The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Sie ndio tunamtongoza si unaona mali hii waliyonayo? πMwambieni msaada aliokuja kuuomba ahesabu ameshaupata. Karibu Rais wa Congo [emoji1078]
Saizi sasa Tanzania ndio imepata Rais ,miaka 5 iliyopita tulikuwa na futuhi na mgonjwa aliyekimbia mirembe.Hakika chini ya Rais mama samia Tanzania kwa Sasa Ni kimbilio na chaguo la kwanza kwa kila mtu mwenye kuhitaji ushirikiano wenye tija, Heshima ya Tanzania kwa Sasa Ni kubwa Sana baada ya Rais Samia kuimarisha Diplomasia yetu, Fursa Ni nyingi Sana zinazoendelea kumiminika hapa nchini Maana hapo najuwa lazima kutafanyika mazungumzo yatakayo wahakikishia wakongo huduma Bora na ya uhakika wapitishapo bidhΓ a zai katika bandari yetu ya Dar es salaam
Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.Saizi sasa Tanzania ndio imepata Rais ,miaka 5 iliyopita tulikuwa na futuhi na mgonjwa aliyekimbia mirembe.
Hawa jamaa ni matajiri sana na wazungu wanajua kucheza na akili zao, wakawafundisha maisha ya kupenda rhumba na anasa nyinginezo wakati wao wanachukua madini kadri wanavyojisikia.Sie ndio tunamtongoza si unaona mali hii waliyonayo? π
Kuna kazi nzito alikuwa akiifanya JPM hatukumuelewa kipindi kile. Anapokuja huyu rais na kufanya kikao cha kujadili biashara na TZ ndio tunaanza kumuelewa kwa kina.Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.
Sasa unajua kwa nini kumekuwa na ongezeko? Ni jitihada za Magufuli kuziongezea uwezo bandari ya Tanga, Dar na Mtwara. Tanga na Mtwara zilikufa. Dar ndugu zako walitaka kuiua kwa kuanzisha bagamoyo chini ya wachina.
Kazi kubwa kaifanya huyo unayemuita mgonjwa. Na we mwenyewe umeonyesha trend ya mizigo. Ndio maana nasema unajitia dole, unajinusa kisha unaziba pua mwenyewe.
Majitu design kama huyo nawenzake ni hasara kwa taifa.Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.
Sasa unajua kwa nini kumekuwa na ongezeko? Ni jitihada za Magufuli kuziongezea uwezo bandari ya Tanga, Dar na Mtwara. Tanga na Mtwara zilikufa. Dar ndugu zako walitaka kuiua kwa kuanzisha bagamoyo chini ya wachina.
Kazi kubwa kaifanya huyo unayemuita mgonjwa. Na we mwenyewe umeonyesha trend ya mizigo. Ndio maana nasema unajitia dole, unajinusa kisha unaziba pua mwenyewe.
Wana option ya Lobito Angola na Bandari za South Africa na Msumbiji.Hao wakongo waipanue Matadi port ili waache kutegemea bandari za nchi jirani. Siku tukikorofishana, tutazuia mizigo yao inayopitia bandari ya Dar.
Wewe Chawa shibe usiye na hoja naendelea kukupa dozi..Chawa njaa.
Hiyo Kazi nzito ndio ilikuwa hivi si ndio? Acheni ujinga nyie akili ndogo..Kuna kazi nzito alikuwa akiifanya JPM hatukumuelewa kipindi kile. Anapokuja huyu rais na kufanya kikao cha kujadili biashara na TZ ndio tunaanza kumuelewa kwa kina.
Kama huna Takwimu usi make argument na mimi utaumbuka mimi sio muimba pambio kama nyie wajinga..Majitu design kama huyo nawenzake ni hasara kwa taifa.
Jpm aliharibu hii nchi acha ubishi.Unajitia dole mwenyewe kisha unatia puani mwenyewe. Umetoa records ya namna mizigo ilivyokuwa inaongezeka kutoka 2017 mpaka 2021. Ukitoa 2020 ambapo nchi nyingi zilikuwa kwenye caranteen.
Sasa unajua kwa nini kumekuwa na ongezeko? Ni jitihada za Magufuli kuziongezea uwezo bandari ya Tanga, Dar na Mtwara. Tanga na Mtwara zilikufa. Dar ndugu zako walitaka kuiua kwa kuanzisha bagamoyo chini ya wachina.
Kazi kubwa kaifanya huyo unayemuita mgonjwa. Na we mwenyewe umeonyesha trend ya mizigo. Ndio maana nasema unajitia dole, unajinusa kisha unaziba pua mwenyewe.
ππππ Bahati nzuri Takwimu zipo na nawapa ila wanajifanya hawaoni ππ..Jpm aliharibu hii nchi acha ubishi.