Rais hapaswi kufanya kazi za kawaida za Rais akiwa nje ya nchi

Rais hapaswi kufanya kazi za kawaida za Rais akiwa nje ya nchi

Ukikuta kikundi Cha watu 10 waulize ,Tania nchi Ni nini?
Hutapatata jibu wengi watakuwa wanafikili labda Serikali imewaletea mbegu mpya za korosho, Tumbaku ,Alizeti,pamba au Aina mpya ya bodaboda au bajaji.

Sisi tupambane na vyumba vya madalasa,vyoo umeme na maji,Tania nchi haituhusu zaidi ya Nchi zenye viwanda.

Sawa mkuu. Naheshimu maoni yako.

Heights and levels.
 
Kama uteuzi huo umeanza tarehe 29 Oktoba 2021 na Rais Samia ameondoka nchini kwenda Scotland tarehe 30 Oktoba 2021 na kuwasili tarehe 31 Oktoba 2021, kwa akili za kawaida Rais Samia alifanya uteuzi huo akiwa wapi mkuu?
Usihoji sana akili zetu, maana zingine kama mahindi ya popcorn kwenye moto.
 
Kama uteuzi huo umeanza tarehe 29 Oktoba 2021 na Rais Samia ameondoka nchini kwenda Scotland tarehe 30 Oktoba 2021 na kuwasili tarehe 31 Oktoba 2021, kwa akili za kawaida Rais Samia alifanya uteuzi huo akiwa wapi mkuu?

Mkuu, press release ya uteuzi inaonesha Rais amefanya huo uteuzi akiwa Glasgow, Scotland. Huu ni mkoa mpya wa Tanzania labda?

Uteuzi anaofanya Rais unaweza kuwa na immediate effect (unaanza mara moja), retroactive effect (unaanza tarehe ya nyuma) au prospective effect (unaanza tarehe ya baadaye). Kama leo (November 2) Rais anakuteua kuwa msaidizi wake na uteuzi huo unaanza November 5 haina maana kwamba the President traveled into the future to appoint you. Uamuzi huo ameufanya leo!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Umesema mambo yafuatayo:-

1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.

2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.

Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?

Kikatiba, anakuwa ceremonial. Kazi zote za kila siku za Rais wa JMT wakati huo zinafanywa na Kaimu Rais!
 
Wewe mataga leo hii ndio umejua kuichambua katiba ya nchi?
 
Aliteua mkurugenzi wa TANESCO akiwa New York tena ile siku alikua anahutubia New York.

Chifu Hayaga hapa Tanzania tumepigwa.

Haya mambo ya mabadiliko ya nchi awaachie mabeberu, hiyo sio tatizo kwetu kabisa

Ama ndio condoo anawapeleka kondoo wenzake kunyonyesha, bendera fuata upepo na sisi tuonekane tumo.
 
Mkuu, press release ya uteuzi inaonesha Rais amefanya huo uteuzi akiwa Glasgow, Scotland. Huu ni mkoa mpya wa Tanzania labda?

Uteuzi anaofanya Rais unaweza kuwa na immediate effect (unaanza mara moja), retroactive effect (unaanza tarehe ya nyuma) au prospective effect (unaanza tarehe ya baadaye). Kama leo (November 2) Rais anakuteua kuwa msaidizi wake na uteuzi huo unaanza November 5 haina maana kwamba the President traveled into the future to appoint you. Uamuzi huo ameufanya leo!
Una shida ya uelewa wa kutojua kutofautisha baina ya uteuzi na tarehe ya kutangazwa uteuzi.
 
Kuna mahala nilisoma article ya jamaa anaitwa Joseph Magata akisema Rais Samia hakuhitaji kiapo cha urais.

Kwa maana take Philip Mpango sasa hivi anafanya kazi zote za urais na hajaapa kiapo cha urais.

Mamaka hiyo ilitoka kwenye RAIA MWEMA


Umesema mambo yafuatayo:-

1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.

2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.

Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
 
Una shida ya uelewa wa kutojua kutofautisha baina ya uteuzi na tarehe ya kutangazwa uteuzi.

Wewe ndiyo una shida!

Kila executive action inatambulishwa na vitu viwili vikubwa: Time and place. Ndiyo maana press releases zote huonesha hivi vitu viwili.
 
Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.

Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.

Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.

Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
Aiseeeee !!! bila shaka uteuzi uliofanyika ni batili
 
Kuna makala moja ilitembea sana mitandaoni mwezi Julai mwaka juu ichambua mambo haya.

Makala yenyewe hii hapa



Kkkk
anda
Na hapo ndio umemaliza kujadiliana na "uliyemtuhumu kuwa na uelewa mdogo" ?

Yaani hivyohivyo tu basi ?

Mmmh....
Haya boss, uwe na wakati mwema.
Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.

Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.

Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.

Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
 
Umesema mambo yafuatayo:-

1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.

2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.

Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
Unajichanganya au hauupendi ukweli.Kukasimisha.Unaipenda keki uendelee kuiangalia huku unataka kuila?
 
Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.

Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.

Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.

Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
Kulingana na katiba uko right kabisa; rais akiwa nje anakuwa anafanya mambo ya nje tu, yale ya ndani yanafanywa na Makamu wa rais. Wakati wa Nyerere, kifungu hicho cha katiba kilitumiwa na Jumbe kuwaweka watu kizuizini akitumia power za urais wakati Nyerere akiwa nje ya nchi.

Tanzania ya siku hizi ni kanyaga twende tu, katiba na sheria ni kitu kimoja, na powers ppamoja na ulaji ni kitu kingine.
 
Umesema mambo yafuatayo:-

1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.

2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.

Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
😍
 
Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.

Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.

Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.

Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
Lakini hiyo kwa Afrika haiwezekani
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi ni tatizo la wote, ni suala mtambuka. Ni changamoto isiyozingatia mipaka mkuu.

Tena athari zake ni kubwa zaidi kwa sisi tusiojiweza kuliko wale wenzetu.
Sio tatizo kabisa kama una pesa na nguvu duniani. Mkataba unaowekewa mkazo ni ule wa France sijui wa 2005, ule wa KYOTO wa 2001 ulikwamia wapi?
 
Umesema mambo yafuatayo:-

1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.

2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.

Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
Maana yako umejipotosha, Makamu wa Rais kufanya majukumu ya Rais hakuna maana ameshakuwa Rais, kuwa Rais ni mpaka aapishwe ili kukamata nafasi hiyo.

Kwasasa Tanzania ina Rais mmoja tu, SSH wether awe nje ya nchi au ndani, tofauti ndogo ni pale akiwa nje from 24hrs haruhusiwi kisheria kutimiza majukumu yake kama Rais japo hili halimuondolei sifa ya kuwa Rais kisheria.
 
Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.

Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.

Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.

Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
Soma vizuri Katiba. Kaimu Rais (au Kaimu yeyote yule) hawezi KUTENDA kitu kipya, hawezi kuteua hawezi kufukuza. Labda hiyo katiba mpya yenu iseme hivyo, Rais Tundu Lissu akiwa Belgium Kaimu Rais wake Peter Msifwa amteue Professor Assad awe Mkurugenz i wa NDC?
 
Back
Top Bottom