Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kwahiyo hawa wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita kiujanjaujanja nao hawafai kuwaita waheshimiwa kisa hawakupigiwa Kura kihalali? Au wale wabunge na madiwani mwaka 2020?Hawa viongozi wa kijeshi hawapaswi kuitwa Rais. Inatosha wakiitwa kiongozi wa kijeshi. Let's call them military rulers not presidents, kwa sababu hawakuingia madarakani kidemokrasia, hawakupigiwa kura. Kama huyu Ibrahim Traore ni kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso.
wale waliingia madarakani kwa uchaguzi, japo ni uchaguzi wa kuzuga. Hawa wanajeshi walipindua, hakukuwa na uchaguzi hata wa kuzugiaKwahiyo hawa wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita kiujanjaujanja nao hawafai kuwaita waheshimiwa kisa hawakupigiwa Kura kihalali? Au wale wabunge na madiwani mwaka 2020?
West wakiumua ni rahisi tu, hio silaha haitamwokoa.Uhai wake upo mashakani mwache mshikaji ajilinde wawest sio Wana kabisa
Hawezi mzidi shujaa wetu. Shujaa wetu zile akili za kuteka mioyo ya watu sijui aliitoa wapi maana sio Kwa kuwateka kuleHuyu anamzidi akili shujaa wenu aliyekufa na kovid
Bado yuko vitani, nchi nyingi za Afrika bado haziko huru zimetawaliwa, haziko huru kufanya mambo yake, ukikubali mapambano ni muda wote, ubwanyenye ni huko kwenu tu mukubali misaada lakini muunge mkono LGBTQWatu kama Hawa wanapendwaga sana na wajinga.
Kwa wajinga jambo muhimu kwao ni kujitutumua na kukoroma hapo watakupa salute zote bila kujalisha matokeo hasi kwenye maisha Yao 😂😂
Watu kama Hawa wanapendwaga sana na wajinga.
Kwa wajinga jambo muhimu kwao ni kujitutumua na kukoroma hapo watakupa salute zote bila kujalisha matokeo hasi kwenye maisha Yao [emoji23][emoji23]
Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traore ndiye kiongozi pekee wa aliyekuwa jukwaa la VIP huku akiwa na pisto yake kiunoni.
Pia ndiye kiongozi pekee aliyeruhusiwa kuingia na walinzi wake jukwaa kuu.
Awali ilionekana asingehudhuria sherehe hiyo, ila akatokea dakika za lala salama.
Katika sherehe hizo, Tanzania tuliwakilishwa na Makamu wa Rais, Philip Mpango.
==================================================
Burkina Faso's President Ibrahim Traore attended the inauguration of Ghana's President John Mahama.
In one of his rare foreign trips, President Traore enjoyed the privileges of being allowed to wear his military uniform, carry a pistol and have his own armed personal security.View attachment 3196677View attachment 3196678
He received loud cheers from the crowd.
Usipangie watu maisha wewe mshamba fatilia kwanza asili ya nchi yao na matukio yaliyopoUshamba tu kutwa kucha na hayo mavazi,kama yupo vitani?
Sasa mema ya nchi atakula saa ngapi.
Kila mara nawaambiaga watu hizi nchi za West Africa zina ushamba mwingi sana
Hakuna mshamba bila mjanja hongera Kwa kuwa mjanjaUsipangie watu maisha wewe mshamba fatilia kwanza asili ya nchi yao na matukio yaliyopo
Ulitaka awe kibaraka wa Macron?So what? Nini significance ya huo mradi zaidi ya kuwa kibaraka wa Putin?
AsiweUlitaka awe kibaraka wa Macron?