Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaa! Sikutegemea ukate pumzi mapema ya ujengaji hoja......yenu .....
Hizi chanjo watoto wanazochanjwa nchini kwann wanachanjwa na hakuna hayo magonjwa nchini?Sitaki nini? hao wazungu huko ndio sasa kidogo wanaacha kuvaa barakoa na kurudi kama zamani kidogo kidogo kwa sababu ya hizo chanjo, ila huku Tz toka mwaka jana hakuna barakoa wala social distance hadi sasa hivi sasa ndio ujiulize hizo chanjo hawa viongozi wanazitaka ili kunusuru maisha ya wananchi wao au kuwafurahisha mabeberu?
Kama hadi sasa huyo Mwinyi havai hata barakoa ile kinafki tu kama Samia, ila ajabu et anasisitiza chanjo.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naam, at the end ndio itakuwa hivi, husafiri kama huna chanjo ya covid. Jana nilikuwa nazungumza na jamaa yangu yupo Dubai, wao tayari mtoto harudi shule kama wazazi hawana chanjo. Utamsomesha mwenye kwako.Again, chanjo ile ni hiari na watu hawatodungwa kwa nguvu japo huko tuendako huenda ikawa mandatory kwa wasafiri nje ya Nchi kama ilivyo chanjo ya Yellow Fever
Utata ulikuwepo na ndio maana kuna watu wakachukua mchanga wa kaburi lake na kwenda kusomea kuwa kama amekufa kwa ahadi sawa ila kama kuna mkono wa mtu basinae aende tu. Mara paap baadhi wakaanza kupukutika.Kwani huyo Shujaa mwengine nae kapitia na corona kama ilivyompitia Maalim seif? Maana Maali seif haina utata ni corona.
Hayo ya imani za kishirikina mimi nayaacha kama yalivyo ila nachojua mwenyewe alijitangaza kuwa ana corona na hakupona kafa.Utata ulikuwepo na ndio maana kuna watu wakachukua mchanga wa kaburi lake na kwenda kusomea kuwa kama amekufa kwa ahadi sawa ila kama kuna mkono wa mtu basinae aende tu. Mara paap baadhi wakaanza kupukutika.
Hiyo sasa ni lazima kuchanjwa na si hiari.Naam, at the end ndio itakuwa hivi, husafiri kama huna chanjo ya covid. Jana nilikuwa nazungumza na jamaa yangu yupo Dubai, wao tayari mtoto harudi shule kama wazazi hawana chanjo. Utamsomesha mwenye kwako.
Magonjwa gani hakuna?Hizi chanjo watoto wanazochanjwa nchini kwann wanachanjwa na hakuna hayo magonjwa nchini?
Mtu anakwambia unaweza kuishi kwake na kuoga ni hiari ila ukiamia kutokuoga basi usilale ndani wala kula.Safi sana kama ni hiari ya mtu...
Mungu ni mkubwa sana aisee kayasikia maombi ya waja wakeUtata ulikuwepo na ndio maana kuna watu wakachukua mchanga wa kaburi lake na kwenda kusomea kuwa kama amekufa kwa ahadi sawa ila kama kuna mkono wa mtu basinae aende tu. Mara paap baadhi wakaanza kupukutika.
Hawa viongozi wetu wanafiki sanaHuyo Rais wa Zanzibar ambaye hadi sasa anaamini Zanzibar hakuna corona ndio unasema kamgeuka Jiwe? mbali na hiyo chanjo ni kipi chengine anafanya katika kuzuia maambukizi ya corona hapo Zanzibar? Akitumwa nje ya nchi anavaa barakoa akirudi Bongo anavua.
Sasa mtu kama huyo ndio unasema anapingana na Jiwe? hata huyo Jiwe angekuwepo angekuwa anawacheka vituko wanavyofanya.
Hilo nalo nenoHata hivyo mi naangalia matokeo mtaani kwangu na ndugu zangu. Kwa upande wangu corona naikutaga jf tu nikitoka hapa huwa siioni tena na kuna wenzangu wasio na smartphone wao walishasahau kama kuna kitu kinaitwa corona hapa duniani
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
ew akili hunaHata ukifa hakuna hasara
Ukiwa na faida kwa taifa unakufa, ukiwa huna faida vilevile unakufa,Kufa tu maana huna faida kwa taifa
Achana na maswaliMagonjwa gani hakuna?