Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Huyo Mwinyi ni kabaraka wa Magufuli!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unakwepa hoja makusudi .Kwahiyo mafisadi wote, wakwepa kodi na majangili wa meno ya tembo nchini ni wale ambao hawakwenda JKT?
Amezaliwa ndani ya muungano, ameishi Zanzibar na Bara, alikuwa mbunge Bara na Zanzibar, na amekuwa Waziri wa Wizara ya Muungano. Ni mtu sahihi sana kuinganisha vema Unguja na Pemba kisha Zanzibar na Bara.
Ni kijana mwenye weledi, utu na muono wa mbali sana.
Kama atashindwa yeye kuwaunganisha wazanzibar na kuiunganisha Zanzibar na Bara, basi muungano utakuwa na safari ndefu sana kutengemaa.
laa anamainisha Zanzibar sasa ifanywe vilaya ya pwaniKwa hiyo saaizi Zanzibar na bara zimeachanishwa?
Nani kaziachanisha?
Thank you. Tutaokoa gharama kubwa sana piaTiba ya kudumu ya muungano ni serikali moja, na sii hizi 2 ama 3 za Warioba
Ila Hussein Mwinyi ni hatua kubwa ya kulinda muungano wetu, kuiunganisha na kuibadilisha Zanzibar
Mtaendelea kuota ZANZIBAR hamtoipata kamwee machogooTiba ya kudumu ya muungano ni serikali moja, na sii hizi 2 ama 3 za Warioba
Ila Hussein Mwinyi ni hatua kubwa ya kulinda muungano wetu, kuiunganisha na kuibadilisha Zanzibar
Mbona mnagwaya Muuungano wa kisiasa Afrika ya Mashariki kwa kuwaogopa wakenya Maji na mchanga haviwez changanyika ni swali la muda tuuSawa, lakini Maalim Seif pia angeturudisha nyuma sana kama angefanywa ashinde. Dunia yote ya wakubwa inaungana sembuse sisi.
Wazanzibar pamoja na uvivu wao wakifika pale nyinyi machogo hamkufika wivu choyo husda na roho mbaya zenu ndio vilivyotufanya wazanzibar kuwa hivi tulivyoKwanza apambane na yakhe culture, umwinyi, ukwepaji kodi na uvivu wa wazanzibar
Hivyo Muungano unadumishwa kwa kumwagwa damu za wazanzibar mbwe wewe???Hata ulaya na marekani walikufa wengi sana hadi kufika pale zilipo Leo. Wanaendelea kufa wengi sana ili kuzibakiza hivi zilivyo Leo.
Hewaa, na hiyo ndio sababu kuu ya kufutwa kwa serikali ya Tanganyika. Iliyokuwa inafuatia kufutwa ni serikali ya Zanzibar ili ibaki Tanzania. Wako watu (maaluni) ambao wanauchelewesha mpango huu.Tiba ya kudumu ya muungano ni serikali moja, na sii hizi 2 ama 3 za Warioba
Ila Hussein Mwinyi ni hatua kubwa ya kulinda muungano wetu, kuiunganisha na kuibadilisha Zanzibar
Hebu tukumbushe vifo vya akina Lumumba, Samora, Ngwabi, Saadam, Gadaffi, Nkrumah, Rabin, wapalestina.Marekani kuna uchaguzi na matokeo hayajatangazwa ya mshindi hebu tueleze umesikia kwamba kumetokea mauaji,kutekwa,kupigwa, kuuliwa na police kutumia nguvu kwa wananchi na watu kupokonywa fomu kama hapo penu,
Ikiwa huko yalifanyika na nyinyi mnafanya?
View attachment 1621228
Miungano yote duniani ina misukosuko mingi sana hasa kama ukitaka kujitoa kwenye muungano huo. Uingereza inapata tabu kujitoa EU, Ireland inapata taabu sana kijitoa Uingereza, Katalunha (Barcelona) inapata taabu sana kujitoa Hispania na hata jimbo la marekani likitangaza kujitenga litapata taabu sana.Hivyo Muungano unadumishwa kwa kumwagwa damu za wazanzibar mbwe wewe???
Nyinyi mna vichekesho vya peke yenu wadanganyikaMiungano yote duniani ina misukosuko mingi sana hasa kama ukitaka kujitoa kwenye muungano huo. Uingereza inapata tabu kujitoa EU, Ireland inapata taabu sana kijitoa Uingereza, Katalunha (Barcelona) inapata taabu sana kujitoa Hispania na hata jimbo la marekani likitangaza kujitenga litapata taabu sana.
