#COVID19 Rais Hussein Mwinyi waombe radhi waliochanjwa Zanzibar, umewakosea sana

Una matatizo kwa sababu hutaki kuelewa!!! Umeambiwa Zanzibar walizindua chanjo ya Sinovac on July kabla Saudi Arabia hawajatoa muongozo! August ndipo Saudi Arabia walitoa muongozo, na chanjo ambazo zilitajwa kutambuliwa ni 3; yaani Pfizer, Astra, na J&J; na kwahiyo Sinovac haikuwapo wakati ZNZ walikuwa wameshaanza kuitumia!!

Baadae Saudi Arabia hao hao wakaongeza chanjo ya Moderna for young adults katika orodha ya approved vaccines.....
Saudi Food and Drug Authority (SFDA) approved today to inoculate 12-17 age group with Moderna COVID -19 Vaccine mRNA
Hapo juu ni nukuu kutoka the Saudi Press Agency (SPA)!

Na according to Arab News, lastTuesdy Saudi Arabia wametangaza kuitambua hiyo Sinovac imeidhinishwa-
Saudi Arabia on Tuesday approved two further COVID-19 vaccines, Sinovac and Sinopharm. There are currently four vaccines approved for use in the Kingdom: Oxford-AstraZeneca, Pfizer-BioNTech, Johnson & Johnson, and Moderna.
Na hata ukiingia kwenye website yao inayotumika ku-apply visa online, utakuta similar maelezo-
Guests who have completed two doses of the Sinopharm or Sinovac vaccines will be accepted if they have received an additional dose of one of the four vaccines approved in the Kingdom.

Na kwa suala la kuchanganya chanjo, moja ya taasisi ambazo zilifanya utafiti ni University of Oxford, ambao baada ya utafiti wao wakaeleza-
Oxford University wanataja sample waliyotumia-
The trial recruited 830 volunteers aged 50 and above from eight National Institute for Health Research (NIHR) supported sites in England to evaluate the four different combinations of prime and booster vaccination.
Na nilisema wazi kwamba I doubt ikiwa WHO wameidhinisha hilo suala, lakini kuna wakati walisema inapotokea mtu amechukua first shot ya Vaccines X, na baadae analazimika kuchukua second shot lakini vaccines X haipo, basi anaweza kuchukua vaccines Y as a second jab! Aidha nilisema pamoja na WHI kutoidhinisha bado kuna nchi kibao zinafanya mixing, na nchi ya karibu kabisa inayofikiria kuingia kwenye Mixing Club ni Japan-
Hiyo ni habari kutoka Japan Times

Na ukisoma habari hii kutoka Reuters, wameorodhesha nchi kadhaa zinazofikiria au tayari zipo kwenye Mixing Club!! Sasa hiyo confusion unayosema wewe ni ipi!!
 
Nilitamani ueleze consistently hivi, siyo kusema mtaalamu fulani kasema hivi...Kisha kama ni kuboresha chanjo kwa usalama kwanini mpaka Saudia watuambie na siyo wataalamu wetu? Do you get my point?

Ninarudia acheni professions zisimame kama profession na siasa kama siasa do not mix the two hasa when it come to life and death...Both wanasiasa na professionals wanazo domain zao zaku develop trust na reliability...

Hivi vitu vyote vipo katika process from development to appropriate approvals na hii ina maana changes might or might not occur kwa kila hatua ya validation na tuna bodies za kufanya hivyo kwetu nje ya politics na professions, watangaze wao na sababu za approval following guidelines zinazotambulika kitaifa na kimataifa......Kinachoshangaza ni hao professionals wanavyotaka ku validate vitu kabla ya muda wake na kuingiza raia kwenye sinto fahamu pasipo ulazima.

