Kwahiyo mafisadi wote, wakwepa kodi na majangili wa meno ya tembo nchini ni wale ambao hawakwenda JKT?Unaposema muono wa mbali unamaanisha nini ? huyu uko uzi humu unaeleza kwamba aligoma kujiunga JKT kwa mujibu wa sheria , hivyo hana uzalendo , lakini pia kwenye udaktari wake yasemekana hakuwahi kufanya mafunzo kwa vitendo kutokana na jeuri ya madaraka ya baba , lakini alikuja kujipa leseni alipoteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Afya , hili nalo unalionaje ?
Kwanza apambane na yakhe culture, umwinyi, ukwepaji kodi na uvivu wa wazanzibarTiba ya kudumu ya muungano ni serikali moja, na sii hizi 2 ama 3 za Warioba
Ila Hussein Mwinyi ni hatua kubwa ya kulinda muungano wetu, kuiunganisha na kuibadilisha Zanzibar
Kuunganisha kwa kuuwa watu wacheni ujinga naakaunganushe bara huko ndiko alikopitishwa kujafanya mauwaji ili ashinde.Amezaliwa ndani ya muungano, ameishi Zanzibar na Bara, alikuwa mbunge Bara na Zanzibar, na amekuwa Waziri wa Wizara ya Muungano. Ni mtu sahihi sana kuinganisha vema Unguja na Pemba kisha Zanzibar na Bara.
Ni kijana mwenye weledi, utu na muono wa mbali sana.
Kama atashindwa yeye kuwaunganisha wazanzibar na kuiunganisha Zanzibar na Bara, basi muungano utakuwa na safari ndefu sana kutengemaa.
Hata ulaya na marekani walikufa wengi sana hadi kufika pale zilipo Leo. Wanaendelea kufa wengi sana ili kuzibakiza hivi zilivyo Leo.Kuunganisha kwa kuuwa watu wacheni ujinga naakaunganushe bara huko ndiko alikopitishwa kujafanya mauwaji ili ashinde.
Marekani kuna uchaguzi na matokeo hayajatangazwa ya mshindi hebu tueleze umesikia kwamba kumetokea mauaji,kutekwa,kupigwa, kuuliwa na police kutumia nguvu kwa wananchi na watu kupokonywa fomu kama hapo penu,Hata ulaya na marekani walikufa wengi sana hadi kufika pale zilipo Leo. Wanaendelea kufa wengi sana ili kuzibakiza hivi zilivyo Leo.
Wapinzani ni wachumia tumbo tu, opportunists tu, kama wangeshinda wangeshangaa sana maana walijuwa kuwa kuwa kwa tume ya aina ile hawawezi kushinda lakini wakashiriki uchaguzi. Walitegemea nini nani mjinga awatangaze wameshinda. Hata wangekuwa wao wangefanya hivyohivyo tu. Waangalie walikojikwaa sio walikoangukiadodo liliokotwa chini ya mpera !
Sio kwa rafu zile