ndg ! Htr ukame Kenya na hata sisi mabadiliko ni makubwaUkikuta kikundi Cha watu 10 waulize ,Tania nchi Ni nini?
Hutapatata jibu wengi watakuwa wanafikili labda Serikali imewaletea mbegu mpya za korosho, Tumbaku ,Alizeti,pamba au Aina mpya ya bodaboda au bajaji.
Sisi tupambane na vyumba vya madalasa,vyoo umeme na maji,Tania nchi haituhusu zaidi ya Nchi zenye viwanda.
Kwa bahati mbaya siijui hiyo! Walitawala wakati nikiwa naishi nje ya nchi.Ya Dr Omary Juma na Mkapa unaikumbuka?
Kwa bahati mbaya siijui hiyo! Walitawala wakati nikiwa naishi nje ya nchi.
Waziri mkuu hawezi kukaimu urais. Mlolongo ni rais, makamu wa rais, spika na jaji mkuu.
Somo marekebisho ya 2005.Waziri mkuu hawezi kukaimu urais. Mlolongo ni rais, makamu wa rais, spika na jaji mkuu.
Haya, huu ni uwanja wa wanasheria....... wakali wa kemia, fizikia na bailojia kaeni pembeni.Waziri mkuu hawezi kukaimu urais. Mlolongo ni rais, makamu wa rais, spika na jaji mkuu.
Kaka,
Hili jambo ni zito tunahitaji msaada wa wazo la kila mtu. Hukusoma hoja ya mleta mada.
Mleta mada kajikita kwenye ibara ya 47 (1)(c) inayosema Rais akiwa hayupo ofsini Makamu anafsnya KAZI ZOTE ZA URAIS.
Wewe hujikiti na ibara hiyo unaleta masuaka ya barua ya kukaimisha ambayo huna uhakika kama kweli imeandika.
Hata ingeandikwa bado barua ya kukaimisha haizidi ibara hii ya 47 (1)(c) inayompa Philip Mpango urais wote yakishazidi masaa 24 Rais akiwa nje ya nchi.
Jikite kwenye ibara hii 47 (1)(c) aliyoiibua mtoa mada.
Kama sikosei Rais Nelson Mandela akiwa ziarani India aliwahi kufanya kosa la kumfuta uwaziri Winnie Mandela.
Ikaja kuonekana alifanya makosa aktungea amri ya kumfuta. Alivyorudi toka ziarani sasa akamfuta uwaziri hivyo Winnie Mandela akaacha kuwa waziri.
Labda tukuwekee hiyo ibara ya 47 (1)(c) uone inavyosema, inasema hivi,
"Kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atakuwandiye Msaidizi Mkuu wa Rais kuhusu mambo yote ya Jamhuri ya Muungano kwa jumla, na hususan-
atafanya KAZI ZOTE za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi."
TutazoeaTunaambiwa hii ni awamu bora kuliko zote haijawahi tokea.
Katiba haivunjwi na wala hakuna ufisadi kabisa.
Ufisadi upo awamu ya tano tu.