HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
www.bbc.com
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzanian aid worth $470m over Zanzibar vote - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.