Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Ina maana Macron na huyo mkewe hawajazaa wote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀hapo ndio sijajua baby😂
Macron alipewa za kiutuuzima akaona hawa wapinduka sarakasi matatizo tu...
Mambo ya kitandani kuna wakati yanabaki siri..
ukutane na lingazija mixer lizanzibara limekulia Tanga hata likiwa na 50yrs na wewe una 20yrs lazima uanzishe lawama na ndugu zako tu....
Humu mwanaume gani asiyependa burudani, sasa huwezi jua utafia wapi kimahaba, sio mahaba haya vilingeni tunazungumzia yale nafsi yako mwenyeweeee imeamua hapa acha nife....Abdallah anahudumiwa vizuri toka juu mpaka chini, golori nazo zinapata hudula nzuri lazima unase kidondani tu... Vijana tembeeni muone..
Nakazia Ni Wivu TuWivu huoo,🤣🤣
Endelea kujifariji
Ingekuwa bongo ungesikia limbwata ooh freemason hiyo ndio True love sasa
Huyu Kijana ana matatizo gani hasa?Pichani Ni Raisi wa Ufaransa Emmnuel Macron akiwa na Mkewe kipenzi (First Lady), Brigitte Macron.
Hawa wawili wanapishana kwa miaka 25. Mama amezaliwa 1953.
Macron ndiye mdogo kabisa nyumbani kwake, kwani hata watoto aliozaa huyu Mama wanazidi umri.
View attachment 1994909
ImaginationAlionja au
Wewe ulijuaje kana kuna kinyaa mkuu?Yani ameacha watoto wakali jijini Paree/Paris amekwenda kuoa bibi kizee kweli uchawi upo mpaka uzunguni!!
Alafu kutom.........bibi kizee kuna kinyaa flani hv.......!!!?
duuh aisee
Huyu jamaa anaweza kuwa na mattz ya akili
Niliwahi piga bibi kizee nikiwa tungiWewe ulijuaje kana kuna kinyaa mkuu?
nikimwangalia huyu maza na kujua kuwa huwa anamvulia nguo huyu jamaa, nakubaliana na dhana kwamba wanawake ni viumbe hatari sana katika hii sayari ya dunia. huwezi uwa serious. this president will fake happiness ila kuna siku ukweli utajulikana tu kwamba hapo hata yeye hakubaliani nalo. hata uso wake unaonekana.Pichani Ni Raisi wa Ufaransa Emmnuel Macron akiwa na Mkewe kipenzi (First Lady), Brigitte Macron.
Hawa wawili wanapishana kwa miaka 25. Mama amezaliwa 1953.
Macron ndiye mdogo kabisa nyumbani kwake, kwani hata watoto aliozaa huyu Mama wanazidi umri.
View attachment 1994909
Watu wazima, wazee hawanaga stress mkiwa kwenye mahusianonikimwangalia huyu maza na kujua kuwa huwa anamvulia nguo huyu jamaa, nakubaliana na dhana kwamba wanawake ni viumbe hatari sana katika hii sayari ya dunia. huwezi uwa serious. this president will fake happiness ila kuna siku ukweli utajulikana tu kwamba hapo hata yeye hakubaliani nalo. hata uso wake unaonekana.