pia uwajibikaj sio kuvaa sare , huyo anatak vyeo vyote viwili kijeshi na kisiasaUshamba tu kutwa kucha na hayo mavazi,kama yupo vitani?
Sasa mema ya nchi atakula saa ngapi.
Kila mara nawaambiaga watu hizi nchi za West Africa zina ushamba mwingi sana
Ukiona hivyo jua alikotokea alikuwa analala kwenye ngozi za ng'ombe kama godoro, alikuwa anavaa ngozi za mbuzi, alikuwa anakunywa maji yenye rangi ya maziwa, choo ni kichakani.Haka kajamaa kanatumia Nguvu kubwa sana kujitutumua sijui shida ni nini?
Ila msijisahaulishe na yule wa kwenu ππ
Sawa Dada yetu mpendwa wa East AfricaUshamba tu kutwa kucha na hayo mavazi,kama yupo vitani?
Sasa mema ya nchi atakula saa ngapi.
Kila mara nawaambiaga watu hizi nchi za West Africa zina ushamba mwingi sana
Kwahiyo hicho kibastola ndiyo kinamlinda?Uhai wake upo mashakani mwache mshikaji ajilinde wawest sio Wana kabisa
Nabisha, hilo siyo bomu.chuma ipo kaz kaz.hio ni glock 9 calibrated. ina uwezo wa kupiga risas 60 per sec.
Huenda wana usalama wΓ Ghana wamekitoa risasi kabla hajafika nacho eneo hilo.Lakini ni upuuzi kujumuika na Marais wenzako ukiwa una ma bunduki.inaonekana anaushamba wa madaraka.
Kuliko za Afrika MasharikiUshamba tu kutwa kucha na hayo mavazi,kama yupo vitani?
Sasa mema ya nchi atakula saa ngapi.
Kila mara nawaambiaga watu hizi nchi za West Africa zina ushamba mwingi sana
Angalia anavobadilisha nchi yake na huku wanamwinda wacha wivuWatu kama Hawa wanapendwaga sana na wajinga.
Kwa wajinga jambo muhimu kwao ni kujitutumua na kukoroma hapo watakupa salute zote bila kujalisha matokeo hasi kwenye maisha Yao ππ
Maneno mengi ya nini kama unauweza kapime.Ushamba tu kutwa kucha na hayo mavazi,kama yupo vitani?
Sasa mema ya nchi atakula saa ngapi.
Kila mara nawaambiaga watu hizi nchi za West Africa zina ushamba mwingi sana
Mkuu inaoneka unasubiri kwa hamu sana Wazungu wammalize?Anaisha kama digi digi ndio roll model wa Africa hana mda mrefu wazungu wana njia nying za kukumaliza
Mbuzi kama wewe ndio mnapendwa na wazungu kama mlivyokutwa mnakula mbegu na miziz miaka ile...Amewatuliza wapi? Kuongoza wajinga kama nyie ni simple tuu ,mnalishwa propaganda na matumaini imeisha hiyo ππ
Mlamba matako ya wazungu mwingine huyu hapaAnaisha kama digi digi ndio roll model wa Africa hana mda mrefu wazungu wana njia nying za kukumaliza
Miaka yote kabla yake, wangese waliokuwa maraisi walikuwa wanaukalia wa mfaransa na kutema uraniumSo what? Nini significance ya huo mradi zaidi ya kuwa kibaraka wa Putin?
Wazungu na nchi hizi kama Ufaransa haina namna ya kuishi bila kuiba huku Afrika yaani siku tukiamka sisi tunatawala wale jamaaYuko vitani mfaransa muda wowote anawala vichwa hukusikia hotuba ya macron juzi. Yale ni mashamba yake wakimfukuza anamaindi. We fikiria kachukua mgodi wa dhahabu na kwa muda mfupu kalipa madeni ya nchi yake ndipo ujue kuwa lazima waendelee kumwinda wamle kichwa.
Watu kama Hawa wanapendwaga sana na wajinga.
Kwa wajinga jambo muhimu kwao ni kujitutumua na kukoroma hapo watakupa salute zote bila kujalisha matokeo hasi kwenye maisha Yao ππ
Elewa mada iliyoletwa na pia elewa nilichojibu .Kwahiyo hicho kibastola ndiyo kinamlinda?
Acha maskhara kijana.
Waziri mkuu wa Isreil Yizhak Rabin aligongwa shaba katikati ya kundi la walinzi wake wanaoo ogopwa duniani kote.
Waziri Mkuu wa India, Mama Indira Gandhi alichalazwa risasi akiwa katikati ya kundi la maaskari wake wenye AK47 za kutosha.
Sasa huyo hapo kibastola chake ndo kimpe ulinzi?π³
Hivi uliona namna Trump alivyokoswa koswa, angekuwa na bastola kwenye mazingira yale ingemsaidiaje?
Anaendeleza ushamba.Hakuna kumwamini mtu