Rais Faye wa Senegal aanza visingizio baada ya kushindwa kutimiza ahadi alizotoa baada ya kuapa kuwa Rais. Awashutumu wapinzani kumkwamisha Bungeni

Rais Faye wa Senegal aanza visingizio baada ya kushindwa kutimiza ahadi alizotoa baada ya kuapa kuwa Rais. Awashutumu wapinzani kumkwamisha Bungeni

Give him time.
Kuna vyama viko madarakani miaka 63 Sasa wanafunzi bado wanakaa kwenye vumbi chini, mradi mdogo tu wa mwendokasi umeeashinda kuendesha. Sehemu kubwa ya Dar haina maji ya bomba. Ndani ya miezi 6 Senegal Wana mabasi ya mwendokasi ya umeme.
Ni kawaida MTU mfupi anaona Raha Sana kuona MTU mfupi kuliko yeye.
Huwezi kumpima kiongozi kwa miezi sita jamani, give him time.
Wemgine wanfunzi wanakunywa maji yenye mavi.
 
Back
Top Bottom