Rais Dr. Hussein Mwinyi awasili Cuba kwa mkutano wa G77 na China

Rais Dr. Hussein Mwinyi awasili Cuba kwa mkutano wa G77 na China

Havana, Cuba

Cumbre de Jefes de Estado y de Gobierno del Grupo de los 77 y China

tarehe 14 September 2023
Mwandishi
Na Pedro Rioseco


View: https://m.youtube.com/watch?v=Lhxm7jatf5U

Mh. Rais Dr. Hussein Mwinyi akiwa na balozi wa Tanzania nchini Cuba Mh. Humphrey Hesron Polepole uwanja wa ndege wa Aeropuerto Internacional José Martí de La Habana nchini Cuba.


Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Mwinyi amewasili nchi Cuba kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan katika mkutano wa nchi za kundi la G77

Rais wa Cuba Miguel Díaz Canel Bermúdez ataongoza Ijumaa hii tarehe 15 hadi Jumamosi tarehe 16 September 2023 Mkutano muhimu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la 77 na China kujadili mada "Changamoto za sasa za maendeleo: Jukumu la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu" .

Likiwa limeitishwa na Cuba, katika nafasi yake kama mwenyekiti wa muda nchi za G77 tangu Januari iliyopita, Kundi hili G77 ndilo kambi kubwa zaidi ya nchi zinazoendelea ndani ya Mfumo wa Umoja wa Mataifa na kundi la mashauriano tofauti zaidi katika nyanja ya kimataifa.

Inajumuisha nchi wanachama 134 ambazo zinawakilisha theluthi mbili ya wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa na asilimia 80 ya idadi ya watu duniani, ambayo inaonyesha jukumu lake muhimu.


G77 Ilianzishwa mnamo Juni 15, 1964 kama kikundi cha nchi zinazoendelea na ambazo hazijaendelea kwa madhumuni ya kusaidiana, kudumisha na kusaidiana katika mijadala ya Umoja wa Mataifa, jukumu lake katika nyanja ya kimataifa lilikua na ujumuishaji uliofuata wa nchi za Ulimwengu wa Tatu.
Source : https://www.contraloria.gob.cu/noti...te-reunion-cumbre-del-grupo-de-los-77-y-china

anamwakilisha nani? zanziba au tanganyika?
 
anamwakilisha nani? zanziba au tanganyika?
16 September 2023
Havana, Cuba
1694879470447.png

Picha: Rais Kagame na Rais Dr. Hussein Mwinyi ukumbini Havana, Cuba ambako wameungana na viongozi kutoka kote duniani kwa ajili ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa G77 + China
 
kwahiyo kidogo kidogo zanzibar inaanza kutangazwa kimataifa, na wao walikuwa wanalitaka sana hili kwamba mikutano ya kimataifa wawepo kama nchi. angekuwa rais mbara lingetokea hili au kwasabab nchi tumewapa wao pande zote mbili.
 
kwahiyo kidogo kidogo zanzibar inaanza kutangazwa kimataifa, na wao walikuwa wanalitaka sana hili kwamba mikutano ya kimataifa wawepo kama nchi. angekuwa rais mbara lingetokea hili au kwasabab nchi tumewapa wao pande zote mbili.

Nafikiri ni diplomasia ya kimkakati kwani Zanzibar ina historia ndefu ya mahusiano na wanamapinduzi wa Cuba kabla ya Tanganyika kutambulishwa ktk kundi la wanamapinduzi.

Hivyo 2023 Tanzania kutumia mahusiano hayo ya muda mrefu kati ya makomredi wa Zanzibar na wale wa Cuba ni mkakati mzuri kidiplomasia kuhakikisha mahusiano endelevu ya kihistoria yanadumu

Soma hapa :
Ali Sultan’s reputation had preceded him beyond the borders of Zanzibar. His international contacts included Che Guevara and Raul Castro, younger brother of Fidel, the Cuban revolutionary leader.

He (Comrade Ali Sultan almaarufu: Shetani )once told me of an incident when he hosted Che in Zanzibar in January 1965. Ali first met Che in Cuba in 1962 and then in Geneva in 1964 during the United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD) conference.

When the Argentinian paid a courtesy call at night on President Abeid Karume he found the president anxious, telling him that “your friend Ali Sultan” was plotting against his regime.

Luckily, during the day Che had quizzed Ali about the situation in Zanzibar and he detected no inkling from Ali’s side that he was opposed to Karume. Che duly assured the president of his judgment which placated Karume.

The following morning Che related the incident to Ali who believed that Che’s intervention probably saved his life.

In 1996 while in Cuba for the return of Che’s remains from Bolivia, Ali Sultan was asked by a film crew to reminisce about his time with Che. Ali could not contain himself. He broke down and the recording had to be aborted.

