Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kupitia kitabu gani wakristo wameagizwa kwenda Yerusalem kuuona ukuta??Waanzishe na mfuko wa kwenda Yerusalem kwa wakristu kuuona ukuta
Hivi kumbe ilikuwa ya salmin? Siku zote nikijua ilikuwa ya babakeAwaache BAKWATA ZANZIBAR WAWEKE, YEYE AENDESHE SERIKALI, AJIBU HOJA ZA KUUZA VISIWA, UJENZI WA MASOKO, BARABARA....tenda kutolewa kindugu pamoja na majengo ya stone town kuuzwa.
Tinamkumbusha tu, hata wakristo huwa wanaenda kuhiji Israeli, na wao awaundie mfuko.
Nadhani anatafuta political scandal kama Ile ya IOC ya Dk Salmin Amour
Kuke Zanzibar hakuna shule bali kuna skuli. Wazanzibari hawana shule hadi kichwani mwao.[emoji2357] Wanaomba hela kwa mambo yasiyo ya Muungano sijui shule tunaenda kufanya nini
Wakriso sio mfuko tu munao mpaka ubalozi wa vatikan munao hapaAwaache BAKWATA ZANZIBAR WAWEKE, YEYE AENDESHE SERIKALI, AJIBU HOJA ZA KUUZA VISIWA, UJENZI WA MASOKO, BARABARA....tenda kutolewa kindugu pamoja na majengo ya stone town kuuzwa.
Tunamkumbusha tu, hata wakristo huwa wanaenda kuhiji Israeli, na wao awaundie mfuko.
Nadhani anatafuta political scandal kama Ile ya IOC ya Dk Salmin Amour
Wakriso sio mfuko tu munao mpaka ubalozi wa vatikan munao hapaAwaache BAKWATA ZANZIBAR WAWEKE, YEYE AENDESHE SERIKALI, AJIBU HOJA ZA KUUZA VISIWA, UJENZI WA MASOKO, BARABARA....tenda kutolewa kindugu pamoja na majengo ya stone town kuuzwa.
Tunamkumbusha tu, hata wakristo huwa wanaenda kuhiji Israeli, na wao awaundie mfuko.
Nadhani anatafuta political scandal kama Ile ya IOC ya Dk Salmin Amour
Hiyo pesa ya mfuko wanataka iwe suala la Muungano ili Hazina / Bank Kuu watoe pesaNi memsikia rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali serikali ya muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waisilam wanapoenda hija.
Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kunitaka serikali ya muungano igharamie ibada ya dini moja?
Sadakta,Zanzibar inahitaji mamlaka kamili,ijiamulie mambo yake,..
Zanzibar haihitaji kitumia kodi za Wakristo kwa kuwapeleka Waislamu wa Zanzibar Makka..
Hija za Waislamu wa Zanzibar batil ni ,Allah haewezi kuzikubali kama wanakwenda Makka kwa kutumia kodi za Wakristo..
Zanzibar inahitaji mamlaka kamili ili kuepukana na haya mazonge
Zanzibar wakristo hawalipi Kodi?
Kuna ubaya gani,Mambo mawili yamenishtusha la kwanza ni Kwa nini serikali ianze kutoa hela kufadhili ibada?
La pili ni Kwa nini suala la kuanzisha mfuko wa kunufaisha ibada ya waislamu Zanzibar uombewe kibali kwenye serikali ya muungano?
Hujaelewa, hapa hatuongelei madeni, hapa tunaongelea mfuko wa kusaidia waislam wa zanzibar kwenda hija!Elewa kuwa Zanzibar ni nchi ya kiislamu
Pili, Zanzibar kama nchi inadai fedha nyingi JMT ikiwa ni malimbikizo ya mgao wake wa mapato ya Muungano
Kuwa na ubalozi wa Vatican hapa na serikali kuanzisha mfuko wa hija kwa waisilam vina uhusiano gani?Wakriso sio mfuko tu munao mpaka ubalozi wa vatikan munao hapa
Kuna ubaya kwa sababu serikali haipaswi kujiingiza kugharamia ibada za watu kwa sababu tuna imani na dini nyingi sana itatuchanganya kama taifaKuna ubaya gani,
Zanzibar ni nchi ya kiislamu kabla hats ya MuunganoHujaelewa, hapa hatuongelei madeni, hapa tunaongelea mfuko wa kusaidia waislam wa zanzibar kwenda hija!
Wakati anakodisha visiwa hakusema ataenda kuongea na serikali ya JMT, kwanini kuanzisha mfuko wa waislam wa zanzibar kwenda hijja anataka kuongea na serikali ya JMT?Serikali ya Mwinyi sio ya mwanzo kukodisha visiwa,serikali zilizopita zilifanya pia,tafauti ya serikali ya Mwinyi ni kuwa yeye kaweka bayana..
Hao Wakristo wanaokwenda Israel kuhiji ni Wakristo fake,ni Watu wanaotafuta sababu za kwenda Israel kutembea..
Hamna hata andiko moja katika agano jipya au la kale linalosema kuwa wale wanaoamini dini iliyotangazwa na kuhubiriwa na Yesu aka Jesus,aka Yesu kuwa waende Israel kuhiji..
Suala la imani ni namna mtu anavyoamini maana kwa jinsi ilivyo hata waisilam hawalazimishwi kwenda huko isipokuwa wenye uwezo wanahimizwa kwenda.Ni kupitia kitabu gani wakristo wameagizwa kwenda Yerusalem kuuona ukuta??