Rais Hussein Mwinyi: Chanjo ya korona ipo pale pale, kama mtu hataki kuchanjwa hiyo ni juu yake

Rais Hussein Mwinyi: Chanjo ya korona ipo pale pale, kama mtu hataki kuchanjwa hiyo ni juu yake

Safii maana Utalii Zanzibar utakuwa juu
Huku bara tutegemee Maumivu tunajivuta vuta sana....
 
Hata hivyo mi naangalia matokeo mtaani kwangu na ndugu zangu. Kwa upande wangu corona naikutaga jf tu nikitoka hapa huwa siioni tena na kuna wenzangu wasio na smartphone wao walishasahau kama kuna kitu kinaitwa corona hapa duniani

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Hata Mbuni naye akificha kichwa chake kichakani akaacha mwili nje naye anajisikia hivyo hivyo.
 
Hamzungumzii Maalim Seif, anamzungumzia yule ‘shujaa’ mwingine!
Kwani huyo Shujaa mwengine nae kapitia na corona kama ilivyompitia Maalim seif? Maana Maali seif haina utata ni corona.
 
Kachanjwa kisiri siri ila wewe umejua!!

🤣🤣🤣🤣
Nimejulia humu humu JF, hawa waliyojua kuwa kifo chake ni corona na si kama tulivyotangaziwa ndio hawa hawa walisema Magufuli amechanja chanjo ya corona kisirisiri.
 
Waache walete hayo machanjo yatakaa mpaka muda wa kutumika uishe halafu wakachome moto hii kwa mtanzania ni ngumu sana mtu huumwi uende ukachanjwe kwa mtanzania mpaka asikie maumivu ndo aende hospitali
 
Kama wazungu wanachanjwa,ss ni nani?😆😆😆hovyo Sana
 
Wewe una uhakika gani kwamba sitamaliza miaka kumi?
Au wewe unaona chanjo ndiyo tiket ya kuishi mda mrefu?
Kufa tu maana huna faida kwa taifa
 
Kwani huyo Shujaa mwengine nae kapitia na corona kama ilivyompitia Maalim seif? Maana Maali seif haina utata ni corona.
Mimi nimekujibu tu kwamba si Maalimu! Kama shujaa wenu hajafa na corona ni sawa tu, lakini kikubwa yeye na Maalimu hatunao tena!
 
Watu kama hao saadam Hussein alikuwa anawapiga sumu tu
Umeonekana ulikuwa umepotea vipi mshahara umepata wa ulinzi hapo Ufipa?? Nasikia mna miezi sita hampati mshahara makamanda na Faru John amesema mjitolee pia mtume michango yenu kwa Faru John.
 
Na akasema kuwa isitokee watu wakaanza kuvumisha urongo kuwa hiyo chanjo imesababisha watu waliochanjwa kupoteza maisha.
Ila wale wa kufa kwa maralia ama pumu kutangazwa wamekufa kwa corona, ni rukhusa! ( Nawaza kwa herufi kubwa)
 
Hata jiwe alikuwa na mawazo kama yako
Kila mtu wacha 'acheze mechi zake'....mwenye kuamini mtazamo wa 'mtemi Kinjeketile' sawa tu .......narudia tena ni vema kila mtu apambane na maisha yake. Kazi iendelee.
 
Rais wa Zanzibar mh Hussein Mwinyi amesema kuwa chanjo kwa Zanzibar ipo pale pale na kuongeza kuwa kama kina mtu hataki kupewa hiyo chanjo ni juu yake.

Na akasema kuwa isitokee watu wakaanza kuvumisha urongo kuwa hiyo chanjo imesababisha watu waliochanjwa kupoteza maisha.

Kama wazungu wananchanjwa inakuwaje sisi tuiogope kuchanjwa?

Hii hapa clip yake akiunguruma
View attachment 1801761
Kama Tanganyika watachelewa kuingiza chanjo binafsi nitaenda Zanzibar kudungwa
 
Kila mtu wacha 'acheze mechi zake'....mwenye kuamini mtazamo wa 'mtemi Kinjeketile' sawa tu .......narudia tena ni vema kila mtu apambane na maisha yake. Kazi iendelee.
Ndiyo maana rais Mwinyi Kati A hiyo option
 
Back
Top Bottom