Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

Na mimi namuomba Mama anisaidie nauli nikamuone mke wa Yesu kule Israel,maana ni miaka mingi imepita sijaenda.

Mimi Tanzania sihami Ila wanangu ruksa wakitaka kuhama nchi.

Unahamaje, kwenye stress free country ya Tanzania?
 
Mambo mawili yamenishtusha la kwanza ni Kwa nini serikali ianze kutoa hela kufadhili ibada?
La pili ni Kwa nini suala la kuanzisha mfuko wa kunufaisha ibada ya waisilamu Zanzibar uombewe kibali kwenye serikali ya muungano?
Elewa kuwa Zanzibar ni nchi ya kiislamu

Pili, Zanzibar kama nchi inadai fedha nyingi JMT ikiwa ni malimbikizo ya mgao wake wa mapato ya Muungano
 
Ni rahisi kwa Rais Mwinyi kupata pesa za kulipia hijja kama akipewa ruhusa kutoka serikali ya Muungano. Mwinyi akiita mabalozi wa nchi za Arabuni hasa Oman na Qatar watampa pesa hizo maana wanaipenda sana Zanzibar.

Binafsi huwa sielewi hukm ya huu utaratibu wa waislamu kulipiwa na matajiri kwenda hijja maana dini inasema "hijja ifanywe na muislam mwenye uwezo" Allahu Aaalam.
 
Ni memsikia rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali serikali ya muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waisilam wanapoenda hija.

Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kunitaka serikali ya muungano igharamie ibada ya dini moja?
Kwani serikali inapowaomba wananchi wake waliombee taifa kuna tabu gani ikiwa watagharamia maombi hayo?
 
Kwani wao kwa mapato ya serikali yao wameshindwaje ?

ni kwamba kodi zetu wakristo zianze kuchangia waislam kwenda hija ilhali wao huwa wanabomoa makanisa Zazibar
Sadakta,Zanzibar inahitaji mamlaka kamili,ijiamulie mambo yake,..

Zanzibar haihitaji kitumia kodi za Wakristo kwa kuwapeleka Waislamu wa Zanzibar Makka..

Hija za Waislamu wa Zanzibar ni batil kwani Allah hawezi kuzikubali kama Waisam wa Zanzibar wanakwenda Makka kwa kutumia kodi za Wakristo..

Zanzibar inahitaji mamlaka kamili ili kuepukana na haya mazonge..
 
Ni rahisi kwa Rais Mwinyi kupata pesa za kulipia hijja kama akipewa ruhusa kutoka serikali ya Muungano. Mwinyi akiita mabalozi wa nchi za Arabuni hasa Oman na Qatar watampa pesa hizo maana wanaipenda sana Zanzibar.

Binafsi huwa sielewi hukm ya huu utaratibu wa waislamu kulipiwa na matajiri kwenda hijja maana dini inasema "hijja ifanywe na muislam mwenye uwezo" Allahu Aaalam.
inaitwa Sadakatil jaria,katika dini ya Kiislamu kuna sadaka za aina nyingi..

Kumpeleka mtu Makka ni moja katika hizo sadaka..

Dangote anawapeleka zaidi ya wailamu 50 kwenda Makka kuhiji kila mwaka..
 
Awaache BAKWATA ZANZIBAR WAWEKE, YEYE AENDESHE SERIKALI, AJIBU HOJA ZA KUUZA VISIWA, UJENZI WA MASOKO, BARABARA....tenda kutolewa kindugu pamoja na majengo ya stone town kuuzwa.
Tinamkumbusha tu, hata wakristo huwa wanaenda kuhiji Israeli, na wao awaundie mfuko.

Nadhani anatafuta political scandal kama Ile ya IOC ya Dk Salmin Amour
Serikali ya Mwinyi sio ya mwanzo kukodisha visiwa,serikali zilizopita zilifanya pia,tafauti ya serikali ya Mwinyi ni kuwa yeye kaweka bayana..

Hao Wakristo wanaokwenda Israel kuhiji ni Wakristo fake,ni Watu wanaotafuta sababu za kwenda Israel kutembea..

Hamna hata andiko moja katika agano jipya au la kale linalosema kuwa wale wanaoamini dini iliyotangazwa na kuhubiriwa na Yesu aka Jesus,aka Yasu,aka Christ kuwa waende Israel kuhiji..uzushi mtupu
 
Ni memsikia rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali serikali ya muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waisilam wanapoenda hija.

Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kunitaka serikali ya muungano igharamie ibada ya dini moja?
VIPI NA WAKRISTO NA WAPAGANI?
 
Elewa kuwa Zanzibar ni nchi ya kiislamu

Pili, Zanzibar kama nchi inadai fedha nyingi JMT ikiwa ni malimbikizo ya mgao wake wa mapato ya Muungano
Hayo malikimbizo Yana tokana na Nini mbona Kuna tetetesi kwamba wanapata 4% mapato kutoka kwenye gesi na mafuta kutoka Tanganyika ilihali gesi na mafuta sio suala la muungano?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Awaache BAKWATA ZANZIBAR WAWEKE, YEYE AENDESHE SERIKALI, AJIBU HOJA ZA KUUZA VISIWA, UJENZI WA MASOKO, BARABARA....tenda kutolewa kindugu pamoja na majengo ya stone town kuuzwa.
Tinamkumbusha tu, hata wakristo huwa wanaenda kuhiji Israeli, na wao awaundie mfuko.

Nadhani anatafuta political scandal kama Ile ya IOC ya Dk Salmin Amour
Hakuna BAKWATA Zanzibar
 
Ni rahisi kwa Rais Mwinyi kupata pesa za kulipia hijja kama akipewa ruhusa kutoka serikali ya Muungano. Mwinyi akiita mabalozi wa nchi za Arabuni hasa Oman na Qatar watampa pesa hizo maana wanaipenda sana Zanzibar.

Binafsi huwa sielewi hukm ya huu utaratibu wa waislamu kulipiwa na matajiri kwenda hijja maana dini inasema "hijja ifanywe na muislam mwenye uwezo" Allahu Aaalam.
Hata ndoa hufanywa na mwenye uwezo.
 
Back
Top Bottom