aibu atakayoipata U.S kwa Iran itakuwa fedheha kubwa kwa Marekani.
U.S akamalizane kwanza na wakina Mulla wa Afghan,bado wapo na wananguvu.
mziki wa Iran atouweza,waajemi awajaribiwi.
 
Hizo source nimesha kuwekea hapo kama hauridhiki na maelezo yangu nenda kwenye mitandao yao utazikuta usome ujiridhishe.
Maelezo yako?,Ulichokisoma hakina link??
 
Kwa hiyo interests hizo una ziona ndogo sio?
Hivi unadhani USA akiishambuli Iran washirika wa Marekani katika eneo hilo watabaki salama kweli?
Ukweli ni kwamba kama marekani anamshambulia Iran basi achague moja apige kweli au amfinye ile kutaka kuondoa mazoea

Ilivyo ni kama iran amemkaba koo saudia, the moment anapigwa na marekani basi naye iran anampiga saudia.
 
Ndo tabia za Marekani kuachiana misala. Rejea vyura wa pwani waliomwua JF Kennedy
 
Lakini kuna tetesi kuwa huenda Israel ikavishambulia vinu hivyo kama matokeo ya uchaguzi wa US yatampa ushindi Biden.Inapanga kuivishambulia kabla ya Biden kuchukua ofisi ya White House 20 jan 2021.
Hawawezi kuishambulia IRAN si US si ISRAEL wal yeyote labda waungane DUNIA nzima.
 
Maelezo yako?,Ulichokisoma hakina link??
Nimesha kuwekea source ya hiyo habari
Kwa hiyo ww kama una hisi nimejitungia ingia kwenye mitandao ya kijamii ya hizo source ukasome ili ujiridhishe.
 
Ushaambiwa shida ni interests za Marekani hapo Middle East, Iran hana ubavu kwa Marekani.
Sasa ni anajua iran atashambulia kambi za marekani, Qatar, UAE, Saudi arabia, Afaghnistan, Iran na pia Syria, kwahiyo cost ya mashambulizi ya Marekani nchini Iran, imezidiwa na hasara itakayopatikana.

Iran pale ni regional power sio ya kuendea pupa
 
Hizo source nimesha kuwekea hapo kama hauridhiki na maelezo yangu nenda kwenye mitandao yao utazikuta usome ujiridhishe.
Yaani kusema tu, source ni BBC, Aljazeera tayari ina sifa ya kuitwa source bila hata kuweka link,au video ya hiyo habari?
 
Yaani kusema tu,source ni BBC, Aljazeera tayari ina sifa ya kuitwa source bila hata kuweka link,au video ya hiyo habari??..
Hii ni habari nimejitungia.
Umerizika sasa?
 
Sasa ni anajua iran atashambulia kambi za marekani,qatar,UAE,saudi arabia,afaghnistan,irag na pia syria,, kwahiyo cost ya mashambulizi ya marekani nchini iran,,imezidiwa na hasara itakayopatikana,,
Iran pale ni regional power sio ya kuendea pupa
Inawezekana iwe hivyo, ingawaje itakuwa ni kujitafutia matatizo zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…