Rais Hussein Mwinyi: Chanjo ya korona ipo pale pale, kama mtu hataki kuchanjwa hiyo ni juu yake

Rais Hussein Mwinyi: Chanjo ya korona ipo pale pale, kama mtu hataki kuchanjwa hiyo ni juu yake

Aliaminisha vingi na bado vinaishi, alipinga barakoa na unaona huyo Mwinyi anavaa barakoa akienda nje ya nchi tu na huyo Samia utafikiri yeye ndio mwenye corona maana anapokuwepo yeye ndio watu huvaa barakoa ila asipokuwepo watu hawana time na barakoa.
mwenzako kapewa urais na anapinga we kajamba nani povu la nini?
 
Huyo Rais wa Zanzibar ambaye hadi sasa anaamini Zanzibar hakuna corona ndio unasema kamgeuka Jiwe? mbali na hiyo chanjo ni kipi chengine anafanya katika kuzuia maambukizi ya corona hapo Zanzibar? Akitumwa nje ya nchi anavaa barakoa akirudi Bongo anavua.

Sasa mtu kama huyo ndio unasema anapingana na Jiwe? hata huyo Jiwe angekuwepo angekuwa anawacheka vituko wanavyofanya.
Mjibu Mwinyi. sio mimi aiaee
 
Huwezi kwenda Hija Saudi Arabia bila chanjo,Hija ni moja katika nguzo za uislamu,chanjo ni lazima hakuna njia nyingine.
Mimi nafikiri wangeweka kwamba hauwezi kuingia msikitini bila chanjo hapo ndio wangepata wengi ila hili la Hijja ni kwa wenye uwezo na kuna watu japo uwezo wanao ila hawana mawazo ya kwenda hijja.
 
Aliaminisha vingi na bado vinaishi, alipinga barakoa na unaona huyo Mwinyi anavaa barakoa akienda nje ya nchi tu na huyo Samia utafikiri yeye ndio mwenye corona maana anapokuwepo yeye ndio watu huvaa barakoa ila asipokuwepo watu hawana time na barakoa.
Hutaki hama nchi urudi kwenu Rwanda
 
Mimi nafikiri wangeweka kwamba hauwezi kuingia msikitini bila chanjo hapo ndio wangepata wengi ila hili la Hijja ni kwa wenye uwezo na kuna watu japo uwezo wanao ila hawana mawazo ya kwenda hijja.
Wewe nani?
Ndiyo ishaamuliwa hivyo funga midomo yako hiyo
 
Mwinyi kaact mapema ili wale wanaoplan kwenda kuhiji Marca wasijelaumu.

Again, chanjo ile ni hiari na watu hawatodungwa kwa nguvu japo huko tuendako huenda ikawa mandatory kwa wasafiri nje ya Nchi kama ilivyo chanjo ya Yellow Fever
 
Rais wa Zanzibar mh Hussein Mwinyi amesema kuwa chanjo kwa Zanzibar ipo pale pale na kuongeza kuwa kama kina mtu hataki kupewa hiyo chanjo ni juu yake.

Na akasema kuwa isitokee watu wakaanza kuvumisha urongo kuwa hiyo chanjo imesababisha watu waliochanjwa kupoteza maisha.

Kama wazungu wananchanjwa inakuwaje sisi tuiogope kuchanjwa?

Hii hapa clip yake akiunguruma
View attachment 1801761
Halafu wazungu vijana wanastruggle sana kuipata hii chanjo,, kwani bado inatolewa kwa upendeleo wa umri na wenye complications.
Mi nipo hapa ulaya nimefight kuipata lakini matumaini ni zero. Nilitaka nichanje kabla sijarudi Tz mwezi wa 8.
Sina uhakika home chanjo zitatolewaje.
 
Back
Top Bottom