Ali-Sultan-Che-Guevara-640x477.png
Ali Sultan (second right) in a group photo with the Latin American revolutionary Che Guevara (fourth left). PHOTO | COURTESY OF ALI SULTAN’S FAMILY
 
that is great, hata hivyo, hii haina afya kwa muktadha wa muungano, hapo unaiinua zaidi zenji ambayo imekuwa ikitafuta hiyo nafasi, ukija kujaribu kuinyima hiyo nafasi tena hapatatosha. ni sawa na mtoto anayependa sana pesa na umezoea kumpa, ukija kuacha kumpa hapatatosha na ndio njia ya kutafuta pesa ili akajitegemee mtaani. ukweli mchungu.
 
Nakumbuka mkutano huu alipouleta Tanzania nyerere ndiyo akajenga hoteli ya 77 Arusha na akanunuwa Benz mpya 77 ili kupokea wageni huku Watanzania wanakaa foleni ya kula.

Yule mzee alikuwa na mambo ya kijinga jinga sana. kazi kujichekesha chekesha tu.
Siku zote pamoja na udini wako nakuonaga una ajili kidogo kumbe hamna kitu. Nyie vijana wa Leo n hasara Kwa Taifa.
 
16 September 2023
Havana, Cuba

1694962347543.png


Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Stephen Byabato (Mb.) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Jamaica Mhe. Kamina John Smith walipokuta pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la G77+ China unaofanyika jijini Havana nchini Cuba tarehe 16 Septemba 2023

Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Stephen Byabato (Mb.) amekutana na kuzungumza na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara wa Jamaica Mhe. Kamina John Smith pembezoni mwa Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la G77+ China unaofanyika jijini Havana nchini Cuba.

Katika mazungumzo yao viongozi hao wameelezea kuridhishwa kwao na hali ya uhusiano wa kidiplomasia uliopo kati ya Tanzania na Jamaica na kuahidi kuendelea kushirikiana zaidi ili kuimarisha uhusiano huo.

Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Byabato amemuelezea Mhe. Smith kuwa Tanzania inaridhishwa na uhusiano mzuri uliopo na kuongeza kuwa kuna haja ya kuhakikisha uhusiano huo wa kidplomasia unaimarishwa na kufikia hatua ya juu.

Amemuhakikishia utayari wa Serikali ya Tanzania kuanzisha Tume ya Kudumu ya Pamoja (JPC) na Jamaica katika maeneo yatakayozinufaisha pande zote mbili.

Pia amemuelezea nia ya Tanzania kupanua wigo wa maeneo ya ushirikiano na kuingiza sekta za uchumi wa buluu, biashara na uwekezaji.

Akizungumza katika kikao hicho Mhe. Smith alisema pamoja na uhusiano mzuri uliopo kati yake na Tanzania, Jamaica inaiomba Tanzania kuiunga mkono katika nafasi mbili inazogombea kimataifa katika Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Bahari (IMO) na Kamati ya Urithi wa Dunia iliyo chini ya UNESCO.

Source : ForeignTanzania at 11:03 PM
 
Nafikiri ni diplomasia ya kimkakati kwani Zanzibar ina historia ndefu ya mahusiano na wanamapinduzi wa Cuba kabla ya Tanganyika kutambulishwa ktk kundi la wanamapinduzi.

Hivyo 2023 Tanzania kutumia mahusiano hayo ya muda mrefu kati ya makomredi wa Zanzibar na wale wa Cuba ni mkakati mzuri kidiplomasia kuhakikisha mahusiano endelevu ya kihistoria yanadumu

Soma hapa :
Ali Sultan’s reputation had preceded him beyond the borders of Zanzibar. His international contacts included Che Guevara and Raul Castro, younger brother of Fidel, the Cuban revolutionary leader.

He (Comrade Ali Sultan almaarufu: Shetani )once told me of an incident when he hosted Che in Zanzibar in January 1965. Ali first met Che in Cuba in 1962 and then in Geneva in 1964 during the United Nations Conference on Trade and Development (UNCTAD) conference.

When the Argentinian paid a courtesy call at night on President Abeid Karume he found the president anxious, telling him that “your friend Ali Sultan” was plotting against his regime.

Luckily, during the day Che had quizzed Ali about the situation in Zanzibar and he detected no inkling from Ali’s side that he was opposed to Karume. Che duly assured the president of his judgment which placated Karume.

The following morning Che related the incident to Ali who believed that Che’s intervention probably saved his life.

In 1996 while in Cuba for the return of Che’s remains from Bolivia, Ali Sultan was asked by a film crew to reminisce about his time with Che. Ali could not contain himself. He broke down and the recording had to be aborted.