Kwanini unaona ni rahisi tuu kwa Zanzibar kujitenga kutoka tanzania? Huu ni ujinga kufikiria hivyo. Wanzanzibar ni wanufaika wakubwa wa muungano huu pengine kuliko hata watanganyika
Zanzibar mumeshaivunja sasa mnataka iunganishwe ili iweje wakat hayo mmeyafanya wemyewe kuwa hivyo ilivyo sasa.Amezaliwa ndani ya muungano, ameishi Zanzibar na Bara, alikuwa mbunge Bara na Zanzibar, na amekuwa Waziri wa Wizara ya Muungano. Ni mtu sahihi sana kuinganisha vema Unguja na Pemba kisha Zanzibar na Bara.
Ni kijana mwenye weledi, utu na muono wa mbali sana.
Kama atashindwa yeye kuwaunganisha wazanzibar na kuiunganisha Zanzibar na Bara, basi muungano utakuwa na safari ndefu sana kutengemaa.
Wacha kukariri ZUMBUKUKU mumwage damu za wazanzibar ili iwe kafara ya UKOLONI wenu?? Utautaje Mungano wakat hakuna sehemu wazanzibar walikubali kubwa ooooo nyinyi ndio mnanufaiks ni hivi BORA WAZANZIBAR WALE MCHANGA LKN WAWE HURU KULIKO KULA KEKI KTK UTIMWA WENUMiungano yote duniani ina misukosuko mingi sana hasa kama ukitaka kujitoa kwenye muungano huo. Uingereza inapata tabu kujitoa EU, Ireland inapata taabu sana kijitoa Uingereza, Katalunha (Barcelona) inapata taabu sana kujitoa Hispania na hata jimbo la marekani likitangaza kujitenga litapata taabu sana.
Kwanini unaona ni rahisi tuu kwa Zanzibar kujitenga kutoka tanzania? Huu ni ujinga kufikiria hivyo. Wanzanzibar ni wanufaika wakubwa wa muungano huu pengine kuliko hata watanganyika
Amezaliwa ndani ya muungano, ameishi Zanzibar na Bara, alikuwa mbunge Bara na Zanzibar, na amekuwa Waziri wa Wizara ya Muungano. Ni mtu sahihi sana kuinganisha vema Unguja na Pemba kisha Zanzibar na Bara.
Ni kijana mwenye weledi, utu na muono wa mbali sana.
Kama atashindwa yeye kuwaunganisha wazanzibar na kuiunganisha Zanzibar na Bara, basi muungano utakuwa na safari ndefu sana kutengemaa.
Ukisema hivyo unakosea. Kwenye kampeni za Hussein kulikuwa na watu wanaohudhuria waliovaa kijani, siku anaapisha ni kijani tupu ilivaliwa. Je, hawa walikuwa akina nani kama halikuwa chaguo lao?Mleta mada bado sijakuelewa kabisa.
Tumekuwa na muungano wa Tanganyika na Zanzibar tangu 1964, sasa Hussein Mwinyi anakuja kuunganisha nini?
Mahusiano ya kijamii na kitamaduni kati ya Zanzibar na Tanganyika yamekuwepo karne nyingi kabla ya uhuru na hata kabla ya ukoloni, hivyo sio mtu mwenye uwezo wa kuwaunganisha au kuwagawanya wazanzibar na watanganyika.
Yote kwa yote, Hussein Mwinyi sio chaguo la wazanzibar (CCM Zanzibar ilimkataa, wazanzibar wengine hatukumtaka), amewekwa pale kinguvu kwa maslahi ya watanganyika.
Na siku akijaribu tu kuhoji maslahi ya wazanzibar ndani ya muungano huenda ndio utakuwa mwisho wa urais wake, alifanya hivyo Rais Jumbe, kilichompata kilikuwa ni kupoteza urais wake na kuwekwa 'kizuizini' kule Kigamboni kwa zaidi ya miaka 20, na mauti yakamfikia huko huko Tanganyika.
Tanganyika inaifanya Zanzibar ni koloni lake chini ya mwamvuli wa muungano, lakini ipo siku ukoloni huo utafikia kikomo.
Najuwa kuwa lawama zenu hamzipeleki kwa Mzee Karume aliyekubali aina hii ya muungano bali kwa Hussein Mwinyi anaeyalinda na kuyaenzi mawazo ya muasisi wenu. Kama mzazi wako alikosea kuchagua mchumba (mama au baba yako) mwenye pumu kwa hiyo amekosea kwa niaba yako, huwezi kuzikataa pumu kama zikikupata . Hussein analinda fikra za mwasisi wenu, kwisha.Wacha kukariri ZUMBUKUKU mumwage damu za wazanzibar ili iwe kafara ya UKOLONI wenu?? Utautaje Mungano wakat hakuna sehemu wazanzibar walikubali kubwa ooooo nyinyi ndio mnanufaiks ni hivi BORA WAZANZIBAR WALE MCHANGA LKN WAWE HURU KULIKO KULA KEKI KTK UTIMWA WENU