Na hapo ndio umemaliza kujadiliana na "uliyemtuhumu kuwa na uelewa mdogo" ?Uelewa wako ni mdogo..
nakusihi kuwa ni vema kukaa kimya kama hauna cha ku-comment
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Ukikuta kikundi Cha watu 10 waulize ,Tania nchi Ni nini?
Hutapatata jibu wengi watakuwa wanafikili labda Serikali imewaletea mbegu mpya za korosho, Tumbaku ,Alizeti,pamba au Aina mpya ya bodaboda au bajaji.
Sisi tupambane na vyumba vya madalasa,vyoo umeme na maji,Tania nchi haituhusu zaidi ya Nchi zenye viwanda.
Usihoji sana akili zetu, maana zingine kama mahindi ya popcorn kwenye moto.Kama uteuzi huo umeanza tarehe 29 Oktoba 2021 na Rais Samia ameondoka nchini kwenda Scotland tarehe 30 Oktoba 2021 na kuwasili tarehe 31 Oktoba 2021, kwa akili za kawaida Rais Samia alifanya uteuzi huo akiwa wapi mkuu?
Kama uteuzi huo umeanza tarehe 29 Oktoba 2021 na Rais Samia ameondoka nchini kwenda Scotland tarehe 30 Oktoba 2021 na kuwasili tarehe 31 Oktoba 2021, kwa akili za kawaida Rais Samia alifanya uteuzi huo akiwa wapi mkuu?
Umesema mambo yafuatayo:-
1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.
2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.
Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
Una shida ya uelewa wa kutojua kutofautisha baina ya uteuzi na tarehe ya kutangazwa uteuzi.Mkuu, press release ya uteuzi inaonesha Rais amefanya huo uteuzi akiwa Glasgow, Scotland. Huu ni mkoa mpya wa Tanzania labda?
Uteuzi anaofanya Rais unaweza kuwa na immediate effect (unaanza mara moja), retroactive effect (unaanza tarehe ya nyuma) au prospective effect (unaanza tarehe ya baadaye). Kama leo (November 2) Rais anakuteua kuwa msaidizi wake na uteuzi huo unaanza November 5 haina maana kwamba the President traveled into the future to appoint you. Uamuzi huo ameufanya leo!
Umesema mambo yafuatayo:-
1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.
2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.
Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
Una shida ya uelewa wa kutojua kutofautisha baina ya uteuzi na tarehe ya kutangazwa uteuzi.
Aiseeeee !!! bila shaka uteuzi uliofanyika ni batiliNimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.
Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.
Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
anda
Na hapo ndio umemaliza kujadiliana na "uliyemtuhumu kuwa na uelewa mdogo" ?
Yaani hivyohivyo tu basi ?
Mmmh....
Haya boss, uwe na wakati mwema.
Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.
Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.
Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
Unajichanganya au hauupendi ukweli.Kukasimisha.Unaipenda keki uendelee kuiangalia huku unataka kuila?Umesema mambo yafuatayo:-
1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.
2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.
Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
Kulingana na katiba uko right kabisa; rais akiwa nje anakuwa anafanya mambo ya nje tu, yale ya ndani yanafanywa na Makamu wa rais. Wakati wa Nyerere, kifungu hicho cha katiba kilitumiwa na Jumbe kuwaweka watu kizuizini akitumia power za urais wakati Nyerere akiwa nje ya nchi.Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.
Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.
Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
😍Umesema mambo yafuatayo:-
1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.
2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.
Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
Lakini hiyo kwa Afrika haiwezekaniNimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.
Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.
Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.
Sio tatizo kabisa kama una pesa na nguvu duniani. Mkataba unaowekewa mkazo ni ule wa France sijui wa 2005, ule wa KYOTO wa 2001 ulikwamia wapi?Mabadiliko ya tabia ya nchi ni tatizo la wote, ni suala mtambuka. Ni changamoto isiyozingatia mipaka mkuu.
Tena athari zake ni kubwa zaidi kwa sisi tusiojiweza kuliko wale wenzetu.
Maana yako umejipotosha, Makamu wa Rais kufanya majukumu ya Rais hakuna maana ameshakuwa Rais, kuwa Rais ni mpaka aapishwe ili kukamata nafasi hiyo.Umesema mambo yafuatayo:-
1. Taifa haliwezi kuwa na maRais wawili kwa wakati mmoja.
2. Majukumu "yote" ya Urais yatafanywa na Makamu wa Rais endapo Rais atakua nje ya nchi kwa zaidi ya saa 24.
Kwa maelezo yako hayo hapo juu, maana yake kwa sasa Rais wa Tanzania ni Dr. Mpango (maana Mh. Samia hayupo nchini kwa zaidi ya saa 24).
Je, Mh. Samia yuko kule kama nani ? Jibu lako likiwa yupo kule kama Rais wa Tanzania, swali linalofuata ni je, kwa sasa Tanzania ina maRais wawili ?
Soma vizuri Katiba. Kaimu Rais (au Kaimu yeyote yule) hawezi KUTENDA kitu kipya, hawezi kuteua hawezi kufukuza. Labda hiyo katiba mpya yenu iseme hivyo, Rais Tundu Lissu akiwa Belgium Kaimu Rais wake Peter Msifwa amteue Professor Assad awe Mkurugenz i wa NDC?Nimeona Chifu Hangaya (akiwa Glasgow, Scotland) amefanya uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NDC. Huu ni ukiukaji wa Katiba yetu.
Kwa mujibu wa Ibara ya 47(1)(c) ya Katiba yetu, Makamu wa Rais atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Na kwa mujibu wa Ibara ya 37(6)(b) ya Katiba hiyo hiyo, ili Rais ahesabike kuwa yuko nje ya nchi, lazima awe nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne.
Ingawa Ofisi ya Rais wa JMT yaweza kuwa mahali popote ndani ya mipaka ya JMT, katu haiwezi kuwa mahali popote tu duniani, kama Chifu Hangaya anavyotaka kuifanya. Ni lazima iwe ndani ya mipaka ya nchi yetu.
Vilevile, nchi haiwezi kuwa na Rais zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja. Rais awapo nje ya nchi kwa muda unaozidi saa ishirini na nne, Makamu wa Rais (au Waziri Mkuu, endapo Makamu wa Rais naye hayupo) ndiye Rais wa nchi kwa kipindi hicho (Kaimu Rais)! Period.