Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi kizee mashavu yanatoka wapi? Labda useme makunyanziAnamsugua mashavu vizuri
Wanawake mnatuloga Sana.Mmmh bibi ngozi ya kwapa imeteremka kabisa hakika kuna watu wana bahati mno
Mashavu ya papaBibi kizee mashavu yanatoka wapi? Labda useme makunyanzi
Macron sio mjinga
Kuna story nilipewa akiwa na umri wa kubalehe alishawah itumia pisi nauli halafu haikutokea
Toka SIKU hyo aliapa kutodate na slay queen so akawa anajirusha na wamama wakubwa
Mwishowe Brigitte akapata bahat
So wadada endeleen Kula nauli huku watu wazma wakiolewa
Anampelekea moto ahahahahah,ukute kabibi kanayeye siyo poa yaani!Umeionaje[emoji23]
PS. Jamaa ana roho ngumu sana na hana huruma kabisa kwa huyo mbibi
Mangazija yana maufundu mengi nini mkuu ?Macron alipewa za kiutuuzima akaona hawa wapinduka sarakasi matatizo tu...
Mambo ya kitandani kuna wakati yanabaki siri..
ukutane na lingazija mixer lizanzibara limekulia Tanga hata likiwa na 50yrs na wewe una 20yrs lazima uanzishe lawama na ndugu zako tu....
Humu mwanaume gani asiyependa burudani, sasa huwezi jua utafia wapi kimahaba, sio mahaba haya vilingeni tunazungumzia yale nafsi yako mwenyeweeee imeamua hapa acha nife....Abdallah anahudumiwa vizuri toka juu mpaka chini, golori nazo zinapata hudula nzuri lazima unase kidondani tu... Vijana tembeeni muone..