Rais Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Tanzania hapo mbeleni

Rais Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Tanzania hapo mbeleni

Suala la Udini au ukabila sio msingi wa Uongozi wa Taifa hili. Wadini na Wakabila ndio pekee watag'ang'ana na utamaduni huo usio na tija kwa Taifa na kwakweli ni wachache mno, maoni na mtazamo wao naamini utaheshimiwa sana but hautazingatiwa sana, I know wapo wagalatia shupavu ukimuondoa Dr. Isdory Mpango but Mwigulu Nchemba, Emanuel Nchimbi, Anton Mtaka, Makongoro Nyerere, Tulia Ackson, Angelina Mabula, Angela Kairuki and many others can make a very good vice president and later on a very good President. Historia ya Baba,ataishi Mwana
Na makongoro mkuu!?
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

Kwa kuwa Tanzania imekosa watu au?
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

Rais baada ya Samia atakuwa Zitto.
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.

Yaani kama ningekuwa ktk ngazi za maamuzi ya juu CDM, ningeshawishi sana tumwandae vzr Mbowe kuingia Ikulu.
Moja ya sifa ninayomuona nayo Mbowe ni kutokuwa na kundi la kibaguzi hasa ktk dini.
Japo ni Mkristo lkn amejichanganya vzr sana na waislam.
 
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.

Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.

Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.


100%, naunga mkono
 
Back
Top Bottom