kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Amezaliwa ndani ya muungano, ameishi Zanzibar na Bara, alikuwa mbunge Bara na Zanzibar, na amekuwa Waziri wa Wizara ya Muungano. Ni mtu sahihi sana kuinganisha vema Unguja na Pemba kisha Zanzibar na Bara.
Ni kijana mwenye weledi, utu na muono wa mbali sana.
Kama atashindwa yeye kuwaunganisha wazanzibar na kuiunganisha Zanzibar na Bara, basi muungano utakuwa na safari ndefu sana kutengemaa.
Ni kijana mwenye weledi, utu na muono wa mbali sana.
Kama atashindwa yeye kuwaunganisha wazanzibar na kuiunganisha Zanzibar na Bara, basi muungano utakuwa na safari ndefu sana kutengemaa.