Seif alimsaliti Aboud Jumbe 1984 kwa kusaliti uwepo wa serikali 3 wakati Jumbe alikuwa tayari kaweka rehani Urais wake liwalo na liwe lazima wapate Serikal wakati wengine hujifanya kukumbuka Serikal 3 wakiwa nje ya mfumo, Seif mwenyewe 2010~2015 alipokuwa Makamu wa Kwanza Znz ulimsikia akiongelea Serikal 3
Wa Znz itawachukua atleast robo karne kupata Rais aliepo madarakani wa level ya Jumbe kuongelea na kupigania serikal 3 akiwa madarakan
Wa Znz itawachukua atleast robo karne kupata Rais aliepo madarakani wa level ya Jumbe kuongelea na kupigania serikal 3 akiwa madarakan
Kinach waharibia wazenji ni unafiki, kama sio unafiki basi leo wangekua na nchi yao.