Rais Hussein Mwinyi: Chanjo ya korona ipo pale pale, kama mtu hataki kuchanjwa hiyo ni juu yake

Rais Hussein Mwinyi: Chanjo ya korona ipo pale pale, kama mtu hataki kuchanjwa hiyo ni juu yake

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Rais wa Zanzibar mh Hussein Mwinyi amesema kuwa chanjo kwa Zanzibar ipo pale pale na kuongeza kuwa kama kina mtu hataki kupewa hiyo chanjo ni juu yake.

Na akasema kuwa isitokee watu wakaanza kuvumisha urongo kuwa hiyo chanjo imesababisha watu waliochanjwa kupoteza maisha.

Kama wazungu wananchanjwa inakuwaje sisi tuiogope kuchanjwa?

Hii hapa clip yake akiunguruma

 
hujaa aliyepitwa na wakati tayari kasahauika.

Wewe MATAGA unayeng'angania mambo ya kipuuzi. Jiulize unafaidi nini?? Hussein Mwinyi aliyepewa urais kwa jasho na damu amemgeuka mwendazake Jiwe, wewe mwenzangu kajamba nani jipime una akili kweli?
 
Shujaa aliyepitwa na wakati tayari kasahauika.

Wewe MATAGA unayeng'angania mambo ya kipuuzi. Jiulize unafaidi nini?? Hussein Mwinyi aliyepewa urais kwa jasho na damu amemgeuka mwendazake Jiwe, wewe mwenzangu kajamba nani jipime una akili kweli?
Huyo Rais wa Zanzibar ambaye hadi sasa anaamini Zanzibar hakuna corona ndio unasema kamgeuka Jiwe? mbali na hiyo chanjo ni kipi chengine anafanya katika kuzuia maambukizi ya corona hapo Zanzibar? Akitumwa nje ya nchi anavaa barakoa akirudi Bongo anavua.

Sasa mtu kama huyo ndio unasema anapingana na Jiwe? hata huyo Jiwe angekuwepo angekuwa anawacheka vituko wanavyofanya.
 
Huyo Rais wa Zanzibar ambaye hadi sasa anaamini Zanzibar hakuna corona ndio unasema kamgeuka Jiwe? mbali na hiyo chanjo ni kipi chengine anafanya katika kuzuia maambukizi ya corona hapo Zanzibar? Akitumwa nje ya nchi anavaa barakoa akirudi Bongo anavua.

Sasa mtu kama huyo ndio unasema anapingana na Jiwe? hata huyo Jiwe angekuwepo angekuwa anawacheka vituko wanavyofanya.
Ndiyo maana hayupo
 
Hata hivyo mi naangalia matokeo mtaani kwangu na ndugu zangu. Kwa upande wangu corona naikutaga jf tu nikitoka hapa huwa siioni tena na kuna wenzangu wasio na smartphone wao walishasahau kama kuna kitu kinaitwa corona hapa duniani

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hata jiwe alikuwa na mawazo kama yako
 
Shujaa aliyepitwa na wakati tayari kasahauika.

Wewe MATAGA unayeng'angania mambo ya kipuuzi. Jiulize unafaidi nini?? Hussein Mwinyi aliyepewa urais kwa jasho na damu amemgeuka mwendazake Jiwe, wewe mwenzangu kajamba nani jipime una akili kweli?
Hawezi kuwa na akili
 
Sukuma gang hawataki kabisa maana mfadhili wao aliwaaminisha kuwa siyo salama
Aliaminisha vingi na bado vinaishi, alipinga barakoa na unaona huyo Mwinyi anavaa barakoa akienda nje ya nchi tu na huyo Samia utafikiri yeye ndio mwenye corona maana anapokuwepo yeye ndio watu huvaa barakoa ila asipokuwepo watu hawana time na barakoa.
 
Hata hivyo mi naangalia matokeo mtaani kwangu na ndugu zangu. Kwa upande wangu corona naikutaga jf tu nikitoka hapa huwa siioni tena na kuna wenzangu wasio na smartphone wao walishasahau kama kuna kitu kinaitwa corona hapa duniani

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Corona ya nchi hii huwa ipo na watu wanakufa sana huko jf,tweeter na insta ila mtaani huwa ipo kawaida tu,na vifo vimewah kutokea iĺa sio kama huku jf wanakosema watu wananguka kama kuku wa kideli.

Tokea corona ianze ,nmewah kusikia vifo viwili tu
 
Back
Top Bottom