Ali-Sultan-Che-Guevara-640x477.png
Ali Sultan (second right) in a group photo with the Latin American revolutionary Che Guevara (fourth left). PHOTO | COURTESY OF ALI SULTAN’S FAMILY

Kamandate Fidel Castro akijibu na kufafanua mambo mwaka 1959 alipohojiwa na kuzungumza kwa Kiingereza ktk interview hii mwanzo mwisho


View: https://m.youtube.com/watch?v=QC0lYdqQ4wA
 
Havana, Cuba

Cumbre de Jefes de Estado y de Gobierno del Grupo de los 77 y China

tarehe 14 September 2023
Mwandishi
Na Pedro Rioseco


View: https://m.youtube.com/watch?v=Lhxm7jatf5U

Mh. Rais Dr. Hussein Mwinyi akiwa na balozi wa Tanzania nchini Cuba Mh. Humphrey Hesron Polepole uwanja wa ndege wa Aeropuerto Internacional José Martí de La Habana nchini Cuba.


Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Hussein Mwinyi amewasili nchi Cuba kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Hassan katika mkutano wa nchi za kundi la G77

Rais wa Cuba Miguel Díaz Canel Bermúdez ataongoza Ijumaa hii tarehe 15 hadi Jumamosi tarehe 16 September 2023 Mkutano muhimu wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundi la 77 na China kujadili mada "Changamoto za sasa za maendeleo: Jukumu la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu" .

Likiwa limeitishwa na Cuba, katika nafasi yake kama mwenyekiti wa muda nchi za G77 tangu Januari iliyopita, Kundi hili G77 ndilo kambi kubwa zaidi ya nchi zinazoendelea ndani ya Mfumo wa Umoja wa Mataifa na kundi la mashauriano tofauti zaidi katika nyanja ya kimataifa.

Inajumuisha nchi wanachama 134 ambazo zinawakilisha theluthi mbili ya wanachama wa Shirika la Umoja wa Mataifa na asilimia 80 ya idadi ya watu duniani, ambayo inaonyesha jukumu lake muhimu.


G77 Ilianzishwa mnamo Juni 15, 1964 kama kikundi cha nchi zinazoendelea na ambazo hazijaendelea kwa madhumuni ya kusaidiana, kudumisha na kusaidiana katika mijadala ya Umoja wa Mataifa, jukumu lake katika nyanja ya kimataifa lilikua na ujumuishaji uliofuata wa nchi za Ulimwengu wa Tatu.
Source : Cuba preside importante reunión Cumbre del Grupo de los 77 y China


15 September 2023
Havana, Cuba

RAIS DR. HUSSEIN MWINYI AKIHUTUBIA MKUTANO WA G77+CHINA MJINI HAVANA CUBA
View attachment 2752476
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi amehutubia Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kundo la G77+ China akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.



Akihutubia katika Mkutano huo, Dkt. Mwinyi amesema Sayansi, Teknolojia na Ubunifu ni nguzo muhimu kwa nchi zinazoendelea kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kuongeza kuwa nchi hizo zinaweza kuendelea kiuchumi kupitia maendeleo katika sekta muhimu za kilimo, nishati, elimu, afya, madini, maendeleo ya muindombinu, maji na mazingira.

Mhe. Rais Dkt. Mwinyi amekumbusha namna nchi zinazoendelea zilivyoathirika na janga la maradhi ya UVIKO-19, bidhaa kupanda bei, mizozo ya kisiasa na athari za mabadiliko ya tabia nchi na kuongeza kuwa baadhi ya changamoto zilisababisha kupanda kwa gharama za maisha na kudhoofisha jitahada za kujikwamua kiuchumi.



Mhe. Dkt. Mwinyi alikumbushia namna nchi zilizoendelea zilivyobanwa na teknolojia ya kutengeneza chanjo na kunyimwa msaada wa kiteknolojia ili zitengeneze chanjo zao na kusababisha kampuni za kutengeneza dawa za mataifa tajiri kupata faida kubwa kwa kuziuzia nchi zinazoendelea chanjo ya UVIKO-19.å

Mhe.Dkt. Mwinyi amezitanabaisha nchi za kundi la G77+China kuchukua changamoto hizo kama somo na zisibweteke kusubiri msaada kutoka mataifa yaliyoendelea.



Mkutano huo unaofanyika jijini Havana nchini Cuba tarehe 15-16 Septemba 2023 unayakutanisha mataifa yanayoendelea unajadili changamoto zinazoikabili dunia baada ya kuathirika na janga la UVIKO-19 na migogoro inayoendelea duniani na vikwazo mbalimbali vya kiuchumi.



Mkutano huo umejikita kutafuta namna bora ya kujenga ustahimilivu kupitia maendeleo ya sayansi na teknolojia na ubunifu ili kundi la G77+China liweze kufikia malengo yake kwa pamoja.



