Rais Donald Trump aliwauliza washauri wake wa usalama iwapo aishambulie Iran kijeshi


Unamkorogea mwenzako kwa kuwa umekosa.hii roho hipo tanzania
 
we ndo hazikutoshi, hujui siasa za marekani, nyamaza. una judge unachopewa kwenye taarifa ya habari. interview anazogongwa na ma jounalists na anazijibu kwa akili wewe hutaweza ukae ujibu swali hata moja na kubaki un akenua meno tu. trump ana agenda za kusaidia waafrika na watu weusi ndo maana anashambuliwa. elewa.
 
Hivi mkuu umesoma nilicho kiandika kwa umakini kweli?
Mambo ya kuwasaidia waafirika yametoka wapi kwenye moment yangu?
 
Lakini kuna tetesi kuwa huenda Israel ikavishambulia vinu hivyo kama matokeo ya uchaguzi wa US yatampa ushindi Biden.Inapanga kuivishambulia kabla ya Biden kuchukua ofisi ya White House 20 jan 2021.


Ebu ajaribu aone
 
Lakini kuna tetesi kuwa huenda Israel ikavishambulia vinu hivyo kama matokeo ya uchaguzi wa US yatampa ushindi Biden.Inapanga kuivishambulia kabla ya Biden kuchukua ofisi ya White House 20 jan 2021.


Ebu ajaribu aone
 
Lakini kuna tetesi kuwa huenda Israel ikavishambulia vinu hivyo kama matokeo ya uchaguzi wa US yatampa ushindi Biden.Inapanga kuivishambulia kabla ya Biden kuchukua ofisi ya White House 20 jan 2021.
Hio itakuwa suicide kwa gays wa twlaviv.
 
Lakini kuna tetesi kuwa huenda Israel ikavishambulia vinu hivyo kama matokeo ya uchaguzi wa US yatampa ushindi Biden.Inapanga kuivishambulia kabla ya Biden kuchukua ofisi ya White House 20 jan 2021.
Hizi nyingine ni stori tu ambazo sidhani kama hata Israel wenyewe wanazijua
 
Na ww ni mtanzania wa ajajbu kuwahi kutokea kuhisi obama alikua raisi mzuri pamoja na kummaliza gadafi wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…