Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.

Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
 
Awaache BAKWATA ZANZIBAR WAWEKE, YEYE AENDESHE SERIKALI, AJIBU HOJA ZA KUUZA VISIWA, UJENZI WA MASOKO, BARABARA....tenda kutolewa kindugu pamoja na majengo ya stone town kuuzwa.

Tunamkumbusha tu, hata wakristo huwa wanaenda kuhiji Israeli, na wao awaundie mfuko.

Nadhani anatafuta political scandal kama Ile ya IOC ya Dk Salmin Amour
 
Ni memsikia rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali serikali ya muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waisilam wanapoenda hija. Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kunitaka serikali ya muungano igharamie ibada ya dini moja?
Weka hiyo hotuba ili tujiridhishe.

Kwani hili linahitaji ruhusa ya serikali ya muungano? Mbona dogo sana hili.
JokaKuu Kiranga Pascal Mayalla Kalamu Nguruvi3
 
Weka hiyo hotuba ili tujiridhishe.

Kwani hili linahitaji ruhusa ya serikali ya muungano? Mbona dogo sana hili.
JokaKuu Kiranga Pascal Mayalla Kalamu Nguruvi3
EeeenHeeee,

Mijadala ya namna hii ni ya kichokonozi tu. Mwishowe patakuwepo na michango ya kumhonga 'mungu' ili hawa viongozi awapokee peponi.

Hizi siasa za kidini ni matatizo tupu, na hazina mwisho wake. Hata tukitoa michango ya kumhonga 'mungu', bado kutakuwa na mahitaji mengine ya kidini yatakayohitaji tuchangie.

Maadam Mungu katuweka hapa Tanzania, ni bora akili yetu tuielekeze kwenye kuifanikisha hii hii Tanzania, na kwa kufanya hivyo, 'automatically' tutakuwa tumemhonga Mungu hongo ya kutupeleka huko peponi.

Weka dini mbali na siasa.
 
Back
Top Bottom