Kwani nani hajui kama hii ni emergency na tunatumia kila option for the good of our people? Kwani sisi ndiyo tufikie confirmatory test kabla hata ya hao watengenezaji wenyewe na institutions zao? Cant we use our legitimized institutions kutu guide systematically ku approve to that level required na kama hakuna confirmation mtu akaambiwa afanye kwa his or her own risks ili findings zikiendelea kuja different wawe wamejiandaa ki psychology na kukubali hatua zingine za ziada kuliko kila mara kubadili statements as if sisi hatuwezi kujisimamia kama nchi na sovereign tuliyonayo...

Lets watch out public presentation na engagements za either state persons na professionals; we should protect them as much as we could ili kulinda trust iliyowekwa juu yao for stability, peace and security...Mwenye masikio na asikie!
 
kimeumana umangani. Hizi dini asee!
 
Ni kweli kabisa
Na ndio maana hata serikali imejitoa endapo utapata madhara. Kama ni salama kwa nini tunasaini consent form?
Na wewe acha upambe, sikusema hicho...Tusisaidie kuleta public panic
 
Hivi haziwezi kukutana zikaanzisha jambo geni mwilini?
Ni hapo sasa kila aliyechanjwa atajiju, akigeuka kuwa kama ndondocha atajijua yeye na ndugu zake. Si kila anayechanjwa anasaini ule mkataba wa 'yakikutokea usituulize sisi'?
 
Nendeni mkapigwe jab nyingine mkuu...

Maana sasa hivi kuna hadi boosters, yaani una update chanjo ya awali kupambana na vinyemelezi vipya...
Kaspersky, NOD3, BitDefender, zitaje tu....yaaani kama tumegeuzwa computer operating system. Sioni tofauti ya Waiyaki ama Farad na window, android, obuntu, iOS, na nyinginezo!!!
 
Utàkatifu was Maka una uhusiano gani na Corona...ficha ujinga wako please!
 
Apana Raisi au Tanzania sio tatizo, Saudi imefanya hivyo kama kuikomoa UAE kwa sababu UAE wametumia sinopharm. Hata ulaya nao hawazitambui chanjo za China au urusi. Chanjo imekuwa biashara ya upinzani
 
Apana Raisi au Tanzania sio tatizo, Saudi imefanya hivyo kama kuikomoa UAE kwa sababu UAE wametumia sinopharm. Hata ulaya nao hawazitambui chanjo za China au urusi. Chanjo imekuwa biashara ya upinzani
Chanjo ni biashara ,hivyo si ajabu haya mataifa makubwa kuendelea kupigana vikumbo. Bahati mbaya hesabu zao zimeenda ndivyo sivyo, biashara ya chanjo haitakuwa kubwa kama walivyotegemea.
Afrika ni mteja dhaifu, hana hela. Wateja wakubwa waliotarajiwa nao wametengeneza chanjo zao.
 
