inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Na makongoro mkuu!?Suala la Udini au ukabila sio msingi wa Uongozi wa Taifa hili. Wadini na Wakabila ndio pekee watag'ang'ana na utamaduni huo usio na tija kwa Taifa na kwakweli ni wachache mno, maoni na mtazamo wao naamini utaheshimiwa sana but hautazingatiwa sana, I know wapo wagalatia shupavu ukimuondoa Dr. Isdory Mpango but Mwigulu Nchemba, Emanuel Nchimbi, Anton Mtaka, Makongoro Nyerere, Tulia Ackson, Angelina Mabula, Angela Kairuki and many others can make a very good vice president and later on a very good President. Historia ya Baba,ataishi Mwana
Kwa kuwa Tanzania imekosa watu au?Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.
Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.
Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.
Kweli kanaonekana kama udiniKanapenda sana dini,katalazimisha wote tuwe wa swalaa swalaaaa
Labda yule ambaye haruhusu watu kuibiana ibiana !mungu yupi?
Tutamjuaje huyo mtu ??! Maana binadamu huwa wanabadilika hasa akishapata !!
Rais baada ya Samia atakuwa Zitto.Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.
Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.
Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.
Katiba mpya ni muhimu !!Mfumo ukiwa na utashi atapatikana, na huu huu mfumo uwekewe mazingira ya kumuweka na kumtoa akibadilika.
Yaani kama ningekuwa ktk ngazi za maamuzi ya juu CDM, ningeshawishi sana tumwandae vzr Mbowe kuingia Ikulu.Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.
Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.
Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.
Na Mkristo safi hapa ni Mbowe tuHussein Mwinyi amalize awamu zake za Zanzibar atulie
Baada ya Samia inafuata zamu ya Mkristo
Ova
Ni kweli baada ya samia anatikiwa kuja kafiri mwenye roho mbaya.Hussein Mwinyi amalize awamu zake za Zanzibar atulie
Baada ya Samia inafuata zamu ya Mkristo
Ova
Ndugu wapendwa JF wasalam. Hodi Jukwaani.
Darubini yangu imeona dalili na Ishara ziko wazi kwamba huyu mjamaa anaandaliwa na kwakweli he has all possible qualifications for the post. Just check, uadilifu, uaminifu katika utendaji na utekelezaji mipango SUK, bidii na uchapakazi, hana makundi ndani ya chama chake. Kwa uchache nimekwama kumfananisha na yeyote bara au visiwani kwa nafasi ya Rais wa JMT baada ya Mama Samia kukamilisha ngwe yake ya pili.
Aidha kwingineko Freeman Aikael Mbowe is now Presidential material, he can be branded and his party members should assemble behind him. Jamaa ni Mustahimilivu mno and he has something to offer to this country, hana misimamo isiyo na tija na wala haringi wala kujivunga. He can also make a very strong opposition leader than before and than anyone in his party.