Rais Emmnuel Macron akiwa na Mkewe kipenzi (First Lady)

Rais Emmnuel Macron akiwa na Mkewe kipenzi (First Lady)

Itoshe kusema kwamba maisha yana siri nzito/kubwa sana ktk ulimwengu wa mafanikio ya level tajwa.....
 
Macron sio mjinga

Kuna story nilipewa akiwa na umri wa kubalehe alishawah itumia pisi nauli halafu haikutokea

Toka SIKU hyo aliapa kutodate na slay queen so akawa anajirusha na wamama wakubwa

Mwishowe Brigitte akapata bahat

So wadada endeleen Kula nauli huku watu wazma wakiolewa

[emoji1][emoji1][emoji1] tutaachaje kwa mfano
 
Samaki alisha oza sasa mnashangaa nini ?Imma alisha oza kwa huyo bibi kitambo since yupo xulw.
 
Wameanza kufanana,ndo maana alivyokutana na rais wa croation aliinjoy sana,hahahahaaaa eti yeye ndo mdogo nyumban kwake
 
Hapa aliinjoy akamsahau bibi yake

images (16).jpeg


images (15).jpeg
 
Macron alipewa za kiutuuzima akaona hawa wapinduka sarakasi matatizo tu...
Mambo ya kitandani kuna wakati yanabaki siri..

ukutane na lingazija mixer lizanzibara limekulia Tanga hata likiwa na 50yrs na wewe una 20yrs lazima uanzishe lawama na ndugu zako tu....

Humu mwanaume gani asiyependa burudani, sasa huwezi jua utafia wapi kimahaba, sio mahaba haya vilingeni tunazungumzia yale nafsi yako mwenyeweeee imeamua hapa acha nife....Abdallah anahudumiwa vizuri toka juu mpaka chini, golori nazo zinapata hudula nzuri lazima unase kidondani tu... Vijana tembeeni muone..
Mangazija yana maufundu mengi nini mkuu ?
 
Yataka moyo kwa kweli.
Labda jamaa kimoja chali, kaamua kujisalimisha kwa bimkubwa.
Siunajua wazee pumzi ndogo! Moja linawatosha.
 
Back
Top Bottom