Elections 2015 Rais Jakaya Kiwete ashitakiwa Mahakama ya Kimataifa ya ICC

Upo mkuu?
 
😀😂😂😂ila hutu tu nyumbu twa ufipa nitwakuhurumia asee!
 
Haya majamaa Chadema sijui huwa yanalewa nini. Yaani kuanzia viongozi hadi wanachama wao ni nyumbu


Safari hii wamekuja na stori ya Msatadam (Amstaderm) na ICC. Upuuzi mtupu.
 
Haya majamaa Chadema sijui huwa yanalewa nini. Yaani kuanzia viongozi hadi wanachama wao ni nyumbu


Safari hii wamekuja na stori ya Msatadam (Amstaderm) na ICC. Upuuzi mtupu.
Ndio walivyo, vichwa vyao vimejaa kamasi
 
Huu uzi unanichekesha sana unavyoenenda. Kuna watu wanaupita kama hawauoni hivi. Kweli aliyewaita nyumbu hakukosea.
 
Hii kesi Ilifia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…