The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Una uhakika gani kua baada ya miaka 10 utakua bado upo hai? Binadamu hajui siku yake ni lini.Waanze kuwachanja viongozi wote Mimi nitachanja baada ya miaka 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika gani kua baada ya miaka 10 utakua bado upo hai? Binadamu hajui siku yake ni lini.Waanze kuwachanja viongozi wote Mimi nitachanja baada ya miaka 10
Kiongozi pambana uipate hata mimi nimefanikiwa kuipata nikiwa hapa NairobiHalafu wazungu vijana wanastruggle sana kuipata hii chanjo,, kwani bado inatolewa kwa upendeleo wa umri na wenye complications.
Mi nipo hapa ulaya nimefight kuipata lakini matumaini ni zero. Nilitaka nichanje kabla sijarudi Tz mwezi wa 8.
Sina uhakika home chanjo zitatolewaje.
wanahenyeshwa na wale wale waliokuwa wakiwaimbia vigelgeleNinajisikia raha sana kwa MATAGA mnavyo henyeshwa
wafuasi wa kibwetele hawa walitaka kujiongezea muda wa kutawala iwe mileleUna uhakika gani kua baada ya miaka 10 utakua bado upo hai? Binadamu hajui siku yake ni lini.
Sitaki nini? hao wazungu huko ndio sasa kidogo wanaacha kuvaa barakoa na kurudi kama zamani kidogo kidogo kwa sababu ya hizo chanjo, ila huku Tz toka mwaka jana hakuna barakoa wala social distance hadi sasa hivi sasa ndio ujiulize hizo chanjo hawa viongozi wanazitaka ili kunusuru maisha ya wananchi wao au kuwafurahisha mabeberu?Hutaki hama nchi urudi kwenu Rwanda
Naendelea kupambanaKiongozi pambana uipate hata mimi nimefanikiwa kuipata nikiwa hapa Nairobi
Hamna mambo tena nyinyi sukuma gangSitaki nini? hao wazungu huko ndio sasa kidogo wanaacha kuvaa barakoa na kurudi kama zamani kidogo kidogo kwa sababu ya hizo chanjo, ila huku Tz toka mwaka jana hakuna barakoa wala social distance hadi sasa hivi sasa ndio ujiulize hizo chanjo hawa viongozi wanazitaka ili kunusuru maisha ya wananchi wao au kuwafurahisha mabeberu?
Kama hadi sasa huyo Mwinyi havai hata barakoa ile kinafki tu kama Samia, ila ajabu et anasisitiza chanjo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasikia inazuia kifo unakuwa Immortal?Kiongozi pambana uipate hata mimi nimefanikiwa kuipata nikiwa hapa Nairobi
Wewe una uhakika gani kwamba sitamaliza miaka kumi?Una uhakika gani kua baada ya miaka 10 utakua bado upo hai? Binadamu hajui siku yake ni lini.
Nani sasa maana Maalim hakuchanjwa kafa na Magufuli alichanjwa kisirisiri ila kafa,sasa nimulize nani?Kawaulize jamaa zako waliokufa
"Kama mtu hataki... hiyo ni juu yake"
Kuna sehemu yeyote nimekwambia kua sina uhakika wa wewe kumaliza miaka 10?Wewe una uhakika gani kwamba sitamaliza miaka kumi?
Au wewe unaona chanjo ndiyo tiket ya kuishi mda mrefu?
Mimi ntakuwa karibu kuwashika matkle bavicha ili chanjo iingie vizuri
Kachanjwa kisiri siri ila wewe umejua!!Nani sasa maana Maalim hakuchanjwa kafa na Magufuli alichanjwa kisirisiri ila kafa,sasa nimulize nani?
Hamzungumzii Maalim Seif, anamzungumzia yule ‘shujaa’ mwingine!Nani Maalim seif aliyekufa na corona au unamzungumzia nani?