The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
- #61
Ilitangazwa lini kuwa Islamic state na ikiwa ni hivyo si wajianzishie tu huo mfuko why kuiomba serikali ya muungano?Elewa kuwa Zanzibar ni nchi ya kiislamu
Pili, Zanzibar kama nchi inadai fedha nyingi JMT ikiwa ni malimbikizo ya mgao wake wa mapato ya Muungano