Kaulimbiu ya Mkutani inasema, “Changamoto za Maendeleo: Nafasi ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu”.

Cuba Ni nyumbani
 
25 January 2024
Dar es Salaam, Tanzania

CUBA Y TANZANIA FIRMARON HOY DOS MEMORANDOS

View: https://m.youtube.com/watch?v=Dp3Zrw4xkgQ

Cuba y Tanzania firmaron hoy dos memorandos de entendimiento para el desarrollo de la agricultura y la certificación de medicamentos y equipos médicos, este último, entres las agencias reguladoras de ambas naciones. La rúbrica tuvo lugar en el contexto de la agenda oficial que desarrolla el vicepresidente cubano Salvador Valdés Mesa en la República Unida de Tanzania. Más información en www.canalcaribe.icrt.cu

Cuba and Tanzania signed today two memorandums of understanding for the development of agriculture and the certification of medicines and medical equipment, that will bind between the regulatory agencies of both nations. The signing took place in the context of the official agenda developed by Cuban Vice President Salvador Valdés Mesa in the United Republic of Tanzania
 
25 January 2024

Mashirikiano ya sekta ya kitabibu, wasifiwa kwa madaktari wa Cuba wanaofanya kazi Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=gqTakCwzBiw

Hayo yamedhihirika katika ziara ya makamu wa rais wa Cuba mheshimiwa Salvador Valdés Mesa nchini Tanzania wakati wakitoa mifano ya shughuli za kitabibu wanazofanya sehemu kadhaa ikiwemo Kibaha mkoani Pwani Tanzania.
 
25 January 2024
Dar es Salaam, Tanzania

Makamu wa rais wa Cuba Mh. Salvador Valdés Mesa nchini Tanzania mwezi January 2024

Inició vicepresidente de Cuba, Salvador Valdés visita oficial a Tanzania


View: https://m.youtube.com/watch?v=CAznWAhumPY

Ziara hiyo ya kihistoria ni muendelezo wa mashirikiano yaliyoanza miaka mingi iliyopita na kuthibitisha ukomavu wa urafiki wa nchi hizi mbili .. tangu ulipoasisiwa na Fidel Castro na Julius Nyerere ...

#Cuba y la República Unida de #Tanzania refuerzan sus históricas relaciones diplomáticas, con la llegada del Vicepresidente Salvador Valdés Mesa a esa nación africana, en visita oficial, este martes
 
VYUO VIKUU VYA HAVANA CUBA NA UDSM DAR ES SALAAM KUBADILISHANA WANAFUNZI NA WAHADHIRI


View: https://m.youtube.com/watch?v=p9J2AY5RqSA

Hiyo itasaidia kubadilishana uzoefu, utaalamu na pia lugha kwa wanafunzi na wahadhiri wa vyuo hivyo tajwa vya Universidad de la Habana na UDSM chuo kikuu cha Dar es Salam 8za nchi mbili rafiki , hilo limebainika katika ziara ya makamu wa rais wa Cuba mheshimiwa Salvador Valdés Mesa nchini Tanzania
 
VYUO VIKUU VYA HAVANA CUBA NA UDSM KUBADILISHANA WANAFUNZI


View: https://m.youtube.com/watch?v=p9J2AY5RqSA

Hiyo itasaidia kubadilishana uzoefu, utaalamu na pia lugha kwa wanafunzi na wahadhiri wa vyuo hivyo tajwa vya Universidad de la Habana na UDSM chuo kikuu cha Dar es Salam 8za nchi mbili rafiki , hilo limebainika katika ziara ya makamu wa rais wa Cuba mheshimiwa Salvador Valdés Mesa nchini Tanzania

Jinsi nchi ya South Africa inavyo changamkia nafasi za masomo ya udaktari na mengineyo nchini Cuba, wanafunzi watoa ushuhuda
The University of Havana (UH; Spanish: Universidad de La Habana) is a public university located in the Vedado district of Havana, the capital of Cuba. Founded on January 5, 1728, the university is the oldest in Cuba, and one of the first to be founded in the Americas. Originally a religious institution, today the university has 15 faculties (colleges) at its Havana campus and distance learning centers throughout Cuba.[

View: https://m.youtube.com/watch?v=u5qy0f9PKGE

Last week Dr Aaron Motsoaledi, accompanied by Deputy Minister of Health, Dr Joe Phaahla and Gauteng MEC of Health Dr Gwen Ramokgopa welcomed back Cuban-trained medical students who are returning into the country.The 260 fifth-year medical students returned for their final sixth-year studies and reintegration into the South African health system. The training of the students is one of the national strategies developed by the ministry to strengthen the public health sector.
 
Back
Top Bottom