Nilitamani ueleze consistently hivi, siyo kusema mtaalamu fulani kasema hivi...Kisha kama ni kuboresha chanjo kwa usalama kwanini mpaka Saudia watuambie na siyo wataalamu wetu? Do you get my point?
Tatizo watu mnataka kutafuniw kila kitu hata kama mtu anatoa dondoo za kile alichoongea! Kwa mfano nilieleza uchanganyaji wa Pfizer na Astra! Ina maana ulishindwa hata kuingia Google na ku-verify? Nikazungumzia kuhusu chanjo zilizokuwa approved and kutambulika huko Saudi; kulikuwa na ugumu gani hapo ku-verify?
Ninarudia acheni professions zisimame kama profession na siasa kama siasa do not mix the two hasa when it come to life and death...Both wanasiasa na professionals wanazo domain zao zaku develop trust na reliability...
Unaweza kutoa mfano wa wapi hasa nimechanganya siasa na professional?! Seems like hunijui hata kidogo!
Kwahiyo wewe unayeongea bila kuingia maabara ndo unajua zaidi kuliko waliongia maabara na kufanya utafiti? Hivi kwa akili yako unaamini kabisa kwamba hao professional wanakurupuka tu na kuongea "this's okay, and this's not"?! Are you serious?!
Kwani nani hajui kama hii ni emergency na tunatumia kila option for the good of our people? Kwani sisi ndiyo tufikie confirmatory test kabla hata ya hao watengenezaji wenyewe na institutions zao?
"Sisi" akina nani, na "hao" ni akina nani?! Ina maana hizo chanjo zinatumika kwa "sisi" peke yake, na hazitumiki kwa "hao"?! Kwa mfano, hata haya mambo ya mixing huku kwa "sisi" hayajafika, lakini kwa "hao" tayari wanafanya! Sasa hiyo hoja ya "...wani sisi ndiyo tufikie confirmatory test kabla hata ya hao" inatoka wapi?
Hakuna aliyekatazwa kufanya hizo "own confirmation" lakini itakuwa maajabu ya karne kuona nchi zote zilizoendelea kisayansi na kiteknolojia zimegundua 1+1 = 2 lakini maabara za TZ, ambazo usikute zingine ni kuu kuu na zisizo na efficiency kuendana na a modern used teknolojia, lakini bado wao ndo wanakuja kugundua kumbe 1+1=11!! Yale yale ya corona na mapapai!
Lets watch out public presentation na engagements za either state persons na professionals; we should protect them as much as we could ili kulinda trust iliyowekwa juu yao for stability, peace and security...Mwenye masikio na asikie!
I don't trust politician; awe Mzungu au Mwafika but I trust professionals though sina imani ya kutosha kwa professionals wanaofanya kazi kwa niaba ya serikali za Afrika, kwa sababu, wengi wao, huwa wanawakilisha ujumbe wa wanasiasa wale wale ambao siwaamini! Ni kutokana na hilo ndo maana leo ukimchukua Mganga Mkuu wa Serikali ukaangalia alisema nini kuhusu chanjo wakato wa Magufuli na hivi sasa anasema nini; utaona ni "watu wawili tofauti" kwa sababu wakati wa Magufuli alikuwa anaongea kutokana na msimamo wa Magufuli na sasa ataongea kutokana na msimamo wa SSH, na atatumia taaluma yake kuhalalisha maoni ya waliomteua!!
 
Hehehe yaani mtu udungwe mara mbili chanjo tofauti....

Nileteeni Gwajima.. Nileteeni Gwajima
 
Hoja yako nzuri. Sasa inakuaje huipendi CCM ambayo imemtawala babu yako, babako, mamako na wewe mwenyewe upo chini ya amani na utulivu wa CCM na dalili kama upinzani ndio huu watoto wako, wajukuu wako na vilembwe wa vilembwe watatawaliwa na CCM.
 
Reactions: Ame
Endelea na u self seeking wako...I thought una substance kumbe na wewe ni mtafuta jina...Nikujue ili iweje? Mpaka sasa najua wewe self seeking person huna habari na public wala huna habari na safety yao wewe unatafuta yako ya binafsi...Kuingia lab unajuaje kama sasa sipo lab....Unatabu sana!
 
The US is experiencing a fourth wave of Covid-19, largely spurred by the highly transmissible Delta variant, with a seven-day average of more than 149,000 daily infections and 985 deaths, the Centres for Disease Control and Prevention (CDC) reported 01/09/2021.
 
Kaspersky, NOD3, BitDefender, zitaje tu....yaaani kama tumegeuzwa computer operating system. Sioni tofauti ya Waiyaki ama Farad na window, android, obuntu, iOS, na nyinginezo!!!

Hahah...

Kuna wakati nishawahi andika hivi kwamba wanadamu tunageuka kuwa machines...

Kuna raia watakuwa wapo updated to Win 11, halafu kuna wengine watakua sijui Win 95 huko, a.k.a very outdated person 😁
 
K
Kwa maana hiyo kuna watu wanachanja ili wakahiji na siyo kwa usalama wa Afya zao.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…