Vile vile asisahau kuwatafutia haki zao UAMSHO waliowekwa rumande kwa muda wa miaka saba bila ya kufikishwa Mahakamani na kuhukumiwa Kwa kisingizio cha ushahidi haujakamilika...Bottom line:
1. Uchaguzi urudiwe.
2. Fidia kwa wahanga.
3. Kuwajibishwa kwa perpetrators.
Bila hayo na kinuke tu!
Angalia mawazo ya huyu binadamu, hata nyani ana akili na kuna wakati anamuokoa swala asiuliwe na chui, huyu anafurahia mateso ya jirani yake kisa tofauti ya itikadi za vyama, sasa huyu si bora hata nyani ana faida??Hakuna cha uchunguzi wala nini
Nani aliwaambia waandamane na kufanya vurugu
Ebo!, uvunje sherie mwenyewe, janga likupate, halafu lawama ziwaendee wengine
Wangelitii sheria na mamlaka yasingeliwakuta ova.
Vile vile asisahau kuwatafutia haki zao UAMSHO waliowekwa rumande kwa muda wa miaka saba bila ya kufikishwa Mahakamani na kuhukumiwa Kwa kisingizio cha ushahidi haujakamilika...
Angalia mawazo ya huyu binadamu, hata nyani ana akili na kuna wakati anamuokoa swala asiuliwe na chui, huyu anafurahia mateso ya jirani yake kisa tofauti ya itikadi za vyama, sasa huyu si bora hata nyani ana faida??
Kwanza aanze kuwatoa akina Mazrui na wenzake, awafidie wale wote waliopoteza maisha yao wakati wa Uchaguzi.
Asisahau kiwafikisha Mahakamani wale wote waliotoa roho za Watu waliokuwa hawana hatia wakati wa Uchaguzi
Kama itawezekana uchaguzi urudiwe.
Free Mazrui and all Political prisoners
KumbeeeHABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzanian aid worth $470m over Zanzibar vote - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.www.bbc.com
Ushindi wake, tena ushindi wa halali kabisa..... sasa maridhiano ya kitu gani??Sasa mshindi wa kishindo maridhiano ya ninj
Huyu naye hajui hata anafanya nini?HABARI: Ninaheshimu maridhiano na matakwa ya Katiba ya kushirikiana na vyama vingine vya siasa katika kuendesha Serikali. Niko tayari kuyatekeleza maridhano kama Katiba ya Zanizbar inavyoeleza - Dk. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar #MwanaHALISIDigital.
=====================
KUMBUKUMBU.
Baada ya uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 kufutwa Marekani kupitia shirika lake la misaada la Millennium Challenge Corporation (MCC) ilizuia pesa za mradi wa kupeleka umeme Zanzibar kiasi cha $472m karibu Tshs. Trn. 1. nafikiri hili somo kaliona Rais Mwinyi ndio maana anataka maridhiano.
US pulls Tanzanian aid worth $470m over Zanzibar vote - BBC News
A US government aid agency pulls $472m (£331m) of funding for a Tanzanian electricity project after criticising elections in Zanzibar.www.bbc.com
Bonge la pointYaani ukae uongee na mwizi wako? Never, uchaguzi urudie full stop
Lazima kuwa na mikataba, MASHARTI na makubaliano ndio maridhiano yafanyikaHayo huwa ni matokeo ya kufanya maridhiano sio sharti la kufanya Maridhiano
Kweli kabisa Maalim Seif atakuwa mjinga kama atakubali Maridhiano bila ya kutoa MASHARTI magumu,ili haya mambo yasijirudie rudie..Hapa itategemeana na msimamo wa Maalim Seif ameamua! Huyu ndiye mwamuzi wa siasa za Zanzibar.
Lazima kuwa na mikataba, MASHARTI na makubaliano ndio maridhiano yafanyika
Hayo yanaitwa MASHARTI ya maridhiano sio MATOKEO ya Maridhiano.
Barakallah.wafiikum.allah.akupe.watoto.wema.nawawe.naelimu.naufamu.kamawew.inshallahHussein, Allah hawafanyi madhalimu kuwa ni wenye kufaulu
Mmeiba uchaguzi, Mmetesa watu, Mmeua watu, Unataka maridhiano gani zaidi ya Haki? .
Hussein, Allah yupo na anaona mliyoyafanya na mtalipwa kwa dhulma mliyotenda.
Wewe tawala tu lakini ufalme huwa una kikomo, ipo siku hautokikalia hicho kiti na utaulizwa kwa damu isiyo na hatia mliyomwaga huko Zanzibar!
HahaahhahahahaahaHii nchi bwana!
Unakatwa miguu halafu unaambiwa hebu tuone namna gani tunaweza kwenda kutembea pamoja.
HaahahahahhaahhaAridhiane na mama yake kwanza