TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Anaefata ni mgalatia
Ova
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu mvikumbuke, zamani ilisemwa ni wa kule majini na baadaye bara kupokezana, kwakua kulikuwa na wasio wavumilivu wakaSuala la Udini au ukabila sio msingi wa Uongozi wa Taifa hili. Wadini na Wakabila ndio pekee watag'ang'ana na utamaduni huo usio na tija kwa Taifa na kwakweli ni wachache mno, maoni na mtazamo wao naamini utaheshimiwa sana but hautazingatiwa sana, I know wapo wagalatia shupavu ukimuondoa Dr. Isdory Mpango but Mwigulu Nchemba, Emanuel Nchimbi, Anton Mtaka, Makongoro Nyerere, Tulia Ackson, Angelina Mabula, Angela Kairuki and many others can make a very good vice president and later on a very good President. Historia ya Baba,ataishi Mwana
Mwee membe tena?Rais wa Tanzania anachaguliwa na Mungu
Kama huamini muulize Lowasa au ukifika aliko Membe muulize
Duh 🙄Rais wa Tanazania anachaguliwa na CCM toka lini Mungu akasimama na majizi ya kura ?
Wakae kwa kutuliaWanajisahulisha na kutaka kuleta janja janja kama ya kipindi cha Ali Hassani Mwinyi
Kipindi cha Mwinyi walikuwa wanasuka mpango wa mwislamu mwingine afuate
Atoke Mwinyi aingie Kikwete 'Muslim to Muslim'....hadi John Malecela alitaka kubadili dini
Leo hii eti atoke Samia aingie Hussein Mwinyi ama January Makamba...Big No
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Rais wa Tanazania anachaguliwa na CCM toka lini Mungu akasimama na majizi ya kura ?
Na wakiamuwa kufanya hivyo ww utachukua hatua gani kuwa zuia?Wanajisahulisha na kutaka kuleta janja janja kama ya kipindi cha Ali Hassani Mwinyi
Kipindi cha Mwinyi walikuwa wanasuka mpango wa mwislamu mwingine afuate
Atoke Mwinyi aingie Kikwete 'Muslim to Muslim'....hadi John Malecela alitaka kubadili dini
Leo hii eti atoke Samia aingie Hussein Mwinyi ama January Makamba...Big No
Tutamjuaje huyo mtu ??! Maana binadamu huwa wanabadilika hasa akishapata !!Huu utaratibu ufeWagalatia always wamekuwa Wakatoliki. Nani alisema wakatoliki huwakilisha wagalatia wote???!!!
Jambo la muhimu apatikane Kiongozi kwanza.
Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu
Mwenye kutenda haki na kuwa na utashi wa kujua thamani ya utu.
Asiye mwizi na fisadi wala haana tamaa ya kujilimbikizia mali kwa njia za kilaghai na dhuluma.
Anaye jua fika,maisha haya ya duniani hii ni ya kitambo kidogo tu na niya kuipata.
Avae viatu vya watu wenye hali ya chini kimaisha na atoe kipaumbele kuwatumikia na kuona wanapata fursa za kujikwamua kutoka hali zao.
Awe Nzalendo aliyekunywa maji ya Bendera kwa maana hiyo.
Tutazidisha threads nyingi. 😅😅😅 za kupinga ! Ndio kitu tunaweza waTZ 😅😅Na wakiamuwa kufanya hivyo ww utachukua hatua gani kuwa zuia?
Wakibadili mtawafanya nini ?? Maana hiyo ni taratibu tu walizojiwekea CCM wala haimo kwenye katiba ya Ccm wala kwenye Katiba ya Nchi !!Anaefata ni mgalatia
Ova
Washindweeeeeeee na tuwe machoWanajisahulisha na kutaka kuleta janja janja kama ya kipindi cha Ali Hassani Mwinyi
Kipindi cha Mwinyi walikuwa wanasuka mpango wa mwislamu mwingine afuate
Atoke Mwinyi aingie Kikwete 'Muslim to Muslim'....hadi John Malecela alitaka kubadili dini
Leo hii eti atoke Samia aingie Hussein Mwinyi ama January Makamba...Big No
Rais wa Tanazania anachaguliwa na CCM toka lini Mungu akasimama na majizi ya kura ?
Ni utaratibu unaoheshimika ndani ya chama watake wasitake na ndio mana ni Katoliki Vs muslim imeisha hiyoWakibadili mtawafanya nini ?? Maana hiyo ni taratibu tu walizojiwekea CCM wala haimo kwenye katiba ya Ccm wala kwenye Katiba ya Nchi !!
Labda huyo awe FAM!Hussein Mwinyi amalize awamu zake za Zanzibar atulie
Baada ya Samia inafuata zamu ya Mkristo
Ova
mungu yupi?Rais wa Tanzania anachaguliwa na Mungu
Kama huamini muulize Lowasa au ukifika aliko Membe muulize
mungu yupi?